mopalimo the don
Member
- Sep 25, 2014
- 29
- 26
nna diploma kutoka Tanzania Institute of Accountancy (Dar campus)
Tuliza presha Mungu akikijaalia utapata tu competition ya watu wa nacte sio kubwa kihivo.
nna diploma kutoka Tanzania Institute of Accountancy (Dar campus)
bora umemwambia ujue point 5 mwaka huu ni zakugusa tu maana hiyo ndo dv3 ya mwisho mwaka huu (CCD)..competition ni kubwa kinoma
nimeomba bach of acountng and finance with it pale ruaha catholic university kama chaguo la mwisho ila nahisi wakinipanga hapa nitakosa mkopo. msaada wenu, niitoe hii kozi? maana kozi nyngne za mwanzo nilizoweka ushndan n mkubwa na hii ya mwisho haina ushndani
jaman mim mwenye upper second class ya diploma ya accountancy naeza kupata nafas ya Bcom in Acc Udsm na Udom ?, na vip mkopo wenye diploma wanapata ?
nimeomba bach of acountng and finance with it pale ruaha catholic university kama chaguo la mwisho ila nahisi wakinipanga hapa nitakosa mkopo. msaada wenu, niitoe hii kozi? maana kozi nyngne za mwanzo nilizoweka ushndan n mkubwa na hii ya mwisho haina ushndani
nimeomba bach of acountng and finance with it pale ruaha catholic university kama chaguo la mwisho ila nahisi wakinipanga hapa nitakosa mkopo. msaada wenu, niitoe hii kozi? maana kozi nyngne za mwanzo nilizoweka ushndan n mkubwa na hii ya mwisho haina ushndani
jamani naomba kujua lolote kuhusu kozi ya bach of science general inadili na nn hasa ktk ajira zake.
kufundisha vijana mashuleni
kufundisha vijana mashuleni
Omba mucobs,jordan,au st john kwa hiyo BAF NO COMPETION
Wadogo zangu, msiyumbishwe na maneno ya vitisho na yenye kukatisha tamaa. Keep strong on your faith, done keep your chin up, time will reveal everything.
Mi nakumbuka wakati nafanya application. Petroleum chemistry UDSM ilikua inahitaji w/funzi 20 tu. Tuliapply wanafunzi 800, out of that scale 660 tulikua eligible na 540 tulijaza as 1st option. Nilivunjika moyo, niliwaza sana its fate nk... nilikata shauri ya kuedit app profile, nibadilishe 1st option yangu, lkn moyo ukasita. Nikaamua nisikilizie ivo ivo, liwalo na liwe.
Mwishoe selection za ud zilivyotoka, nikajikuta nimo kati ya hao few-chosen.
Msiogope madogo.
Ni kweli ninza kufikia ila uzito tofauti. Hata ukicheki katika vigezo vya kupata vyuo wana sema kuwa watazingatia viwango vupya na vya zamani hawatoangalia tuu vipya. Kwa viwango vipya ni kweli hiyo tano ni ndogo
Wakuu hivi mtu mwenye C C B Anakuwa na GPA ya ngapi? Mnisaidie tafadhalii