Baba Genovivah
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 756
- 249
Utapata mkuu kwa point 5
bora umemwambia ujue point 5 mwaka huu ni zakugusa tu maana hiyo ndo dv3 ya mwisho mwaka huu (CCD)..competition ni kubwa kinoma
Utapata mkuu kwa point 5
We mwenzetu hili draft sijui umelipataje nimetafuta ila hamna kitu.
Ugumu wake, upo wapi mkuu? Kwenye profile lako hauni vyuo ulivyo chagua kaka?
Yani haioneshi. KAma. Yako jedwali la watu. Hawa. Wame apply. Kama. First. Second and third choice. .hiyo ndo siioni.
Umeomba chuo kupitia TCU ama NACTE CAS?
TCU -- CAS Ndo Niliyotumia
TCU CAS sifahamu, ila kwa NACTE CAS hivi ndivyo kwenye profile zinavyoonekana.
bora umemwambia ujue point 5 mwaka huu ni zakugusa tu maana hiyo ndo dv3 ya mwisho mwaka huu (CCD)..competition ni kubwa kinoma
Okay okay.....nashukuru kwa ufafanuzi
Wadogo zangu, msiyumbishwe na maneno ya vitisho na yenye kukatisha tamaa. Keep strong on your faith, done keep your chin up, time will reveal everything.
Mi nakumbuka wakati nafanya application. Petroleum chemistry UDSM ilikua inahitaji w/funzi 20 tu. Tuliapply wanafunzi 800, out of that scale 660 tulikua eligible na 540 tulijaza as 1st option. Nilivunjika moyo, niliwaza sana its fate nk... nilikata shauri ya kuedit app profile, nibadilishe 1st option yangu, lkn moyo ukasita. Nikaamua nisikilizie ivo ivo, liwalo na liwe.
Mwishoe selection za ud zilivyotoka, nikajikuta nimo kati ya hao few-chosen.
Msiogope madogo.
Wanaosema kuwa mnakatisha watu tamaa mi naona ni wazembe wa kufiikiri. Kuna watu wengi tunahitaji taarifa kama hizi ili kama kuna uwezekano tufanye marekebisho. Sasa mtu anakuja na kelele zake eti mnakatisha tamaa kwan umelazimishwa kusoma uzi huu? Mtoa mada endelea kutoa taarifa za namna hii bhana. Tatizo la wengi ni kuwa na self fullfiling bias alafu anataka mwishoni utokee muujiza wa mungu. Hahahaha aiseee mungu na mbio bhana. mambo mengine ni kufuata principle na system sio kusubiri muujiza.
wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni, hawatatikisika milele.