Tafsiri na uchambuzi wa matokeo ya udiwani

Labda niulize swali ambalo niliuliza mwaka jana lakini hakuna aliyejibu. Why in just five years, President Sata managed to built an admirably big party, attracting huge crowds at campaign rallies and paid off in the 2006 election, raising 44 legislators in the 150-member National Assembly kabla ya kushinda urais mwaka jana? Kwa nini Chadema na vyama vingine vya upinzani Tanzania vimeshindwa kufanya hivyo tokea mwaka 1995?

Swali zuri sana. Lakini bila kufanya utafiti kwa mtazamo wangu naweza kuona alichofanikiwa ni kwanza umoja kati ya vyama vya upinzani. Hilo ni tatizo ambalo naliona linasumbua vyama vya upinzania Tanzania. Mwai Kibaki naye alifanikiwa kuking'oa KANU kwa utaratibu huo wa kuunganisha nguvu.

Nimejaribu kuangalia kura zilizopigwa katika uchaguzi huu mdogo, nimekuja kugundua kitu kimoja ambacho CCM imenufaika ni divide and rule. Utaona CUF, CHADEMA na kila cha Kafulila wangeweza kuwanyang'anya CCM viti vingi tu kwani walichoshindwa wapinzani ni kugawana kura ambapo CCM imenufaika na mpango huo walioukamilisha.

Ndoto zangu ni kuona hasa vyama vyenye uwakilishi bungeni kuunda jopo la pamoja katika uchaguzi hasa uchaguzi mkuu ujao, kwani tofauti walizo nazo wasipozizika kitakachotokea uchaguzi Mkuu ujao utakuwa mshangao wa wengi wasivyotegemea.

Viongozi wa Chadema taifa wateremke kutoka pale walipo wawafikie viongozi wanzao wa vyama vya upinzani wawe na jiko moja na meza moja chakula kitakuwa kitamu.
 
Si lazima wasusie lakini hawajafanya shinikizo lolote la kudai daftari la kura liboreshwe; hakuna jaribio lolote la kuleta mswada wa kufanyia mabadiliko sheria ya uchaguzi; katika mikutano yote ya M4C sikumbuki ni upi ulikuwa unalalamikia daftari la wapiga kura? Na kususia uchaguzi ni njia ya shinikizo. Unaposusia uchaguzi unakuwa umechagua principle. Lakini siyo kususia tu kama kususia lakini unasusia huku unatumia njia nyingine za kuprotest ili kususa kwako kuwe na maana. Siyo unasusa halafu unaenda kulala nyumbani!

Walishalalamikia hilo na hoja iliyotolewa na serikali ya CCM wanasubiri Katiba mpya yenye kutoa tathmini na maelekezo ya uboreshaji wa daftari la wapiga kura.
 
Mkuu Invisible kwa wataalamu wa lugha hii tunaiita kejeli. Yaan umeauliza swali ambalo lenyewe ndio jibu. Kifupi mhadhiri mwenzangu alipaswa afanye hayo uliyomuuliza na si kuja na visingizio vya Chama chake kushindwa.
Eti mwadhiri mwenzako!!!!!! Wewe labda unafundisha pumba au ni Mwalimu wa lugha wa wakina Mulugo
 
Kwa matokeo haya jamani tuheshimu wanzazibari wapo juu sana kisiasa. Believe me kama siyo "mapinduzi daima"siku nyingi tu upinzani Zanzibar ipo ikulu.
 
The question though too big for me..Let me try out.....Ni kuwa Zambia ilisha bomoa ile dominant system iliyokuwepo wakati wa Kaunda..so kwa Zambia change was not new but was a trend...Pili kwakua Zambia ilishaingia kwenye mageuzi mapema zaidi kuliko Tanzania pengine sheria zake zilikuwa siyo za party supremacy kama ilivyo kwa CCM ambapo kuna blend ya hali ya juu kiasi ambacho dola yote inaongozwa na makada tena ambao wengi wao wako katika comfort zone so it means katika dola ya Tanzania every chief execative has a stake into it so kuiondoa CCM ni aoutomatically kuwatangazia wao ku loose so everybody is watching that na wako waangalifu sana kuangalia how much the will gain or loose if it happens CCM ina loose..So far inaonekana wengi wata loose kuliko ku-gain so bora kwa mbinu yeyote ile kuendelea kuisaidia CCM kuliko kuwaacha hawa new comers kwanza ku-gain popularity na hata pia kuwin....

Ndiyo maana CCM ikiona potential figures wanataka kutoka wana compromise haraka sana....

Lakini hii haina maana kuwa CDM hai advance inavyotakiwa...Inajitahidi sana lakini katika hali ngumu sana na elimu ya uraia haina zaidi ya miaka miwili napo wengi wa wanaohamasika si stakeholders kwenye huu uchanguzi hivyo kupima mafanikio ya old wine kwenye kkiriba kipya ni too unrealistic..Kunge boreshwa daftari na watu wote wakapiga kura...turn up tungeiona bado mbaya ama kuna badiliko?..Siyo hawa old guys ambao wengi kwanza wamebakizwa katika daftari kwa mbinu chafu na wengi shahada zao waliziuza wakati ule wa ujinga....So haya matokeo kwa upande wa CCM ndiyo ambao unawapa nafasi ya kujipima zaidi kuliko CDM kwani kwa CDM kuna potentials wake wengi ambao wamekuwa excluded.....Na CCM inajua mbinu zake hasa katika muujiza huu wa daftari la mpiga kura and what happened kwa zaidi ya potential voters 50% wakati huo kutopiga kura..Je ni kweli hawakwenda ama kuna mbinu ambayo wao wanaijua ilitumika?

So inshort thats it!

Kweli CCM wanatumia (1) regulation of political competition, the media, and civil society; (2) blurring the differences between CCM and the state; and (3) targeted use of blatantly coercive, illegal actions to suppress the opposition. Lakini pia zipo sababu za msingi ambazo zina-outweigh hizo tatu.

Kwanza hakuna demand ya demokrasia. Majority of Tanzania are not ready for change. Kama wangetaka mabadiliko, wala hizo sabau tatu hapo juu zisingekuwa kikwazo. Hazikuwa kikwazo Tunisa na kule Misri. Wanaounga demokrasia Tanzania siyo zaidi ya asilimia 40. Hata Madagascar wametupita japokuwa wamekuwa chini ya utawala wa kijeshi.

Watu wanasema hii ni kutokana na ukosefu wa elimu ya uraia. Elimu ya uraia inaweza ku-pomote kujua haki za binadamu na kuongeza interests kwenye siasa but is not a panacea. Bado ni debatable kama elimu ya uraia inaongeza efficacy au inapunguza au kuongeza trust kwa wanasiasa. Mwaka 2015, kama CCM wakimsimamisha mtu kama Magufuli, will win a crushing victory kama alivyoshinda Kikwete mwaka 2005.

Tatizo lingine vyama vya siasa Tanzania viko so fragmented. It is so shocking that mgawanyiko upo mpaka bungeni. Kwa mfano, linganisha uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi Tanzania na Zambia. Wakati Zambia opposition waliunganisha nguvu yote chini ya MMD na kushinda kwa asimilia 81, sisi tulikuwa na vyama utitiri.

Utitiri huu wa vyama leads them to fight each other constantly, they consistently fail to work together, and their leaders do not behave in ways that inspire confidence to the voters. Hence, it is not surprising that voters largely distrust them. Ndiyo maana unakuta tunazungumzia, Chadema, CUF etc separately, rather than simply saying the opposition because they oppose each other.

Umezungumzia daftari la wapiga kuboreshwa. But in articulating their demands for multiparty politics, the opposition parties are too quick to allow themselves to be hurried by incumbent into elections without first insisting on the implementation of the far reaching constitutional changes that are necessary for governing post electoral political activity.
 
Hamuishiwi visingizio magwanda. Eti daftari ndilo limewafanya mchakazwe hivyo? Acheni uzushi nyieeee
 
Kwa kweli bila hatua za dhati kuchukuliwa kudhibiti rushwa kwenye chaguzi zetu,haki haitapatikana hata siku moja,na CCM wanajua hawakubaliki kwa wananchi,ila pesa ndo inafanya kazi.Na pili,CHADEMA inabidi iangalie sana wakati wa kupata wagombea kama wanakubalika kwa jamii husika.Pia CCM inajua kwamba,mtaji wa CHADEMA ni vijanal,hivyo ni kuhakikisha vijana hawaingii kwenye daftari la wapiga kura,shameful party!.
 
Hadi dakika hii matokeo yanaonyesha kwamba katika Kata 29, CHADEMA wameshinda katika kata 5 and TLP (1) na CCM kushinda katika kata zilizobaki.

Kwa muono wa karibu unaweza ukadhani kwamba CHADEMA wamepoteza sana katika uchaguzi huu. Hata hivyo ukiyachunguza matokeo haya kwa ukaribu utaona kwamba CHADEMA wamepata mafanikio makubwa na CCM wametelemka.

Tukumbuke kwamba CHADEMA walikuwa na kata mbili za kuzilinda katika uchaguzi huu ambazo ni Rombo na Mvomero. Kata hizi wamefanikiwa kuzilinda na kuongeza zingine tatu, ambazo ni Mlangila (Ludewa), Ipole na Daraja Mbili (zote hizi zilikuwa za CCM). Kwa hiyo wamelinda kata zao na kuzipokonya zingine tatu kutoka mikononi mwa CCM.

Na yote hii ni ndani ya miezi 24 tu tangu uchaguzi mkuu ufanyike. Kwa hiyo kimehesabu CCM wameshuka kwa 11.1% na CHADEMA wamepanda kwa 60%! So, CDM keep up the momentum!

kwa gap iliyobaki kufikia 2015.kwa speed hiyo,chadema uwezekano wa kushinda 2015 baado aisee.msijipe false hopes
 
Mzee Mwanakijiji

Kuna haja ya kuangalia upya matumizi ya mikutano ya hadhara. They are good, but not enough by themselves in the context of TZ politics.


Nafkiri Kabla ya kuangalia matumizi ya mikutano ya nje ni bora kuangalia UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. Ukiangalia vijana wengi ambao ni wahudhuriaji wa mikutano ya CDM hawa kupiga kura, kwa sababu tofauti tofauti:- wengine wamepoteza vitambulisho vyao na matumizi ya form na 17 hayaeleweki, kutokana na Ugumu wa maisha watu hasa vijana wamekuwa wana migrate sana hasa movement za kutoka kata moja kwenda nyingine na huko wanakohamia hawawezi kupiga kura, vijana wengi ambao wako enlightened hawakujiandikisha kupiga kura either kwa kutofikisha vigezo or kwa sababu nyinginezo. Tofauti na wale wapiga kura wa mazoea hasa wazee wengi wana vitambulisho vyao, pia lingine nililoliona mwaka huu limesababishwa na umaskini uliokithiri kutokana na uhaba wa mvua na njaa huko vijijini watu wameuza shahada zao kwa bei rahisi saana... Na rushwa tena ya hela ndogo Kama 2000 imewamaliza wao walikuwa wanaangalia UPYA wa noti, kweli haya yasipoangaliwa kwa umakini 2015 hamna kitu.
 
Mzee Mwanakijiji

Kuna haja ya kuangalia upya matumizi ya mikutano ya hadhara. They are good, but not enough by themselves in the context of TZ politics.

Niko Mtwara hapa,
Nafikiri mikutano sio mizuri sana!

1.Rudini chini vijijini na kuweka Uongozi unaokubalika (CCM bado wana wazee wanaoaminika huko)
2. Wekeni mkazo wa kuwaingiza wasomi vijana... Wazawa na wanaoishi huko, in many cases wanakubalika huko vijijini. Kosa kubwa mkienda huko mnakosa mwenyeji anaefahamika . Mf. Safari ya kusini Mtwara na Lindi

Ni hayo tu
 
Last edited by a moderator:
Binafsi naweshukuru na kuwapongeza makamanda wote walioko field na kuwezesha haya matokeo kwa CDM

Nasikitika sana kusoma baadhi ya crisitism kutoka kwa watu ambao nilikuwa naamini ni wachambuzi wenye muono mpana ila na wao nimegundua kufikiri kwao kunaishia level ya vitanda vyao. Chaguzi ndogo siku zote ni ngumu sana na kwa udiwani kama hivi wakurugenzi wa wilaya wanapimwa utendaji wao kwa kushindwa au kushinda kwa CCM, kuna wilaya unaenda magari yote pamoja na ya miradi na karibu wafanyakazi karibu wote wanapelekwa kwenye kampeni...kama uko nje ya nchi au uko dar unachakaza keybord huwezi kuyajua haya....
Lakini watu mnatakiwa kujua pia kuwa watu wanabadilika kwa kasi ambayo hata CDM hawakuwahi kujua,difference ya ushindi ni ndogo as compared to 2010 na bado CDM haina viongozi wa mashina kama CCM.

I am very positive, come 2014 tutashinda mitaa na vijiji vya kutosha and going 2015 Tanzania of today won't be same again.
 
Wengine tulishaona hili muda mrefu tuu. Hii mikutano ya hadhara haisadii chochote. Kuna umhimu wa kuwa na two ways conversation kati ya wapiga kura na wapigiwa kura. Mikutano ya hadhara do not lead to two ways conversation. Mtu anapanda jukwaa anaongea and that is it. In fact wanapiga kura wanakuwa neglected; hawapewi nafasi ya kutosha ya kum-scrutinize mgombea au ku- question mnayosema. Chadema should not take voters for granted kwa kuwa tuu CCM iko katika hali mbaya na kudhani watapigiwa kura kwa kwenda pale na kuwahutubia tuu.

Vyama vya upinzani ikiwemo Chadema vimefanya mikutano ya hadhara mwaka 1995, 2000, 2005 and 2010 lakini hii mikutano didn't work out. Watu wengi wanajitokeza kwenye hiyo mikutano ya hadhara ikiwemo hata ile ya CCM lakini ni wangapi wanapiga kura?

Badala ya mikutano ya hadhara ambayo mara nyingi ni one way conversation, wanasiasa wake na watu wajadili issues. Watu wataji-feel open and safe kujadili issues internally bila drama yoyote. Kama huko vijijini wa-recruit timu ambayo inaishi the people lives that way. Sio unatoa watu mijini waka-campaign vijijini. Build connections huko huko vijijini kwa kutumia watu wa huko huko.

Wape watu the means of participation and keep them informed kwa njia mbalimbali. Hapa nina maana sio wanachama tuu bali watu wote uliokutana nao. Teams zijikite huko vijijini either as volunteers or paid (ruzuku si zipo?) wakiwasiliana na kujadiliana na wanavijiji, wakifanya surveys and building databases. Siyo mnaenda kwenye kijiji mnaitisha mkutano wa hadharara huku mkiongea mambo yale yale. Baada ya hapo mnawatimulia vumbi na ma-VX yenu hao bomba.

Badala ya mikutano ya mihadhara hata door to door campaigning ni much better kwa sababu inakuwa ni two way conversations. At the end of the day, unaweza ukawa na uhakika (database) kuwa kwenye nyumba fulani una guarantee ya kupata kura ngapi. Na inapofika wakati wa kupiga na kuhesabu kura inakuwa rahisi zaidi ku-monitor uchakachuaji wowote kwa sababu tayari utakuwa na preliminary database kuwa kwenye kata fulani ulikuwa unategemea kura ngapi.

Hivi baada ya kufanya hiyo mikutano ya hadhara ya M4C huwa mnachukua feedback? How? How do you assess kama mkutano ulikuwa na mafanikio? Kwa kuangalia tuu idadi ya watu waliohudhuria? Kwa kushangiliwa na kusukumwa gari? Kwa kugawa kadi mpya? How do you monitor and evaluate your M4C?

Maana kwa matokeo haya ya udiwani CCM watakuwa wanasema: Oh! It is not that bad as we thought. Wanaweza kufungua chupa ya champagne na kujipongeza. But not Chedema.

Weell Said....
Tena waanze mkakati wa kuajiri wafanyakazi ngazi ya kata au Tarafa!! Wasomi wako wengi na uwezo upo...

Ugumu wa maisha na kuwepo sekondari hizi ni faraja kwa CDM, ajiri vijana,

Wenzenu CCM wana watendaji huko, kampeni wanafanya chini kwa chini
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nadhani NGUVU YA UMMA inaanza kuonyesha makali yake dhidi ya NGUVU YA RUSHWA! Sauti ya Umma ni sauti ya Mungu! Keep it up CHADEMA
 
Watanzani bado sana. Hivi ni wapi na katika dunia ipi, chama kinachopata viongozi (wa jumuia zake) kwa rushwa kinapigiwa kura na kushinda kiasi hiki? adui UJINGA anatutafuna.
 
Embu fanyeni hivicdm 5/27*100=18.%tlp 1/27*100=3.5%ccm 21/27*100=77.7%
Increament inaangaliwa kwa ulichokuwa nacho mwanzo COMPARED with ulichopata sasa! CDM imeongeza kata 3 i.e 3/5 x 100 = 60%. So fanya hivyo kwa wengine kama CCM etc
 
kata tano si haba katika mazingira menyeye haya so hongera sana cdm keep it up
 
Hadi dakika hii matokeo yanaonyesha kwamba katika Kata 29, CHADEMA wameshinda katika kata 5 and TLP (1) na CCM kushinda katika kata zilizobaki.

Kwa muono wa karibu unaweza ukadhani kwamba CHADEMA wamepoteza sana katika uchaguzi huu. Hata hivyo ukiyachunguza matokeo haya kwa ukaribu utaona kwamba CHADEMA wamepata mafanikio makubwa na CCM wametelemka.

Tukumbuke kwamba CHADEMA walikuwa na kata mbili za kuzilinda katika uchaguzi huu ambazo ni Rombo na Mvomero. Kata hizi wamefanikiwa kuzilinda na kuongeza zingine tatu, ambazo ni Mlangila (Ludewa), Ipole na Daraja Mbili (zote hizi zilikuwa za CCM). Kwa hiyo wamelinda kata zao na kuzipokonya zingine tatu kutoka mikononi mwa CCM.

Na yote hii ni ndani ya miezi 24 tu tangu uchaguzi mkuu ufanyike. Kwa hiyo kimehesabu CCM wameshuka kwa 11.1% na CHADEMA wamepanda kwa 60%! So, CDM keep up the momentum!
Mkuu Kitila Mkumbo, asante kwa dira ya mafanikio. Binafsi yangu naendelea kusimama na msimamo wangu huu nilioutoa katika mada yangu hii Kuelekea 2015: Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Wanabodi, Preamble: "Kwa opinion yangu, Uchaguzi wa 2015, Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!"!Trend za Upepo wa Kisiasa kuelekea 2015, zinavuma kwa Kasi ya Ajabu kuelekea Direction ya Mabadiliko (The Wind of Change, is Sweeping Across Tanzania) na kila dalili inaonyesha na kuelekeza Chadema is gaining momentum and there is nothing to stop it kuchukua nchi mwaka 2015 iwapo...M!.
  • Kama uchaguzi utaitishwa leo, Chadema itashinda kwa kishindo kikubwa cha ajabu, lakini ukiwauliza hao watakaokipa Chadema ushindi, ni sababu zipi za kuichagua Chadema, hawatakupa sababu yoyote zaidi ya kuichagua Chadema kwa sababu ni nuru ya matumaini kwa kuzingatia wengi wameichoka CCM!.
  • ili Chadema iweze kupata ushindi wa Tsunami kwa uchaguzi wa 2015, lazima Chadema ikubali kubadilika, isiendelee kuutegemea huu umaarufu wa "nuru ya mafanikio" kwa kushangiliwa na umati wa watu walioichoka CCM, bali Chadema sasa lazima iwape Watanzania sababu za kuichagua Chadema!.
  • So far so good, Chadema is doing a good job kwa sababu M4C is doing the right thing!. Doing the right thing alone, doesn't guarantee sweet clear victory for Chadema, it got to do things right!. Hii inamaanisha ili Chadema ishinde kwa kishindo kinachotakiwa, lazima ikubali kubadilika and start doing things right besides doing the right thing!.
  • Hivyo ndugu zangu viongozi wa Chadema najua 2015 mmedhamiria kwa dhati kuchukua nchi kwa ushindi wa kishindo!, lakini ili lengo lenu litimie, ni lazima kwanza mkubali kusikiliza, pili mkubali kuzifanyia kazi hizi hoja na tatu mkubali kubadilika!.
Rejea: CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015

  • Asanteni

    Pasco.
 
Wanabodi,

Tumeona harakati za Chadema na M4C zikiendelea karibia nchini kote katika mikoa mpaka wilaya na vijiji kuwahamasisha Watanzania waiunge mkono Chadema.

Tukiangalia matokeo ya udiwani katika kata 26 Chadema wamepata kata 5 ni aibu kupata ushindi mwembamba kiasi hicho pamoja na harakati zote za M4C Chadema wanatakiwa wajitathimini upya kutokana na matokeo haya na kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Ushindi mkubwa wa Chadema katika udiwani ni wa kata ya daraja mbili Arusha ni aibu kujivunia kwa chama chenye miaka 20 kuwa na nguvu sehemu moja ya nchi kaskazini tu.
 
Back
Top Bottom