Tahadhari Kubwa kwa watu wote

Tahadhari Kubwa kwa watu wote

Fukuza tu wazandiki wote, walidhani wataweza kuchezea chama milele sasa imekula kwao wanatapatapa.
Cha ajabu full Kung'ang'ania, yaani ni Kama Demu aliyetoswa kwa upumbavu wake, Badala ya Kuomba Radhi yeye full kulia lia tuu..
 
Subirini. Vita laini kabisa hii.

Ingekuwa laini msingekuwa mnashinda kutwa kucha JF kulialia na kutia Huruma.
JF sio CC ya CHADEMA iliyomvua Kubwa lenu la Maadui Nyadhifa zake, Huku sana sana mtaishia kupigwa Stress za Hatari.
You still have more days, 14 days are aint due yet...
 
tukisema chadema ni chama kinachowabagua waislamu tunamaanisha khaaswa japokuwa wengine hampendi kusikia maneno haya. zitto mnamuandama kwa sababu ya dini yake tu. mmemtungia kila aina ya uongo mmeshindwa sasa mnaamua kumshughulikia laivu na kudhihilisha ile agenda yenu iliyokuwa imejificha ya ubaguzi wa kidini. zitto anajua kuwa anaandamwa kwa sababu ya iman yake na kayasema juzi japokuwa hakusema wazi. "unapomuandama zitto kwa kutungia tuhuma zisizo na ushahidi wale wanaodhania ananyanyaswa kwasababu ya dini yake si wataamini hivyo" by zitto.
 
Hata KANU Kenya chini ya Moi ilikufa kama kifo hiki cha CDM Kuongea na Zito na kuombana Radhi kutaokoa Chama maana imebaki miezi 22 tu kugonga kura wameacha M4C Sasa wanauana wao kwa wao na Katibu wa CCM Anazunguka mikoani kwa raha akijua Operation Sangara wamemezwa wenyewe magamba wale pipipipi ! Pipipipipi!
 
LOL!!! Mimi na wewe basi usinijue tena usinitafute kwa njia ya aina yoyote ile. Endelea tu na mambo yako mie BASI.... Lakini bado kang'ang'ana!!!!! Mie bado nakupenda huwezi kuniacha mimi na wewe tumetoka mbali blah blah blah lol!!!! Imekula kwao sterling kishadedishwa WARIE TU!!!

Cha ajabu full Kung'ang'ania, yaani ni Kama Demu aliyetoswa kwa upumbavu wake, Badala ya Kuomba Radhi yeye full kulia lia tuu..
 
Achana na huyo Sixgates mkuu, endelea tu kuhubiri udini na ukabila, maana ndio hoja nzito itakayoimaliza CHADEMA.
CHADEMA ni chama cha wakristo, cha wa chaga na watu wa kaskazini, kwa maana hiyo,
1)Wachaga wote wanatakiwa wajiunge CHADEMA.
2)Watu wa ukanda wa kaskazini wote wanatakiwe wawe CHADEMA.
3)Wakristo wote, wawe CHADEMA.

Si ni chama cha wachaga, ukanda wa kaskazini na pia cha wakristo?
Sikiliza Wapi tumesema kwamba hili tunalolisema tunasema on behalf of zitto kabwe??

Hata kama zitto kabwe akawepo ndan ya chama hiko ama asiwepo it makes no difference kwetu sisi kuacha kuzungumzia mambo ambayo tunaona yanapaswa kuzungumzwa,

Kwan suala la ukanda na ukabila na kupokea amri za kuendeshwa chama hiki ni uongo kwamba zinatoka kwa AYATOLLAH MTEI??

Nan kakuambia watu wapo hapa kupigania vita ya zitto kabwe??tupo hapa kupigania vita ya taifa letu kwa maslahi ya vizaz vyetu vya sasa na baadae,wewe kama unadhan watu wapo hapa kuicheza ngoma ya zito kabwe na slaa you better think twice about it,


HAKUNA KUMEZA MEZA MANENO KATIKA HILI,SUALA LA UKANDA,UDINI NA UKABILA KWENYE HIKI CHAMA LIFE KAMA KWELI WANATAKA KIWE NI CHAMA CHA KITAIFA
 
tukisema chadema ni chama kinachowabagua waislamu tunamaanisha khaaswa japokuwa wengine hampendi kusikia maneno haya. zitto mnamuandama kwa sababu ya dini yake tu. mmemtungia kila aina ya uongo mmeshindwa sasa mnaamua kumshughulikia laivu na kudhihilisha ile agenda yenu iliyokuwa imejificha ya ubaguzi wa kidini. zitto anajua kuwa anaandamwa kwa sababu ya iman yake na kayasema juzi japokuwa hakusema wazi. "unapomuandama zitto kwa kutungia tuhuma zisizo na ushahidi wale wanaodhania ananyanyaswa kwasababu ya dini yake si wataamini hivyo" by zitto.

......Hatuangalii dini yako ficha upumbavu hata ungekuwa mkatoliki mpagani huna maadili ya Chama wewe nje tu!!!!

Nyie ndo mnaomfanya magogoni aonekane mdini!!
 
......Hatuangalii dini yako ficha upumbavu hata ungekuwa mkatoliki mpagani huna maadili ya Chama wewe nje tu!!!!

Nyie ndo mnaomfanya magogoni aonekane mdini!![/QUO

HATA KAMA ILA NI MUDA SASA WATANZANIA WAIJUE SURA HALISI YA CHADEMA.
 
tukisema chadema ni chama kinachowabagua waislamu tunamaanisha khaaswa japokuwa wengine hampendi kusikia maneno haya. zitto mnamuandama kwa sababu ya dini yake tu. mmemtungia kila aina ya uongo mmeshindwa sasa mnaamua kumshughulikia laivu na kudhihilisha ile agenda yenu iliyokuwa imejificha ya ubaguzi wa kidini. zitto anajua kuwa anaandamwa kwa sababu ya iman yake na kayasema juzi japokuwa hakusema wazi. "unapomuandama zitto kwa kutungia tuhuma zisizo na ushahidi wale wanaodhania ananyanyaswa kwasababu ya dini yake si wataamini hivyo" by zitto.
Tumekusikia Zitto, unaivuruga Chadema kwa maslahi ya watu wa dini yako, kabila yako na watu wa kigoma.. Ukimaliza unahamia chaumma ambacho ni chama cha watu wa dini yako, kabila lako na watu wa kigoma.
 
Tumekusikia Zitto, unaivuruga Chadema kwa maslahi ya watu wa dini yako, kabila yako na watu wa kigoma.. Ukimaliza unahamia chaumma ambacho ni chama cha watu wa dini yako, kabila lako na watu wa kigoma.

....Kamanda umemaliza kila kitu....
 
......Hatuangalii dini yako ficha upumbavu hata ungekuwa mkatoliki mpagani huna maadili ya Chama wewe nje tu!!!! Nyie ndo mnaomfanya magogoni aonekane mdini!![/QUO HATA KAMA ILA NI MUDA SASA WATANZANIA WAIJUE SURA HALISI YA CHADEMA.
Chadema yasema Zitto aliponzwa na waraka tu

lisu_mnyika.jpg
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa chama hicho, John Mnyika. Picha na Edwin Mjwahuzi
Source: Mwananchi
Posted Jumatano,Novemba27 2013 saa 10:6 AM

KWA UFUPI

  • Yadai mengine hayakuzingatiwa katika kumvua vyeo, yamtaka kujibu tuhuma 11 za waraka huo, yatoa ratiba ya uchaguzi wake
Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema kimesema kwamba kilifikia uamuzi wa kumvua nyadhifa zake, aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake, Zitto Kabwe kutokana na sababu moja tu ya kuhusika katika Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013.

Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana kwamba waraka huo unaeleza mbinu za uasi ambazo zililenga kufanya mabadiliko makubwa ya kiuongozi wakati wa uchaguzi mkuu wa ndani wa chama hicho jambo ambalo ni kinyume na katiba, sheria na itifaki za Chadema.

Hivi karibuni, Kamati Kuu ya Chadema iliwavua nyadhifa zao, Zitto, Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo na Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba kutokana na madai hayo.

Siku tatu zilizopita, Zitto na Dk Kitila waliitisha mkutano wa wanahabari na kueleza sababu mbalimbali za kung'olewa kwao ikiwamo suala la posho na ruzuku za vyama vya siasa.

"Wamefukuzwa katika uongozi kutokana na kuandaa mpango wa mapinduzi uliopo katika waraka wa ‘Mkakati wa Mabadiliko 2013," alisema Lissu na kuongeza:

"Hawa wote hawakuvuliwa madaraka kwa sababu ya taarifa za Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kuhusu ukaguzi wa hesabu za chama, suala la posho kwa wabunge wala kuuza majimbo ya uchaguzi mwaka 2010."

Alisema kutokana na kosa hilo, Sekretarieti ya Kamati Kuu ya Chadema ilikutana juzi kupitia uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu na kuridhika nao, "Leo (jana) wahusika wote watapatiwa barua zao zilizoorodhesha makosa yao kumi na moja wanayotakiwa kujibu ndani ya siku 14." Bila ya kuyataja, Lissu alisema makosa hayo yote yamejikita katika waraka huo.

Mnyika pia alijibu hoja zilizotolewa na Wakili wa kujitegemea na Diwani wa Kata ya Mabogini mkoani Kilimanjaro (Chadema), Albert Msando juu ya kasoro wakati wa kutoa hukumu kwa makosa ya Zitto na Dk Kitila, ikiwa ni pamoja na kukiukwa kwa katiba ya chama inayoeleza kuwa mtu hatachukuliwa hatua za kinidhamu kabla ya kupewa mashtaka kwa maandishi na mamlaka husika na kupewa nafasi ya kuyajibu kwa maandishi.

Mnyika alisema, "Zitto na Dk Kitila hawakumwambia wakili wao ukweli kwamba kanuni hii ya chama ilishafanyiwa marekebisho muda mrefu na Baraza Kuu la chama na kuongezwa kifungu (d), ambacho kinasema: "Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura kama inaona masilahi ya chama yanaathiriwa."

Waraka

Mnyika alisema waraka uliowang'oa Zitto na Dk Kitila ambao umechapishwa katika magazeti mbalimbali pamoja na mitandao ya kijamii, siyo ule uliowasilishwa katika Kikao cha Kamati Kuu.

"Waraka utakaotumika katika mashtaka yao siyo huo. Sisi tutautumia ule ambao uliwasilishwa katika Kamati Kuu ambao una mambo makubwa na mengi zaidi kuliko huo unaochapishwa sehemu mbalimbali, ikibidi tutautoa huo waraka halisi," alisema.

 
......Hatuangalii dini yako ficha upumbavu hata ungekuwa mkatoliki mpagani huna maadili ya Chama wewe nje tu!!!!

Nyie ndo mnaomfanya magogoni aonekane mdini!![/QUO

HATA KAMA ILA NI MUDA SASA WATANZANIA WAIJUE SURA HALISI YA CHADEMA.


....watanzania gani zaidi ya wamakonde, wasukuma, wazaramo, wagogo, wachaga, wafyome, wahaya, wanyaturu...wengine wasomali, wahindi waarabu hao ni wakuja tu!!!
 
achana na huyo sixgates mkuu, endelea tu kuhubiri udini na ukabila, maana ndio hoja nzito itakayoimaliza chadema.
Chadema ni chama cha wakristo, cha wa chaga na watu wa kaskazini, kwa maana hiyo,
1)wachaga wote wanatakiwa wajiunge chadema.
2)watu wa ukanda wa kaskazini wote wanatakiwe wawe chadema.
3)wakristo wote, wawe chadema.

Si ni chama cha wachaga, ukanda wa kaskazini na pia cha wakristo?





ndioooo!? Liwalo naliwe si mmemwaga mbogaaa?
 
Back
Top Bottom