BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
Wakuu,
Wale wa mikoani, wake/ wapenzi wenu wanakuja kufata mzigo wa biashara hapa Dar. Mzigo wa kuchukua siku moja unakuta anatumia wiki nzima au wiki mbili.
Ambacho ulikuwa haujui ni kwamba mwenzako anajiuza hapa Dar.
Kuweni makini, sio hapa tu. Hata wale wanaosema wanafata mizigo China na Dubai huwa wanafanya hivyo pia. Unakuta mwezi mzima mtu anasema anakusanya mzigo, kumbe anajiuza weeee akichoka anarudi.
Wale wa mikoani, wake/ wapenzi wenu wanakuja kufata mzigo wa biashara hapa Dar. Mzigo wa kuchukua siku moja unakuta anatumia wiki nzima au wiki mbili.
Ambacho ulikuwa haujui ni kwamba mwenzako anajiuza hapa Dar.
Kuweni makini, sio hapa tu. Hata wale wanaosema wanafata mizigo China na Dubai huwa wanafanya hivyo pia. Unakuta mwezi mzima mtu anasema anakusanya mzigo, kumbe anajiuza weeee akichoka anarudi.