Tahadhari kama umechagua course hizi TCU

vvm

JF-Expert Member
Jul 18, 2014
6,303
10,334
Sheria UDSM wameshaaply zaidi ya watu 1400 wanahitajika watu 161 tu, sheria mzumbe wameaply zaidi ya 1000 wanaohitajika hawafiki mia na 70, transport and logistic management national instute of transport wameaply watu zaidi ya 2000 wanahitajika watu 55 tu , human resources mzumbe wameshaaply zaidi ya 1000 .

ANGALIZO kama umeaply hizi coz na una marks za kubabaisha naongelea kuanzia one ya 6,7, nakuendelea jiandae kuumia. Weka coz za vyuo visivyokua na ushindani.
 
ingia kwenye myprofile > application status > sogeza mouse kwnye code ya io coz utayaona ayo maelezo (usiclick)
 
sheria udsm wameshaaply zaidi ya watu 1400 wanahitajika watu 61 tu, sheria mzumbe wameaply zaidi ya 1000 wanaohitajika hawafiki mia na 70, transport and logistic management national instute of transport wameaply watu zaidi ya 2000 wanahitajika watu 55 tu , human resources mzumbe wameshaaply zaidi ya 1000 . ANGALIZO kama umeaply hizi coz na una marks za kubabaisha naongelea kuanzia one ya 6,7, nakuendelea jiandae kuumia. Weka coz za vyuo visivyokua na ushindani. All the best! #victor


Hebu tuambie pia ni wangapi walio eligible na ni wangapi wamechagua kama first choice,hapo tunaweza kucheza na probability
 
Last edited by a moderator:
Hebu tuambie pia ni wangapi walio eligible na ni wangapi wamechagua kama first choice,hapo tunaweza kucheza na probability

hapo ndio kwenye hoja mkuu,labda cha kuwashauri madogo wasubiri kwanza tcu waamue wala wasiogope maana kuna watu huchaguliwa course aliyoiweka ya 2,3,4 au mwisho..,mleta mada uwakatishe tamaa bhana wanachotakiwa kuzingatia wale waloapply vyuo vyenye competition kubwa kama udsm,muhas,sua,udom,mzumbe(hivi ni kimbilio la wengi hasa watokao familia masikini kwa mkono wa heslb wanasoma bila shida,sijatukana mtu hapa). wanatakiwa wawe na cut of points atleast 2points greater than the min points required for a particular course otherwise the nature will select you out..
 
Hebu tuambie pia ni wangapi walio eligible na ni wangapi wamechagua kama first choice,hapo tunaweza kucheza na probability

issue ya eligibility ...hayo 2tafahamu mwisho wa mwezi huu nahofu yangu mda wa kuedit utakua umeisha!
 
ingia kwenye myprofile > application status > sogeza mouse kwnye code ya io coz utayaona ayo maelezo (usiclick)

mkuu vvm, niambie eti kuna watu wakiingia kwenye 'my profile' view my selection status wanakuta course walizo chagua zipo proccessed au ni uongo?
 
mkuu vvm, niambie eti kuna watu wakiingia kwenye 'my profile' view my selection status wanakuta course walizo chagua zipo proccessed au ni uongo?


Mkuu acha mtero,processing inafanyika after deadline,kwa sasa bado watu wanaedit

Utapata tu chuo
 
Wadogo zangu, msiyumbishwe na maneno ya vitisho na yenye kukatisha tamaa. Keep strong on your faith, done keep your chin up, time will reveal everything.

Mi nakumbuka wakati nafanya application. Petroleum chemistry UDSM ilikua inahitaji w/funzi 20 tu. Tuliapply wanafunzi 800, out of that scale 660 tulikua eligible na 540 tulijaza as 1st option. Nilivunjika moyo, niliwaza sana its fate nk... nilikata shauri ya kuedit app profile, nibadilishe 1st option yangu, lkn moyo ukasita. Nikaamua nisikilizie ivo ivo, liwalo na liwe.

Mwishoe selection za ud zilivyotoka, nikajikuta nimo kati ya hao few-chosen.

Msiogope madogo.
 
Back
Top Bottom