CharlesMunyaka
Member
- Jul 24, 2014
- 65
- 3
Don knw wats wrong bro...
Don knw wats wrong bro...
Sheria UDSM wameshaaply zaidi ya watu 1400 wanahitajika watu 61 tu, sheria mzumbe wameaply zaidi ya 1000 wanaohitajika hawafiki mia na 70, transport and logistic management national instute of transport wameaply watu zaidi ya 2000 wanahitajika watu 55 tu , human resources mzumbe wameshaaply zaidi ya 1000 .
ANGALIZO kama umeaply hizi coz na una marks za kubabaisha naongelea kuanzia one ya 6,7, nakuendelea jiandae kuumia. Weka coz za vyuo visivyokua na ushindani. All the best! #victor
Hey unafanyaje kuona hivyo
Ingia kwenye account yako, then nenda katika profile lako hapo utakuta machaguo uliyofanya.. Mkuu!
Udom. Education (arts) watu elfu saba wame apply nafasi zilizopo ni 300 hivi
muwe mnatumia na busara wakati mnapost vitu hv mbona mnapenda kukatisha watu tamaa.kila mtu wakati anafanya application na imani alisoma vizuri guide book na kwa kila chuo alichochagua alijua wanahitaji nn na hawahitaji nn.sasa imekuwa mara ud wanataka hawa mara wameapply hawa.kuweni wapole bwana
Kivumbi kipo Public admnistration ya Mzumbe wanataka watu 60 tu.
Duuuh. Hivi vyuo vya serikali competition daah Acha tu.......
mi niliomba mwaka jana nikawa nimepeta hapo mlimni sociology dah nikaon hailipi nikapiga chini sasa nimefanya michakato na kuomba tena mwaka huu na nimechagua vyuo kama udsm,udom,saut,duce,ruaha kwa coz ya sociology ninapoint 5 .ushauri wadau kuna kupata kimoja kati ya hvyo
Duuuh. Hivi vyuo vya serikali competition daah Acha tu.......