DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Kumbe unaponzwa na njaa,unamfagilia muhuni mwenzie.Mkuu mimi ni mwanademokrasia. Pengine vita hii ina nisideline.. Zitto hata akiondoka chadema hakika historia itakuwa upande wake.
Kumbe unaponzwa na njaa,unamfagilia muhuni mwenzie.Mkuu mimi ni mwanademokrasia. Pengine vita hii ina nisideline.. Zitto hata akiondoka chadema hakika historia itakuwa upande wake.
Wapi Team Zitto wa JF....???
sixgates umechelewa saaaana kuwanyamazisha wenzako.
Ungeanza 'kampeni yako tangu mwaka jana, ila baada ya 'Team Zitto' kwenda out of control, ndio umeshtuka...??
Kumbuka, hii hii team zitto ilipokuwa inampigia debe zitto kwenye mambo yake na 'waraka' wake yeye na wenzake ulikaa kimya..!!!
Sasa unahaha kumuokoa Zitto...??
Too late, Chadema imeshashika 'shoka' mkononi.....
![]()
sixgates busara hzi ungeziweka mapema "pengne" yasingekuwa yamesambaa hvyo.... Kama ulivyomjibu FirstLady kwa kukubaliana na hoja aliyoiandka unaonekana kupingana na uliyoyasema, bado unaamin ktk swala la udini na ukanda na ukieleza kuwa ZZK anatambua ila bado hajayaongelea, sielewi kwanin kama zzk alikuwa anatambua hilo alikaa nalo "zaidi ya miaka 16 ndani ya CDM" Sielewi pia kwanin hakulisema hilo juzi wakat akijua ndilo linalomtoa Cdm, je? Inamaana anataka kurudi kwenye udini, ukanda, na ukabila?
Umeeleza kwamba chochote kinachomhusu Zitto kinukuliwe kutoka kwake moja kwa moja na si kutoka kwa wapiga soga zisizo na msingi wowote. Je, wewe ni Zitto? Au mpiga soga kama Team Zitto?
Wewe ni msemaji wa mshumbusi ? Mbona huwa unamtetea?
Mkuu umeninukuu vibaya sana.
Zitto pengine ana mengi ya kusema lakini aliyoyasema ndio anaona yana ujenzi kwa chadema, musimuwekee maneno ambayo hajasema na asiingizwe kwenye matamko ya kipuuzi. Ashasema atafuata taratibu zote za chama kuhitimisha kadhia hii. Full stop.
Najua kuna kikundi kimeeanzishwa na chadema kuhakikisha kinalobby umma ili kujidai ni wafuasi wa Zitto ambao wana maono ya kihuni. Narudia Hoja ya zito ni malumbano ya democrasia ndani ya chadema. Bado anaamini chadema ni chama kinachoweza kuleta mabadiliko ya kweli nchini
sixgates nimeshangaa leo nikiwa mjini nimepewa copy za ule waraka wa zito na mtu nisiemjua na kunibia kajisomee umjue zito.
una kazi ya kumtetea kakako
Mkuu punguza mihemuko. Zito ni mwenyekiti PAC unaielewa?
sixgates nimeshangaa leo nikiwa mjini nimepewa copy za ule waraka wa zito na mtu nisiemjua na kunibia kajisomee umjue zito.
una kazi ya kumtetea kakako