THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,843
- 15,168
Mkuu THE BIG SHOW please spare Zitto for a while. Zitto ni msomi alieiva, ni mwanasiasa shupavu mwenye high degree ya uelewa wa siasa za ndani na nje. He is not cheap to talk some shit concern habari ya Udini, ukabila, ukanda.. Only coward do.
Zitto kapata umaarufu kwa sababu ya kisimamia hoja za kitaifa na mara zote amekuwa mshindi. Zitto hahitaji msaada wa baadhi ya "wapuuzi" wanaotumia jina lake kuichafua taswira nzuri aliyo nayo katika siasa za ndani na nje ya hili taifa.
Kama kuna namna nyingine ambayo mnataka kuhubiri udini, ukanda na ukabila kupitia Jina la Zitto tafaadhali hahitaji msaada wa team zitto or frends of zitto.
Narudia, Zitto asihusishe na vikundi vya kihuni ambavyo ajenda zao hazijajengwa katika misingi ya kupigania demokrasia ndani ya chama, na taifa. Asihusishwe na vikundi vya maandamano na wanaochoma bendera, asihusishwe na vikundi vinavyoratibu mikutano ya kuhubiri chuki.
We appreciate your support but we don't entertain any kind actions which will tarnish the image of hon. Zitto.
Asante.
Sikiliza Wapi tumesema kwamba hili tunalolisema tunasema on behalf of zitto kabwe??
Hata kama zitto kabwe akawepo ndan ya chama hiko ama asiwepo it makes no difference kwetu sisi kuacha kuzungumzia mambo ambayo tunaona yanapaswa kuzungumzwa,
Kwan suala la ukanda na ukabila na kupokea amri za kuendeshwa chama hiki ni uongo kwamba zinatoka kwa AYATOLLAH MTEI??
Nan kakuambia watu wapo hapa kupigania vita ya zitto kabwe??tupo hapa kupigania vita ya taifa letu kwa maslahi ya vizaz vyetu vya sasa na baadae,wewe kama unadhan watu wapo hapa kuicheza ngoma ya zito kabwe na slaa you better think twice about it,
HAKUNA KUMEZA MEZA MANENO KATIKA HILI,SUALA LA UKANDA,UDINI NA UKABILA KWENYE HIKI CHAMA LIFE KAMA KWELI WANATAKA KIWE NI CHAMA CHA KITAIFA