Huu ujumbe ni wa kweli kabisa... Mnataka muibadili CCM mgombea na mwenyekiti wa CCM awe Januari Makamba kisa dini (Lowasa dini yake haitakiwi)... Zitto awe mwenyekiti CHADEMA kisa Dini na kabila - Mchaga aondoke!..; Hashimu Rungwe amekuwa mwenyekiti CHAUMMA kisa DINI... Kafulila awe mwenyekiti NCCR kisa MUHA ili mchaga aondoke!!!Mkuu mimi nimeondoka chadema but I can assure you kuwa I and my coligue we will shape and install watu tunaowahitaji kwenye uongozi ndani ya chadema. We are the king makers tumejiapiza.
Na hii sio chadema tuu, hadi ndani ya ccm na vyama twenye navyo interest.
Back to topic. Kuhusu kushindwa wasema wewe, hii vita laini sana, tena sana. Mungu ajalie niwepo JF hapa.
