Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Maisha kusaidizana..nao wa dar wapate uchi unaukula maboga,kisamvu ,makande wenye rutuba ya asili acha chips hizi
Faiza Ally atapita hapa na kusoma kimya kimya
Huko si ndiko naskia wana elements za usodoma na ghomora, atasalimika kweli akirudi Bosi?Mke wangu yuko Afghanistan mwezi wa saba sasa anafunga mzigo
Nmekumis we dadaFaiza Ally atapita hapa na kusoma kimya kimya
Hao wa kwenda China, Thai na HongKong wameliwa sana aiseee....
Umewaza ninNimecheka kwa sauti
Wakuu,
Wale wa mikoani, wake/ wapenzi wenu wanakuja kufata mzigo wa biashara hapa Dar. Mzigo wa kuchukua siku moja unakuta anatumia wiki nzima au wiki mbili.
Ambacho ulikuwa haujui ni kwamba mwenzako anajiuza hapa Dar.
Kuweni makini, sio hapa tu. Hata wale wanaosema wanafata mizigo China na Dubai huwa wanafanya hivyo pia. Unakuta mwezi mzima mtu anasema anakusanya mzigo, kumbe anajiuza weeee akichoka anarudi.
Sio wote mkuu kunawanawake wanao jitambua sana hawawezi kufanya upuuzi kama huo
Huenda ametekwa na taleban mkuu...pole sanaMke wangu yuko Afghanistan mwezi wa saba sasa anafunga mzigo