Tahadhari kama umechagua course hizi TCU

Tahadhari kama umechagua course hizi TCU

kazi ipo...

Kuingia chuo, presha!

kupata mkopo, presha!

Soko la ajira, presha!

Tanzania yetu hii ni zaidi ya hizi herufi 8.
ni shidah:A S-eek::A S-eek::A S-eek:
 
ingia kwenye myprofile > application status > sogeza mouse kwnye code ya io coz utayaona ayo maelezo (usiclick)
Mdau aksante sana!

Wakati nasubiri majibu rasmi sina presha sana,nimeangalia kozi yangu ya kwanza inahitaji watu 95,waliomba ni 206 wenye vigezo(minimun requirement kama ndio kigezo kikuu) ni 169 nami nimo,waliomba chaguo la kwanza ni 36 tu.

Chaguo la pili watu 95 ,waliomba ni 103 wenye sifa ni 66,waliweka chaguo la kwanza ni 14.

Hapo siwezi kukosa chuo.
 
Mdau aksante sana!

Wakati nasubiri majibu rasmi sina presha sana,nimeangalia kozi yangu ya kwanza inahitaji watu 95,waliomba ni 206 wenye vigezo(minimun requirement kama ndio kigezo kikuu) ni 169 nami nimo,waliomba chaguo la kwanza ni 36 tu.

Chaguo la pili watu 95 ,waliomba ni 103 wenye sifa ni 66,waliweka chaguo la kwanza ni 14.

Hapo siwezi kukosa chuo.

Mkuu bila shaka hizo ni kozi za sayansi.
 
Wadogo zangu, msiyumbishwe na maneno ya vitisho na yenye kukatisha tamaa. Keep strong on your faith, done keep your chin up, time will reveal everything.

Mi nakumbuka wakati nafanya application. Petroleum chemistry UDSM ilikua inahitaji w/funzi 20 tu. Tuliapply wanafunzi 800, out of that scale 660 tulikua eligible na 540 tulijaza as 1st option. Nilivunjika moyo, niliwaza sana its fate nk... nilikata shauri ya kuedit app profile, nibadilishe 1st option yangu, lkn moyo ukasita. Nikaamua nisikilizie ivo ivo, liwalo na liwe.

Mwishoe selection za ud zilivyotoka, nikajikuta nimo kati ya hao few-chosen.

Msiogope madogo.

dah mkuu apo umegusa kamba iliyoshikilia moyo wangu kabisa nami nimeiweka 1st choice ila kuna nyomi la ajabu..
 
kama tungezingatia haya 2nd round isingewakuta wengi kihasi hiki!
 
kama tungezingatia haya 2nd round isingewakuta wengi kihasi hiki!


Kuna watu asili yao ni ubishi ma fundi kujua mtu kasoma HGL alafu o level ana F ya maths bado ana apply course kama finance economics tena kwenye
Vyuo kama ud mzumbe and ardhi

Katupwa huko second round
 
Kuna watu asili yao ni ubishi ma fundi kujua mtu kasoma HGL alafu o level ana F ya maths bado ana apply course kama finance economics tena kwenye
Vyuo kama ud mzumbe and ardhi

Katupwa huko second round

amina!
 
jaman mim mwenye upper second class ya diploma ya accountancy naeza kupata nafas ya Bcom in Acc Udsm na Udom ?, na vip mkopo wenye diploma wanapata ?
 
jaman mim mwenye upper second class ya diploma ya accountancy naeza kupata nafas ya Bcom in Acc Udsm na Udom ?, na vip mkopo wenye diploma wanapata ?

ndio una upper second...bt una GPA ya ngapi?...je umefika 6? au ? matokeo yako ya olevel yali kuwaje?
 
Duuh sasa hapo UDOM public administration nitapata kweli nina 2 ya 9...na kuna siku nili angalia watu 650 walikuwa wame apply na nafasi zinazohitajika ni 108 tu.

unapata mkuu..lakin sio kwa first round.....udom lazma wata ongeza wanafuzi....
 
Back
Top Bottom