Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

Mkuu Gentamycine huyo jamaa kasema ukweli, hizo zotee alizozitaja ni hosp za ubabaishaji na hakuna mtu anayepewa mkataba, pia mshahara unaweza kusubiri zaidi ya miezi mitatu pia zinaongoza kwa unyanyasaji kwa wafanyakazi wao, wanakauli zao kuwa "shida zako ndio zilizokuleta hapa"
ID yangu ( iliyo Brand hapa JamiiiForums ) haiandikwi Gentamycine ( kwa Herufi Ndogo ) bali inaandikwa GENTAMYCINE kwa Herufi Kubwa. Msituchanganye tafadhali na Mimi nipo peke yangu na hata Uwasilishaji wangu pia hapa ni tofauti ( tena wa Mbingu na Ardhi ) ukilinganisha na wengine wanaopenda Kuniiga ila wakiwa wemesahau kuwa nimebarikiwa Kitambo mno na Tunu ( Shani ) kutoka Kwake Mwenyezi Mungu.
 
Hata huku Dar ukiondoa zile Hospitali kubwa zinazojulikana hizi zingine maisha ndo hayo hayo, asilimia kubwa ya wafanyakazi hawana mikataba,, wanapewa wachache mikataba ili majina yao yapelekwe kwenye TAASISI za SERIKALI kama NSSF na zingine kwa jili ya UHAI wa kituo tu... kuna sehemu nilikuwa natangaza njaa nilikuta kuna watu wana mikataba hadi ya miezi 3, hakuna cha Overtime za Weekend wala Sikukuu,,,

Hapa nipo kwenye Kituo kimoja cha Afya watu wana mwezi wa pili hawajapewa mishahara, sababu wanaambiwa kuwa KITUO hakijalipwa madai yao NHIF kwahiyo waendelee kusubiri...
 
Mkuu, Kwanza Kabisa Mtu yeyote Yule Anaye Ajiriwa Anajua Wajibu na Haki Yake zake, ndio maana Serikali Ilitoa, Sheria za Ajira na Mahusiano Kazini, Ikaweza na Haki na Wajibu wa Muajiriwa na Muajiri. Kukiwa na Kipengele cha Umuhimu wa mkataba Wa kazi. Kama Umeenda kuomba Kazi ukaanza Kufanya Bila Mkataba au kuomba Mkataba Unataka Kusema Muajiri ndio Ana shida?, wewe Hadi unaanza Kazi Hujui Umuhimu Wa Mkataba? Na Kwanini Ukubali kuanza kufanya Kazi Bila Mkataba?, Japo sio Kwamba Private zote hazitoi mikataba Hapana, Private nyingi sanaa Zinatoa Mikataba.

Na Wajibu wako Ni Mmoja Tuu, Kabla Hujaanza Kazi kaa chini Na Muajiri msign Mkataba. Ukianza kazi Bila Mkataba Hayo ni Mahusiano Yako na Maelewano yako kati ya Wewe Na Muajiri wako, Na Chochote kikitokea usitafute wa kumtupia Lawama Kwasababu ulikuwa unajua Haki zako na Wajibu Wako.

Ukisema Private Masilahi ni Madogo, Umekubaliana Nini Na Muajiri Wako, Makubaliano Yenu mmeyaweka kwenye Maandishi? Usipo fanya hivi kwasababu ya Uhitaji wa kazi au umekaa sana nyumbani au soko la Ajira ni Gumu Unajitafutia matatizo wewe na Sio Muajiri. Hii ni Muhimu sanaaa Watu wanao hangaika na Ajira kuelewa badala ya kuja kumtupia mtu lawama.

Lakini, Kazini Tunaendeshwa sanaaa Na Mahusiano. Ndio maana Serikali Ileta Kipengere cha Mahusiano Kazini, Ni kipengele muhimu sanaaa kinaenda zaidi ya Mikataba… Mfano Sheria Ya Ajira kazini inatambua Ili upate ruhusa ya Kwenda Msibani ni Lazima Aliye fariki awe mmoja ya wale walio tajwa kwenye Mkataba naamanisha Neutral Family, Lakini Mtu unafiwa na Mjomba Wa Mama Yako Sijui, Kwakutambua Umuhimu wa Mahusiano kazini Muajiri anakupa Ruhusa ya wewe kwenda Kuhudhuria mazishi, Japo Mkataba na Sheria Hazimlazimishi kufanya hivyo. Hivi Vitu ni lazima Waajiriwa Waelewee badala ya kwenda Kuwatupia Lawama Waajiri kama Mleta mada Alivyofanya.

Sheria zipo Wazi, Usipolipwa kwa muda gani unaenda CMA kufungua Mashtaka. Lakini Mahusiano Bado yanaenda Nje ya Mkataba. Kuna Kipindi muajiri Hupitia Changamoto za Kifedha, Anawasiliana Na Wafanyakzi kuwa Mshahara utachelewa Kwa Sababu 1,2,3 Wewe kama Muajiriwa Uta Reason Je Hizi sababu nazopewa ni Kweli au hazina Mashiko. Utafanya maamuzi. Lakini isiwe wewe Hutimizi Wajibu wako Lakini unataka Muajiri Akutimizie wajibu wake, Hapana. Bado serikali ilienda mbali Ikaleta Haki na Wajibu wafanyakazi na Muajiri, Kwamba Kila Haki ina Wajibu na Kila Wajibu una Haki.

Kuendelea Kuvilalamikia Hivi Vituo Kwenye JF haiwezi kuwa suruhu kama Wanaoajiriwa hawata elewa Haya. Nenda Mahakamani Kesi za madai na zingine zote huanzia Kwenye Mazungumzo mahakama hutoa muda wa nyie kujadiliana na kuona kama kuna umuhimu wa Kuendelea na Kesi au ifutwe, kesi nyingi zinaishia kwenye mazungumzo na Maelewano kwasababu kuna mtu hakuwa anatambua wajibu na haki zake.


Mleta Maada Amekuja na Mlengo wa Kusema vituo Ambavyo yeye havipendi na hana Ukweli Wa anayo yasema. Hivyo vituo alivyo vitaja Naona watu wakifanya kazi na kufurahia, Na Kuna Vitu hajavitaja watu wanalalamika Vile vile lakini Ukweli wake ni Upi?

Masuala Ya Ajira huwezi Kumuamlia mtu au kumsemea. Kuna waalimu wangapi wanaidai Serikali? Wafanyakazi Wangapi Wanaidai Serikali? Ulisha sikia mtu anasema Usiombe ajira serikalini kwasababu hawalipi?
Dah, Umeupiga mwingi sana mwanetu... Hakika wewe sio mwajiriwa hapo Uhuru. Utakua ndio mwajiri mwenyewe AKA Shareholder.
 
Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
Mkuu naomba connection kazini kwenu hapo
 
Mkuu, Acha Uongo. Nimefanya Kazi na nina fanya kazi na Uhuru hospital kwa Miaka 5 sahizi. Sijawahi pata Shida ya Mshahara wala Mkataba. Hadi Tanzanite hospital imefunguliwa Bado nipo Na Uhuru Hospital na Tanzanite Hospital Sijapata Hizo Shida Ulizozisema Kwa Miaka 5 yote, Na Wala sijawahi kufikiria kuja Kuacha Kazi Uhuru Hospital Unless Nijiajiri.

Mwaka 2019, Nilienda Nje Ya Tanzania Kusoma, Uhuru hospital Waliendelea kunilipa Mshahara Bila Kuchelewa, Kwa Muda wote nilio Kuwa Nasoma, Na Bila Kunikata Hata Tsh.10, Hadi Nilipo Rudi 2020 nikaendelea nao na kazi.

Sahizi Tena Nimerudi Shule. Uhuru hospital Bado Wananilipa Mshahara Bila Shida Yoyote ile. So Acha Kuwadanganya Watu.

Changamoto niliyo Iona Kwa Miaka 5 yangu ya Kufanya Kazi Kwenye hii hospital Binafsi ni Bad Altitude za WAAJIRIWA. Waajiriwa Wengi Hawana Nidhamu Ya Kazi, Wanachukulia Taasisi Binafsi Hasa Hospital Kama Ni Sehemu Ya KIJIWE. Hii ndio Changamoto kubwa. Mfanyakazi hana Nidhamu ya Kazi, Hadhamini Ajira yake, Haheshimu Kituo Kilichompa Ajira wala Mwajiri wake. Unategema Mwajiri Akuheshimu na Wewe?

Tena Nyie Ndio mnao Wadanganya watu, Lakini Kwa Kijana Anayekua Kikazi, Uwezo binafsi uwezo wa kibiashara, Uhuru Hospital Ni sehemu sahihi ya Kufanya Kazi Kama Ukibahatika kupata Ajira. Nisehemu itakayo kupa nafasi ya kukua.

Mkuu Kudanganya watu na wewe ni Mtumishi wa Serikali Hizi Ndio Nidhamu Mbovu na mbaya Ambazo Wafanyakazi wengi wanazo.

Kifupi, UHURU HOSPITAL kama Huna NIDHAMU, Huna INTERGRITY basi Wewe hapakufai kufanya kazi.

Over
Nifanyie connection mkuu nipate kazi
 
Aisee usingetaja uhuru ningeshangaa sana jmn derick ana dharau yule mtu alafu mitandaoni ana vyo ji express ni tofauti na ukikutana nae live kaka ana dharau haswaa...sitasahau lakini aliwai nipotezea muda wangu kanitoa mkoani mpaka mwanza mwisho wa siku nakuta kwenye interview ni yeye na mkewe ndo wanaendesha interview alafu dharau zake sasa
 
Hurumia Watoto niliitwa nianze kazi bila interview Wala job contract Wala salary negotiation nikapiga siku moja tu sikurudi Tena

Al Jumaa kafanya kazi mwanangu mmoja Ni Magumashi kinyama!!!
Na mimi hurumia watoto niliitwa bila interview nilichokikuta ni huzuni yaani
 
Back
Top Bottom