shinji jr
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 276
- 321
Wameanza kuwaheshimu wanaume wa dar taratibu bila kupendaWanaume wa mikoani vs wanaume wa dar
Naona wa mikoani mnapiga kimya leo baada ya kugundua wake zenu wanakuja kuliwa town.
Wameanza kuwaheshimu wanaume wa dar taratibu bila kupendaWanaume wa mikoani vs wanaume wa dar
Naona wa mikoani mnapiga kimya leo baada ya kugundua wake zenu wanakuja kuliwa town.
Sasa mtu kafata mzigo maana yake ana fedha sasa anajiuza ili iweje?Tamaa,umasikini au nini labda?Tuelimishe mkuu.Wakuu,
Wale wa mikoani, wake/ wapenzi wenu wanakuja kufata mzigo wa biashara hapa Dar. Mzigo wa kuchukua siku moja unakuta anatumia wiki nzima au wiki mbili.
Ambacho ulikuwa haujui ni kwamba mwenzako anajiuza hapa Dar.
Kuweni makini, sio hapa tu. Hata wale wanaosema wanafata mizigo China na Dubai huwa wanafanya hivyo pia. Unakuta mwezi mzima mtu anasema anakusanya mzigo, kumbe anajiuza weeee akichoka anarudi.
Nimeongea naye Leo asubuhi, shehena imekamilika ila meli za kusafirishia shehena Ndiyo shida, Maana Afghanistan nni landlocked country.Huenda ametekwa na taleban mkuu...pole sana
mkuu hii ni kweli kabisa kuna demu namfaham huwa anajiuza pale mitaa ya sinza na anatoka mkoaniWakuu,
Wale wa mikoani, wake/ wapenzi wenu wanakuja kufata mzigo wa biashara hapa Dar. Mzigo wa kuchukua siku moja unakuta anatumia wiki nzima au wiki mbili.
Ambacho ulikuwa haujui ni kwamba mwenzako anajiuza hapa Dar.
Kuweni makini, sio hapa tu. Hata wale wanaosema wanafata mizigo China na Dubai huwa wanafanya hivyo pia. Unakuta mwezi mzima mtu anasema anakusanya mzigo, kumbe anajiuza weeee akichoka anarudi.
Mkuu ni tahadhari au imekuuma?Wakuu,
Wale wa mikoani, wake/ wapenzi wenu wanakuja kufata mzigo wa biashara hapa Dar. Mzigo wa kuchukua siku moja unakuta anatumia wiki nzima au wiki mbili.
Ambacho ulikuwa haujui ni kwamba mwenzako anajiuza hapa Dar.
Kuweni makini, sio hapa tu. Hata wale wanaosema wanafata mizigo China na Dubai huwa wanafanya hivyo pia. Unakuta mwezi mzima mtu anasema anakusanya mzigo, kumbe anajiuza weeee akichoka anarudi.
Nmekumis we dada
Hahaha kama namuona kwenye kile ki apartment chake kule Guangzhou akiwa anamemenwa....
Sio wote mkuu kunawanawake wanao jitambua sana hawawezi kufanya upuuzi kama huo
Hivi ni kweli anajiuza?
mtege uwanja wa fisi au pale moriKwahiyo nikija nitamkuta Kimboka?
Hahah! hebu punguza sauti basi Jo
Asante mkuu, mwenye masikio na asikieYaani mkuu kajiuza mkeo ukajumlisha wanawake wote
Kuacha mke aende akafunge mzigo dar ni kuhatarisha ndoa hata mimi limenikuta,tafadhali ndugu zangu wa mikoani ukiona wewe unamuruhusu mkeo akafunge mzigo dar wengi wao wanagegedwa endelea kubisha na ujinga wako.kama kweli unataka ndoa iww salama yaani angalau iwe salama usimuruhusu mke akasafiri utajuta.Sio wote mkuu kunawanawake wanao jitambua sana hawawezi kufanya upuuzi kama huo
Hahaha haha haaaSi wanasemaga wanaume wa Dar haiko na ngufu, sasa hofu iko wapi..!!
Akija na mzigo mkuu,naomba niwe dealer nyie mkimalizana na mambo ya ndaniMke wangu yuko Afghanistan mwezi wa saba sasa anafunga mzigo
Ni bora kuhudumia watoto kuliko kumchunga mtu na mwili wake. Kwanini hamuombi talaka mkishindwa kuwavumilia waume zenu?Kama mkeo nae huwa anafata mizigo either msindikize mara moja mtengeneze utaratibu wa kutumiwa mzigo bila yeye kufata au msindikize kila akifata mzigo