sasa wewe una tofauti gani na hao team Zitto??Kwa watu wote, wanademokrasia na hata wale wahafidhina tufikie mahali tuweze kuzitenganisha propaganda na media spinning zinazoendelea kwa sasa kuhusu issue ya Zitto na chadema.
Natoa tahadhari kubwa sana hapa jamvini na nitasambaza hizi taarifa kwa vyombo vingine vya habari na social media nyingine.
Kuna baadhi ya watu wanaojiita "TEAM ZITTO" ambao pengine kwa nia njema ama kwa maksudi tu wanaharibu Taswira ya Mh Zitto Kabwe kwa kujaribu kutembea katika jina la Zitto kutoa Matamko, maneno na kuratibu mikutano isiyo rasmi kwa kusema wao ni TEAM ZITTO. Imebainika katika kufanya hivi sio tu inamchafua Zitto bali ina lengo la kumchonganisha Ndg Zitto na aidha viongozi wa chadema, kamati kuu ya chama, wapenzi,mashabiki wa chadema, marafiki na hata wananchi. Ajenda zinazoibuliwa na kikundi kinachojiita TEAM ZITTO ni tofauti na zile Zitto alizoziainisha mbele ya vyombo vya habari.
TUHUMA ZITTO ALIZOZIAINISHA KWA VYOMBO VYA HABARI
- Kutokushiriki kampeni za urais
- kutoshiriki operation za chama
- ukaguzi wa vyama
- posho za vikao
Zitto hajazungumzia lolote kuhusu Ukanda, Ukabila, ieleweke na iwe wazi tatizo aliloliainisha ni mapambano ya kukuza demokrasia ndani ya chama, mapambano dhidi ya wapenda demokrasia dhidi ya wahafidhina.
Kwa namna yoyote Zitto Kabwe asihusishwe na taarifa tofauti na hizi, asihusishwe na baadhi ya maandamano, asihusishwe na mikutano inayoratibiwa na wanaojiita TEAM ZITTO. Kama kuna taarifa zozote ambazo zinamuhusu zinukuliwe kutoka kwake moja kwa moja na sio mkusanyiko wa soga zisizo za msingi wowote.
Mwisho, kwa wale wote wapenda demokrasia watambue nyakati ngumu ni sehemu ya maisha ya binadamu, Zitto amekubali kufuata taratibu zote za chama kuhakikisha anahitimisha mtikisiko huu kwa hekma na kwa uvumilivu mkubwa.
Sixgates
DSM
sasa wewe una tofauti gani na hao team Zitto??
mbona vijana mnahangaika sana?? kazi mnafanya saa ngapi wapumbavu wakubwa nyie??
Mkuu mimi ni mwanademokrasia. Pengine vita hii ina nisideline.. Zitto hata akiondoka chadema hakika historia itakuwa upande wake.
Pole sana Mheshimiwa ZITTO!... Sikujua kwamba una ID kibao.... Unawasemaji kibao!... Wanahamia CCM bado wanakuwa wasemaji wako!... Wanahamia CCM wanaendelea kuchochea ukanda udini na UKABILA ndani ya chama na taifa!!!!!....Zitto hajazungumzia lolote kuhusu Ukanda, Ukabila, ieleweke na iwe wazi tatizo aliloliainisha ni mapambano ya kukuza demokrasia ndani ya chama, mapambano dhidi ya wapenda demokrasia dhidi ya wahafidhina.
Kwa namna yoyote Zitto Kabwe asihusishwe na taarifa tofauti na hizi, asihusishwe na baadhi ya maandamano, asihusishwe na mikutano inayoratibiwa na wanaojiita TEAM ZITTO. Kama kuna taarifa zozote ambazo zinamuhusu zinukuliwe kutoka kwake moja kwa moja na sio mkusanyiko wa soga zisizo za msingi wowote.
Mwisho, kwa wale wote wapenda demokrasia watambue nyakati ngumu ni sehemu ya maisha ya binadamu, Zitto amekubali kufuata taratibu zote za chama kuhakikisha anahitimisha mtikisiko huu kwa hekma na kwa uvumilivu mkubwa.
Sixgates
DSM
Umeshahama kabla ya uamuzi wa kamati kuu?Kwa sasa sijuti. Pengine kuna siku nitaomba radhi.
Kwa watu wote, wanademokrasia na hata wale wahafidhina tufikie mahali tuweze kuzitenganisha propaganda na media spinning zinazoendelea kwa sasa kuhusu issue ya Zitto na chadema.
Natoa tahadhari kubwa sana hapa jamvini na nitasambaza hizi taarifa kwa vyombo vingine vya habari na social media nyingine.
Kuna baadhi ya watu wanaojiita "TEAM ZITTO" ambao pengine kwa nia njema ama kwa maksudi tu wanaharibu Taswira ya Mh Zitto Kabwe kwa kujaribu kutembea katika jina la Zitto kutoa Matamko, maneno na kuratibu mikutano isiyo rasmi kwa kusema wao ni TEAM ZITTO. Imebainika katika kufanya hivi sio tu inamchafua Zitto bali ina lengo la kumchonganisha Ndg Zitto na aidha viongozi wa chadema, kamati kuu ya chama, wapenzi,mashabiki wa chadema, marafiki na hata wananchi. Ajenda zinazoibuliwa na kikundi kinachojiita TEAM ZITTO ni tofauti na zile Zitto alizoziainisha mbele ya vyombo vya habari.
TUHUMA ZITTO ALIZOZIAINISHA KWA VYOMBO VYA HABARI
- Kutokushiriki kampeni za urais
- kutoshiriki operation za chama
- ukaguzi wa vyama
- posho za vikao
Zitto hajazungumzia lolote kuhusu Ukanda, Ukabila, ieleweke na iwe wazi tatizo aliloliainisha ni mapambano ya kukuza demokrasia ndani ya chama, mapambano dhidi ya wapenda demokrasia dhidi ya wahafidhina.
Kwa namna yoyote Zitto Kabwe asihusishwe na taarifa tofauti na hizi, asihusishwe na baadhi ya maandamano, asihusishwe na mikutano inayoratibiwa na wanaojiita TEAM ZITTO. Kama kuna taarifa zozote ambazo zinamuhusu zinukuliwe kutoka kwake moja kwa moja na sio mkusanyiko wa soga zisizo za msingi wowote.
Mwisho, kwa wale wote wapenda demokrasia watambue nyakati ngumu ni sehemu ya maisha ya binadamu, Zitto amekubali kufuata taratibu zote za chama kuhakikisha anahitimisha mtikisiko huu kwa hekma na kwa uvumilivu mkubwa.
Sixgates
DSM
Ukabila, udini na ukanda mnaopandikiza hautawaacha nyie salama... Hamia Chauma muone.Najua ugumu wa kuzungumza mambo mazito ya kitaifa na watanzania wa kaliba yako, nayachukua hayo matusi kama changamoto.
Zitto anapambana na udini ukabila na uchaga... Kisha atajaza waha na watu wa kigoma ndani ya CHADEMA.Mkuu umeninukuu vibaya sana.
Zitto pengine ana mengi ya kusema lakini aliyoyasema ndio anaona yana ujenzi kwa chadema, musimuwekee maneno ambayo hajasema na asiingizwe kwenye matamko ya kipuuzi. Ashasema atafuata taratibu zote za chama kuhitimisha kadhia hii. Full stop.
Najua kuna kikundi kimeeanzishwa na chadema kuhakikisha kinalobby umma ili kujidai ni wafuasi wa Zitto ambao wana maono ya kihuni. Narudia Hoja ya zito ni malumbano ya democrasia ndani ya chadema. Bado anaamini chadema ni chama kinachoweza kuleta mabadiliko ya kweli nchini
wote waliochangia natofautiana nae,zitto ametuma wanaosambaza upuuzi huu dhidi ya viongozi wake,hapa ni mbinu kuwa ahusiki,amenyea siasa manina zake.
Ukabila, udini na ukanda mnaopandikiza hautawaacha nyie salama... Hamia Chauma muone.
Huyu ni Zitto.Wewe ni 'msemaji' wa Zitto, au, wewe ndio Zitto mwenyewe...???
Pole sana Mheshimiwa ZITTO!... Sikujua kwamba una ID kibao.... Unawasemaji kibao!... Wanahamia CCM bado wanakuwa wasemaji wako!... Wanahamia CCM wanaendelea kuchochea ukanda udini na UKABILA ndani ya chama na taifa!!!!!....
Umeshahama kabla ya uamuzi wa kamati kuu?