Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
washindwa na walegee hahahaha.. By the way sina chama cha siasa na hata kitambulisho cha kupiga kura sijachukua na sitochukua mpaka kije chama cha sheria za kiislam coz ni hicho pekee kinachoweza kuleta haki na usawa kwa wananchi wote mbali na hapo hapana, raisi aliyepita alikuwa mwizi na mkewe kaiba sana, huyu wa sasa watu wanasema mdini ila hana udini wowote ule ni brazameni tu na mshamba ndio maana kila siku anatembea duniani, mbowe brazameni pia akajenge madisco tu, silaha ana udini nd atatumikia mno kanisa, lipumba msomi mzuri bt ndio wale wale so sioni wa kumchagua
Wewe bado unasaidiwa kufikira that why unaongea kama pwaguzi.
NB: weka mbali na watoto.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums