Tahadhari Kubwa kwa watu wote

Tahadhari Kubwa kwa watu wote

FirstLady ni kweli kabisa. Yapo mengi sana ambayo Zitto amejikaza kisabuni na asingependa kuyatamka, kama yeye hapendi kuyatamka sii vyema watu kutumia jina lake kuya adress hayo mambo yanaathiri mwenendo mzima wa hii issue inayoendelea, na sii aina ya siasa zake. Kama unavyojua zitto ni mtu makini sana anajadili mambo mazito ya kuliiunganisha taifa. Hoja za ukabila, ukanda tuwaachie wengine ila kwa sasa Zitto hajazisema.
Ameacha lini kuzisema? Mbona ndiyo mapambano anayoyaendesha?
 
Zitto anapambana na udini ukabila na uchaga... Kisha atajaza waha na watu wa kigoma ndani ya CHADEMA.

Hizi ni hoja za kipuuzi, ni mpuuzi anaeweza kutilia maanani huu upuuzi.
 
TEAM ZITTO + Zitto wamechanganyikiwa.
Project imekwisha. sixgate huna mpya, kamuulize Zitto kama akipiga simu kwa Zoka anampata, Kimei, Wassira n.k wote hawapokei simu yake wala hawataki kumuona.
Huu ujinga wako wa Team zitto hauwasaidii wewe wala baba yako Zitto

Mkuu hayo ni maisha binafsi sana, hayana la kufanya na bandiko nililoweka, otherwise mkuu you are taking things too personal.

Kama kuna kiongozi yoyote wa chama cha upinzani asiewasiliana na usalama wa taifa aje aseme.

Watanzania hatujui tu mambo mengi tupo kusoma hekaya na kuzihuisha.
 
Last edited by a moderator:
hii vita ngumu, mbona wapiganaji mmeanza kurushiana na kupigana mishale jamani...?poleni....ivi wewe si kuna huzi ulisema umejitoa chadema???mbona sasa unaongelea mada za cdm na akina zitto ambao sasa bado ni cdm ihali ushasema umejitoa?? kwa iyo team zitto ya ukweli ipi sasa , ya kwako au nyakarungu??tuwekee sawa ili tusijedhani tunamfuata zitto kumbe tukajikuta mikononi mwa maadui wa zitto...akyanani kukosa ajira rasmi ni hatari,njaa itawaua vijana.....................

Mkuu hii vita tunashinda
 
Marire huwa nakushangaaga sana, na elimu yako unakuwa unafuata mkumbo tuu.

Kwa maelezo ya mnyika waraka halisi bado haujasambazwa unaosambaa ni fake. Bonefide genuine upo kamati kuu ikibidi watautoa. Sasa huo waraka uliosoma ni upi?

Na kama waraka uliousoma ni huu unaosambaa na mimi nimeusoma, una tatizo gan? Nadhani chadema waufanyie kazi ni mzuri katika kukuza democrasia.

Haswa nawashauri waifuate sana ile sehem ya kwanza.

hukunielewa nilichoandika?
nimepewa waraka wa "siri " ule unaosema zito alikuwa akipewa hela na kuficha ujerumani.
kosa langu lipi hadi usungumzie elimu yangu ya division five?
 
Last edited by a moderator:
hukunielewa nilichoandika?
nimepewa waraka wa "siri " ule unaosema zito alikuwa akipewa hela na kuficha ujerumani.
kosa langu lipi hadi usungumzie elimu yangu ya division five?

Hiyo ni hekaya ya kupuuzwa. Eti watu wkaingia chumba cha benki crdb wapo wawili wakazungumza kile wakazungumza hiki. Hata shigongo haandiki hadithi za bei rahisi hivi
 
mkuu sixgates kwa mtazamo huo ungetakiwa upingane moja kwa moja na hoja ya FirstLady bila kupepesa macho.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hii vita tunashinda

mkuu sijui kama mtaweza maana mnapingana na mtizamo wa watanzania wengi...mkipata muda mjifanye raia wa kawaida kisha mpite mitaani, nyumba kwa nyumba mnajifanya kuulizia maamuzi ya chadema kumpiga chini zitto... kisha uamue mwenyewe. Siwasemei wai ila fanya tafiti mtaani ili japo ujue msimamo wa watu 7 kati ya kumi watakuelezaje...
Ujue tukiwa kwenye komputa ni rahisi kujiaminisha ila ingia mtaani kisha upate jawabu...sijui kama utalaumu kuwa watz hawampendi zitto au utasema jamii imeongwa na cdm kufurahia maamuzi ya cdm. Mimi sio mwanasiasa ila kwa mwendo huu wa kila mtu kutamka analotaka , frndly speaking mtapotea kwenye siasa zenu. Tafadhali usije kukimbia jf, nakuomba ikifika mwaka 2014 june tukutane hapa jf ili tuambiwe/feedback ya mipango yenu...MKIFANIKIWA MIMI NTAKUWA WA KWANZA KUJIUNGA NANYI...ILA KWA NINI MSIANZISHE CHAMA CHENU MKAKIITA CHADEMA B ALAF MTUALIKE WANANCHI TUJIUNGE???KWA NINI CDM YA SASA MNAIPENDA SANA?KAMA CDM NI NYIE WALA SIO MWENYEKITI WA SASA, KATIBU MKUU WA SASA, WALA SIO KAMATI KUU YA SASA BALI NYIE NDO WENYE KAULI, KWA NINI MSIWATOSE CHADEMA YA SASA ILI MUUNDE CHADEMA MAKINI ILI WOTE TUKIMBILIE UKO???ILI HATA MBOWE NA SLAA WAJE KUOMBE KUJIUNGA NA NYIE ALAF MUWAKATALIE KUWA NI MADIKTETA? Au kuna nini uko cdm mpaka mmeamua kufa na kupona mnaangamia uko?ref sitoki cdm na siombi radhi.....tafakari...
 
mkuu sijui kama mtaweza maana mnapingana na mtizamo wa watanzania wengi...mkipata muda mjifanye raia wa kawaida kisha mpite mitaani, nyumba kwa nyumba mnajifanya kuulizia maamuzi ya chadema kumpiga chini zitto... kisha uamue mwenyewe. Siwasemei wai ila fanya tafiti mtaani ili japo ujue msimamo wa watu 7 kati ya kumi watakuelezaje...
Ujue tukiwa kwenye komputa ni rahisi kujiaminisha ila ingia mtaani kisha upate jawabu...sijui kama utalaumu kuwa watz hawampendi zitto au utasema jamii imeongwa na cdm kufurahia maamuzi ya cdm. Mimi sio mwanasiasa ila kwa mwendo huu wa kila mtu kutamka analotaka , frndly speaking mtapotea kwenye siasa zenu. Tafadhali usije kukimbia jf, nakuomba ikifika mwaka 2014 june tukutane hapa jf ili tuambiwe/feedback ya mipango yenu...MKIFANIKIWA MIMI NTAKUWA WA KWANZA KUJIUNGA NANYI...ILA KWA NINI MSIANZISHE CHAMA CHENU MKAKIITA CHADEMA B ALAF MTUALIKE WANANCHI TUJIUNGE???KWA NINI CDM YA SASA MNAIPENDA SANA?KAMA CDM NI NYIE WALA SIO MWENYEKITI WA SASA, KATIBU MKUU WA SASA, WALA SIO KAMATI KUU YA SASA BALI NYIE NDO WENYE KAULI, KWA NINI MSIWATOSE CHADEMA YA SASA ILI MUUNDE CHADEMA MAKINI ILI WOTE TUKIMBILIE UKO???ILI HATA MBOWE NA SLAA WAJE KUOMBE KUJIUNGA NA NYIE ALAF MUWAKATALIE KUWA NI MADIKTETA? Au kuna nini uko cdm mpaka mmeamua kufa na kupona mnaangamia uko?ref sitoko cdm na siombi radhi.....tafakari...

Mkuu mimi nimeondoka chadema but I can assure you kuwa I and my coligue we will shape and install watu tunaowahitaji kwenye uongozi ndani ya chadema. We are the king makers tumejiapiza.

Na hii sio chadema tuu, hadi ndani ya ccm na vyama twenye navyo interest.

Back to topic. Kuhusu kushindwa wasema wewe, hii vita laini sana, tena sana. Mungu ajalie niwepo JF hapa.
 
Kwa kuongezea hapo, ni kwamba wameanza kuparurana wenyewe kwa wenyewe...!!
Sijamuona Ritz leo..Vipi...??
Hii inaonyesha kuwa hali ni ngumu kwa wafuasi wa Zitto.
Ikumbukwe kuwa kabla ya kusimamishwa uongozi kwa Zitto, wana-CCM wote wa JF walikua wanaungana mkono katika kila thread na post walizoandika.
Sasa, wanalaumiana na kugeukana baada ya 'kumponza' 'mwenzao' Zitto.
Well, Zitto is out, and gone forever....
Leo Zitto yuko facebook anamkumbuka Amina Chifupa...!!!

Wakati ule mambo yakiwa bado katika hali ya tetesi kuhusu Usaliti wa ZZK, Ritz katika michango yake alikuwa anasema, kama kweli CDM, mnamuona Zitto ni mnafiki, mfukuzeni tuone kama chama hakitakufa. Leo hii Zitto kawekwa mtu kati, hao hao akina Ritz wanakuja kutia huruma humu! Kama kweli Zitto ni mzuri kihivyo kama wanavyosema MaCCM, kwanini sasa wasimchukue akawe kiongozi kwao?
 
Hivi wahafidhina ndo Watu gani jamani? Naomba msaada tafadhali
 
Zitto ni jembe ni msomi aliyesoma akaondoa ujinga na akaelimika waseme watakavyo lakini heshima yake kitaifa na kimataifa iko pale pale.
 
Last edited by a moderator:
Hivi wahafidhina ndo Watu gani jamani? Naomba msaada tafadhali
 
Hizi ni hoja za kipuuzi, ni mpuuzi anaeweza kutilia maanani huu upuuzi.
Zitto yupo kazini. Anapigania maslahi ya WAHA siyo watanzania.. Ndiyo maana yeye na muha mwenzake (KAFULILA) walianzisha chama cha waha (CHAUMMA) na kumpa uenyekiti MUHA mwenzao Hashim Rungwe... Mpaka sasa Zitto ni mfadhili wa CHAUMMA...

Tukana saana, lakini ukweli lazima ujulikane.
 
Zitto ni jembe ni msomi aliyesoma akaondoa ujinga na akaelimika waseme watakavyo lakini heshima yake kitaifa na kimataifa iko pale pale.
Zitto yupo kazini. Anapigania maslahi ya WAHA siyo watanzania.. Ndiyo maana yeye na muha mwenzake (KAFULILA) walianzisha chama cha waha (CHAUMMA) na kumpa uenyekiti MUHA mwenzao Hashim Rungwe... Mpaka sasa Zitto ni mfadhili wa CHAUMMA...
 
Wana-CCM wanamuhurumia Zitto baada ya kumponza ndio maana wako mstari wa mbele kumtetea.

Hili liwe funzo kwa wana-CHADEMA wote na upinzani kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom