Zamani zipi sasa dada eva?Zamani mlikua mnatisha sana siku hizi waaaaah.....
Unajua mkoa unaoongoza kwa ukeketaji si mara?ni manyaraUkeketaji live bila chenga, wenyewe wanaita saro
Mlikua wakurya wakurya kweli......sahivi walaaa 😹Tulikuwa tunakula watu?
Zamani kabla ya afu 2000.....Zamani zipi sasa dada eva?
Tarime ni nchi blessed sana
Vyakula vya kutosha,watu majasiri bila kusahau pia kichwani wako vizuri...
Lakini rasilimali tumebarikiwa
Madini,mbuga ya siringeti lakini pia moja mito mikubwa tz MARA
Tunatisha kwa hayo na si vinginevyo
kawaida tu,mbona sema wakurya ni wakali tu na hii ni asili ya makabila yote ya wafugaji!sema kawaida tuZamani kabla ya afu 2000.....
Aseee mi nlikuaga nawaogopa wakurya yani balaa, nadhani zile sijui ndo litungu au ritungu za mwezi wa kumi na mbili vijana walikua wakipita mitaani washatahiriwa wanapakwa nini usoni wanatisha....
Nlikua nikiogopa mno nimekua najua wakurya ni watu wanaotisha sana plus tone yenu ya ukali
Ukiiseti vizuri huwa inanasa mawimbi vizuri tuNatamani kurudi tena ila tatizo hakuna Antenna. . .
Mara nyingi tunaambiwa wakurya ni majasili sana na huwa najiuliza, ivi mbona nikisoma history sioni hata chief mmoja wa kikurya? Mbona sioni mchango wa Hawa watu kwenye ukombozi wa mtanganyika? Au ndo walipata umaarifu baada ya uhuru?Tarime bwana watu ni Civilized ila sio wanyonge, humble people lakini hawapendi kuonewa au kujishusha shusha bila sababu ya lazima ya kumfanya ajishushe. Yaani mtu akukanyage tuu bahati mbaya alafu akwambie samahani!! Mura murisia huo ni uoga. Neno samahani kwa tarime ni ngumu sana zaidi atakwambia "haya yameisha" kwaio usije kuwashangaa.
Aisee usimtongoze mke wa mtu, pindi unapofika tu Tarime basi zile tabia zako za kidaslama acha tata.
Ukiolewa na Mtu wa Tarime basi uishi kama mke, kama bado ujawa tayari kuolewa au unafanya majaribio ya ndoa basi kayafanye sehem nyingine ila sio Tarime. Tarime hakuna fala
Huko bwana Watu ni majasiri na misimamo ya hali ya juu, itakuchukua mda kumbadilisha ktk kile anachokiamini kwaio kuna vitu vitakushangaza mwanzoni. Wanapenda sana kufata utaratibu na sheria ya nchi inavyotaka
Ukifika Tarime waheshimu, usitongoze wake za watu hata kwa kutania tu, ukimulewa binti nenda kwao,na ukimuoa mtoto wa mtu ukamletea ujinga ndugu yangu wakikuita kwao usiende,utachezea fimbo vibaya hawataki ujinga.
kuwa bussy na mambo yako, usiwaonee watu. Tarime utaishi vzr sana utapewa mashamba bure utalima.
Tarime bado wanafata sana mambo ya asili kama tamaduni, mila, vyakula. Ukifika utakutana na Busara, ugali wa udaga na mtama kwa nyama choma mixer kichuri, ndo chai kule.
Ukila wali mchana na jioni watu wanakushangaa wanajua wewe wa Darisalama. mtoto miaka mitano ashatahiriwa,miaka 15 ashatahiriwa tena bila ganzi sasa wewe miaka 28 ndo unaenda kutahiriwa aaah kweli sokoro!
karibuni Tarime
Kumnyoosha mkuria mwenzakoUjanja wako ni upi sasa hapo?
Mzee huwezi ona kwenye historia mkuu...hawa walikua hostile sanaM
Mara nyingi tunaambiwa wakurya ni majasili sana na huwa najiuliza, ivi mbona nikisoma history sioni hata chief mmoja wa kikurya? Mbona sioni mchango wa Hawa watu kwenye ukombozi wa mtanganyika? Au ndo walipata umaarifu baada ya uhuru?
Ukisoma history ya hayo makabila mawili..yalikua ni kabila moja yakagawanyika.Masai hadi leo kuna kaheshima ya undugu flani hatuwez oa kwao wala hawawez oa kwetu
Hayo mambo hayapo siku hiziUkeketaji live bila chenga, wenyewe wanaita saro
Kwa sauti ya zuchu aiiii mama sijiiiii sijiiiii 😹 msije kunigechakawaida tu,mbona sema wakurya ni wakali tu na hii ni asili ya makabila yote ya wafugaji!sema kawaida tu
Karibu mara
Intruder kwa Mzungu maana yake ni mla D2? Au nini. Fafanua Evelyn Salt kama unajuaMwanamke wa tarime anajisifia akisema mbele za watu kwamba "mume wangu ni intruder kwa mzungu"🤣