Tahadhari Kubwa kwa watu wote

Tahadhari Kubwa kwa watu wote

Umeielewa taarifa hilo linatosha. Asante mkuu.
Taarifa pekee haitoshi tutajuaje TEAM ZITTO na wewe tofauti yao ni nini inawezakana Zitto mwenyewe anakubaliana na hiyo team na asikubaliane na wewe.
Hapo lazima ieleweke nani anamsemea Zitto na yupi anajipendekeza kwake.
 
Wewe ogopa ban tu!... Tukana, jibu vibaya na kufanya upuuzi wote unaoweza... Utajibiwa sawa sawa na upumbavu wako!... Prezzo hakuna anayekuogopa!
Sure mkuu huyu prezzo a.k.a dogo anatuma watu mitandaoni waje kutukana chama, halafu anagundua kuwa haimsadii badala yake inamuweka matatizoni zaidi anakuja na kujidai eti asihusishwe nao, mwaka huu itafahamika tu.
 
Kwa watu wote, wanademokrasia na hata wale wahafidhina tufikie mahali tuweze kuzitenganisha propaganda na media spinning zinazoendelea kwa sasa kuhusu issue ya Zitto na chadema.

Natoa tahadhari kubwa sana hapa jamvini na nitasambaza hizi taarifa kwa vyombo vingine vya habari na social media nyingine.

Kuna baadhi ya watu wanaojiita "TEAM ZITTO" ambao pengine kwa nia njema ama kwa maksudi tu wanaharibu Taswira ya Mh Zitto Kabwe kwa kujaribu kutembea katika jina la Zitto kutoa Matamko, maneno na kuratibu mikutano isiyo rasmi kwa kusema wao ni TEAM ZITTO. Imebainika katika kufanya hivi sio tu inamchafua Zitto bali ina lengo la kumchonganisha Ndg Zitto na aidha viongozi wa chadema, kamati kuu ya chama, wapenzi,mashabiki wa chadema, marafiki na hata wananchi. Ajenda zinazoibuliwa na kikundi kinachojiita TEAM ZITTO ni tofauti na zile Zitto alizoziainisha mbele ya vyombo vya habari.

TUHUMA ZITTO ALIZOZIAINISHA KWA VYOMBO VYA HABARI
- Kutokushiriki kampeni za urais
- kutoshiriki operation za chama
- ukaguzi wa vyama
- posho za vikao

Zitto hajazungumzia lolote kuhusu Ukanda, Ukabila, ieleweke na iwe wazi tatizo aliloliainisha ni mapambano ya kukuza demokrasia ndani ya chama, mapambano dhidi ya wapenda demokrasia dhidi ya wahafidhina.

Kwa namna yoyote Zitto Kabwe asihusishwe na taarifa tofauti na hizi, asihusishwe na baadhi ya maandamano, asihusishwe na mikutano inayoratibiwa na wanaojiita TEAM ZITTO. Kama kuna taarifa zozote ambazo zinamuhusu zinukuliwe kutoka kwake moja kwa moja na sio mkusanyiko wa soga zisizo za msingi wowote.

Mwisho, kwa wale wote wapenda demokrasia watambue nyakati ngumu ni sehemu ya maisha ya binadamu, Zitto amekubali kufuata taratibu zote za chama kuhakikisha anahitimisha mtikisiko huu kwa hekma na kwa uvumilivu mkubwa.

Sixgates
DSM

It's too late. maji yakimwagika hayazoleki.Hizo habari peleka kwa Wasira,Zoka na Inghondu.P
 
ndioooo!? Liwalo naliwe si mmemwaga mbogaaa?
Sio unashangilia tu ki CHAMVIGA bila kuelewa,
Wewe unafikiri CCM itapigiwa kura na nani sasa?, maana mnasema waislamu chama chao CUF.
Itabidi mtegemee kura za maruhani.

Halafu cheki signature yako ilivyo ya kimburula, eti Zitto angekuwa John, Masawe au wa kaskazini yasingemkuta, Ina maana hujui kama John Shibuda naye kapewa adhabu ile ile, kweli nyie watu misukule.
Toa hiyo signature inakudhalilisha.
 
Sixgate umesema vyema,na siyo tu kumchonganisha na viongozi wake bali kumchafua zaidi na zaidi.Na hata kuonekana Zitto mwenyewe ndiye anayeratibu yote hayo.Nisingependa Zitto afukuzwe unachama kwani ni potential leader anayewawakilisha watanzania,lakini pia ningependa kumwambia kuwa aachane na vyombo vya habari kwa sasa kwani havimjengi bali kumbomoa zaidi,kama kiongozi anatkiwa awe na uwezo wa kumudu Stress na jaziba,napia afanye mabadiliko ya mwenendo wake,awe team builder and problem solver na siyo problem creator.Aangalie team za mpira zichezavyo uanjani hakuna anayejiona bora kuliko mwingine ukienda kinyume team itafungwa.Abadilike.
 
kwa watu wote, wanademokrasia na hata wale wahafidhina tufikie mahali tuweze kuzitenganisha propaganda na media spinning zinazoendelea kwa sasa kuhusu issue ya zitto na chadema.

Natoa tahadhari kubwa sana hapa jamvini na nitasambaza hizi taarifa kwa vyombo vingine vya habari na social media nyingine.

Kuna baadhi ya watu wanaojiita "team zitto" ambao pengine kwa nia njema ama kwa maksudi tu wanaharibu taswira ya mh zitto kabwe kwa kujaribu kutembea katika jina la zitto kutoa matamko, maneno na kuratibu mikutano isiyo rasmi kwa kusema wao ni team zitto. Imebainika katika kufanya hivi sio tu inamchafua zitto bali ina lengo la kumchonganisha ndg zitto na aidha viongozi wa chadema, kamati kuu ya chama, wapenzi,mashabiki wa chadema, marafiki na hata wananchi. Ajenda zinazoibuliwa na kikundi kinachojiita team zitto ni tofauti na zile zitto alizoziainisha mbele ya vyombo vya habari.

Tuhuma zitto alizoziainisha kwa vyombo vya habari
- kutokushiriki kampeni za urais
- kutoshiriki operation za chama
- ukaguzi wa vyama
- posho za vikao

zitto hajazungumzia lolote kuhusu ukanda, ukabila, ieleweke na iwe wazi tatizo aliloliainisha ni mapambano ya kukuza demokrasia ndani ya chama, mapambano dhidi ya wapenda demokrasia dhidi ya wahafidhina.

Kwa namna yoyote zitto kabwe asihusishwe na taarifa tofauti na hizi, asihusishwe na baadhi ya maandamano, asihusishwe na mikutano inayoratibiwa na wanaojiita team zitto. Kama kuna taarifa zozote ambazo zinamuhusu zinukuliwe kutoka kwake moja kwa moja na sio mkusanyiko wa soga zisizo za msingi wowote.

Mwisho, kwa wale wote wapenda demokrasia watambue nyakati ngumu ni sehemu ya maisha ya binadamu, zitto amekubali kufuata taratibu zote za chama kuhakikisha anahitimisha mtikisiko huu kwa hekma na kwa uvumilivu mkubwa.

Sixgates
dsm

rip the concerned. .... Na bado mwenye akili anatambua what i s going on see you in 2015
 
Sikiliza Wapi tumesema kwamba hili tunalolisema tunasema on behalf of zitto kabwe??

Hata kama zitto kabwe akawepo ndan ya chama hiko ama asiwepo it makes no difference kwetu sisi kuacha kuzungumzia mambo ambayo tunaona yanapaswa kuzungumzwa,

Kwan suala la ukanda na ukabila na kupokea amri za kuendeshwa chama hiki ni uongo kwamba zinatoka kwa AYATOLLAH MTEI??

Nan kakuambia watu wapo hapa kupigania vita ya zitto kabwe??tupo hapa kupigania vita ya taifa letu kwa maslahi ya vizaz vyetu vya sasa na baadae,wewe kama unadhan watu wapo hapa kuicheza ngoma ya zito kabwe na slaa you better think twice about it,


HAKUNA KUMEZA MEZA MANENO KATIKA HILI,SUALA LA UKANDA,UDINI NA UKABILA KWENYE HIKI CHAMA LIFE KAMA KWELI WANATAKA KIWE NI CHAMA CHA KITAIFA

Unanisikitisha,hivi nikiwa MCHAGGA na MKRISTU nikiwa CCM au NCCR sina tatizo niko sawa sawa na ninafuata sharia za nchi,lakini nikiwa MCHAGGA na MKRISTU nikiwa CHADEMA ni muhaini,mpenda ukanda,ukabila na mdini ninayefuata anayosema MTEI.Kaka hebu elimika kidogo kwenye hili usipende kutugawa watanzania.
 
Prezoo kanyea kambi masisiem na akina masalia nyakarungu mapovi yanawatoka,nyambafffff
 
Sio unashangilia tu ki CHAMVIGA bila kuelewa,
Wewe unafikiri CCM itapigiwa kura na nani sasa?, maana mnasema waislamu chama chao CUF.
Itabidi mtegemee kura za maruhani.

Halafu cheki signature yako ilivyo ya kimburula, eti Zitto angekuwa John, Masawe au wa kaskazini yasingemkuta, Ina maana hujui kama John Shibuda naye kapewa adhabu ile ile, kweli nyie watu misukule.
Toa hiyo signature inakudhalilisha.

Signature inadhililisha mimi sasa wewe ina kuhusu nini? Zito ilikuwa mumfukuze siku nyingi ila hamkuweza kwakuwa uongo wote mliotengeneza haukuwa na ushahidi sasa mkamtafutia visababu na leo anasimamishwa kwa waraka ambao hata haujui tena ili kuzima hoja za udini mnamsimamisha na mkristo ila wenye akili tushajua janja ya nyani.
 
Signature inadhililisha mimi sasa wewe ina kuhusu nini? Zito ilikuwa mumfukuze siku nyingi ila hamkuweza kwakuwa uongo wote mliotengeneza haukuwa na ushahidi sasa mkamtafutia visababu na leo anasimamishwa kwa waraka ambao hata haujui tena ili kuzima hoja za udini mnamsimamisha na mkristo ila wenye akili tushajua janja ya nyani.
Nashukuru kwa kutekeleza ushauri wa kutoa signature ya kimburula.
 
binadamu 98%wana wanachembechembe za unafiki,hilo swala la zito,lipo bado kwenye maamuzi,ya vikao vya chama,kelele zote za nini?muacheni kijana wa watu apumzishe akili ni mengi sana kaitendea nchi yetu,katufungua macho watanzania wengi tuliokuwa gizani,anastahili pongezi kwa kwatufikisha hapo,vijana wengi tumekuwa jasiri kutokana na zitto,huo ndo ukweli,hata kama kakosea apewe nafasi ya kujirekebisha kuliko kumlaumu,yeye ni nani hata asikosee.?

Tatizo ni pale zzk anapoona hajakosea na yupo sahihi!
 
tukisema chadema ni chama kinachowabagua waislamu tunamaanisha khaaswa japokuwa wengine hampendi kusikia maneno haya. zitto mnamuandama kwa sababu ya dini yake tu. mmemtungia kila aina ya uongo mmeshindwa sasa mnaamua kumshughulikia laivu na kudhihilisha ile agenda yenu iliyokuwa imejificha ya ubaguzi wa kidini. zitto anajua kuwa anaandamwa kwa sababu ya iman yake na kayasema juzi japokuwa hakusema wazi. "unapomuandama zitto kwa kutungia tuhuma zisizo na ushahidi wale wanaodhania ananyanyaswa kwasababu ya dini yake si wataamini hivyo" by zitto.

Kwani waislam hutumia wine?
 
Zitto ni jembe ni msomi aliyesoma akaondoa ujinga na akaelimika waseme watakavyo lakini heshima yake kitaifa na kimataifa iko pale pale.

Okay, mchukueni 'msomi'... au CCM haitaki 'wasomi'...!!!
Mchukueni muwekeni awe waziri wa elimu, ondoeni yule 'kihiyo' ambaye hajui hata Tanzania ilitokana na muungano wa nchi gani...!!
 
Watanzania tuko watu wa ajabu sana kama bendera fata upepo,tunaacha kufanya tathmini ya nchi yetu kwa mfano, mgawo wa umeme,pembe za ndovu,nk. Hakuna hata mmoja anayetaka kuwajibika eti mnangangana na mambo ya chadema,yanawasaidia nini watanzania,,,,,tumekalia umbea tuu,,,,,watanzania wamesoma LAKINI bora ya wale ambao hawajasoma wanaweza wakawa na michango ya mawazo mazuri kuliko huu umbea wa mambo ya chadema na zitto.
Kila uchao serikali yetu mara imejipanga,imejiandaa,ina mikakati hadi inatia kinyaa,,,,tupo wataalamu wa kuongea sana,,,,,HUO NI UJINGA NA UTUPU WA KUAINISHA MAMBO...NDO MAANA WENZETU WANATUACHA.... Kila mpango wa kuendeleza nchi hata pate ambapo hutuitaji mtaji na utaalam toka nje utasikia TUNAMTAFUTA MWEKEZAJI,,,,,Watanzania tunatia AIBU tubadilike. Serikali ichukuliwe hatua kwa uzembe mkubwa
 
Kwa watu wote, wanademokrasia na hata wale wahafidhina tufikie mahali tuweze kuzitenganisha propaganda na media spinning zinazoendelea kwa sasa kuhusu issue ya Zitto na chadema.

Natoa tahadhari kubwa sana hapa jamvini na nitasambaza hizi taarifa kwa vyombo vingine vya habari na social media nyingine.

Kuna baadhi ya watu wanaojiita "TEAM ZITTO" ambao pengine kwa nia njema ama kwa maksudi tu wanaharibu Taswira ya Mh Zitto Kabwe kwa kujaribu kutembea katika jina la Zitto kutoa Matamko, maneno na kuratibu mikutano isiyo rasmi kwa kusema wao ni TEAM ZITTO. Imebainika katika kufanya hivi sio tu inamchafua Zitto bali ina lengo la kumchonganisha Ndg Zitto na aidha viongozi wa chadema, kamati kuu ya chama, wapenzi,mashabiki wa chadema, marafiki na hata wananchi. Ajenda zinazoibuliwa na kikundi kinachojiita TEAM ZITTO ni tofauti na zile Zitto alizoziainisha mbele ya vyombo vya habari.

TUHUMA ZITTO ALIZOZIAINISHA KWA VYOMBO VYA HABARI
- Kutokushiriki kampeni za urais
- kutoshiriki operation za chama
- ukaguzi wa vyama
- posho za vikao

Zitto hajazungumzia lolote kuhusu Ukanda, Ukabila, ieleweke na iwe wazi tatizo aliloliainisha ni mapambano ya kukuza demokrasia ndani ya chama, mapambano dhidi ya wapenda demokrasia dhidi ya wahafidhina.

Kwa namna yoyote Zitto Kabwe asihusishwe na taarifa tofauti na hizi, asihusishwe na baadhi ya maandamano, asihusishwe na mikutano inayoratibiwa na wanaojiita TEAM ZITTO. Kama kuna taarifa zozote ambazo zinamuhusu zinukuliwe kutoka kwake moja kwa moja na sio mkusanyiko wa soga zisizo za msingi wowote.

Mwisho, kwa wale wote wapenda demokrasia watambue nyakati ngumu ni sehemu ya maisha ya binadamu, Zitto amekubali kufuata taratibu zote za chama kuhakikisha anahitimisha mtikisiko huu kwa hekma na kwa uvumilivu mkubwa.

Sixgates
DSM

Kwenda zako! Nani anamchonganisha Zito na hao unaowaita viongozi wa chadema? Wenyewe tayari wameshamchongea kwa wanachama sasa undai vipi watu eti watamchonganisha na viongozi! Hivi wewe unaakili nzuri kweli wewe?
 
Sure mkuu huyu prezzo a.k.a dogo anatuma watu mitandaoni waje kutukana chama, halafu anagundua kuwa haimsadii badala yake inamuweka matatizoni zaidi anakuja na kujidai eti asihusishwe nao, mwaka huu itafahamika tu.
Huyo hafai kubakia ktk chama na kosa lake kubwa ninaloliona mm kuzidi hayo mengine yote ni kosa la kuwa maarufu kuliko chama tutajua lipi ni lipi alikuwa anajenga chama au anajijenga binafsi? Atoke bana akajijenge akiwa nje hana faida
 
Marire huwa nakushangaaga sana, na elimu yako unakuwa unafuata mkumbo tuu.

Kwa maelezo ya mnyika waraka halisi bado haujasambazwa unaosambaa ni fake. Bonefide genuine upo kamati kuu ikibidi watautoa. Sasa huo waraka uliosoma ni upi?

Na kama waraka uliousoma ni huu unaosambaa na mimi nimeusoma, una tatizo gan? Nadhani chadema waufanyie kazi ni mzuri katika kukuza democrasia.

Haswa nawashauri waifuate sana ile sehem ya kwanza.

waraka genuine ndio ulitumika kuiongoza kamati kuu ya chadema kufikia maamuzi iliyoyafikia, ifahamike kama ilivyosema cc ya chadema hawajauweka public waraka huo, kwa kuwapa faida mkaambiwa na hiyo cc kuwa mnachokijadili mitandaoni kanakwamba ni waraka husika jueni kuwa huo sii waraka husika.

nyinyi team zito ndio mnang'ang'ania huu waraka wa mitandaoni uwe genuine. Naamini muda ukifika mtainamisha vichwa chini kuashiria kujipanga upya.
 
Last edited by a moderator:
Wewe unadhani zitto kabwe ni mpuuzi kias kwamba aje kusimama hapa hadharani na kuzungumza mambo ya UKANDA,UDINI NA UKABILA NDAN YA CHADEMA??

Hawez kuwa mwehu kias cha kusema mambo hayo,wewe unadhani mtu kama mwigulu nchemba anaweza kusema kinachosumbua ndan ya CCM ni UFISADI NA UTAWALA M'BOVU ILI HALI NA YEYE YUPO NDAN YA CHAMA HICHO HICHO??

UNADHAN KWA AKILI YA KAWAIDA ANAWEZA TAMKA HIVYO HATA KAMA NI KWELI??

SASA KWA TAARIFA YAKO UKANDA UDINI NA UKABILA KWENYE HIKI CHAMA UPO,HATA KAMA KUNA BAADHI YA WATU WATACHUKIA NA KUKASIRIKA HIYO SI DAWA,WATU TUTAENDELEA KUSEMA TUH KUKEMEA HALI HIYO,

KIKUBWA NI HAO JAMAA KUBADILIKA,

HILO KUHUSU TEAM ZITTO AU TEAM SLAA HUWEZ KUMCHAGULIA MTU AU KUMKATAZA MTU KUCHAGUA UPANDE,


IKO WAZI KWAMBA KWA SASA KUNA KAMBI MBILI,KAMBI YA WALE WANAOPOKEA AMRI KUTOKA TEH-RAN KWA AYATOLLAH MTEI NA KAMBI YA WALE WANAOTAKA DEMOKRASIA YA KWELI ITAWALE NDAN YA CHAMA HIKO,

KWAIYO WEWE KAA UTULIE UFUATILIE NINI MWISHO WA MAPAMBANO HAYA NA USHUHUDIE NI NANI ATAIBUKA KIDEDEA KWA WATANZANIA

Kama iko hivi unavyosema shule uliyosoma walimu wake wote walikuwa hawajui kusoma na kuandika.
yaani unataka kutusadikisha kuwa zitto alijiunga chadema kwa lengo kuu kupambana chadema v/s chadema!!!!
kisa uenyekiti wa malengo na maelekezo toka lumumba!!!!

lengo la chadema ni kuitokomeza ccm, kwa kuwa zito kajivika silaha za ccm na anainuka dhidi ya chama chake, kule mstari wa mbele huwa wanachapwa risasi rafiki (friendly fire) hapa hata angekuwa general, kanuni inatumika tu.
 
Back
Top Bottom