Itakua alifikiria lile bao la mkono la @Nape NauyeUmefikiria nini mpaka kuja kulinganisha bao na CCM?
Nje ya boksi lipi?saa nyingine kufikiri nje ya boksi ndio nje ya uhalisia!! Upinzani hawana hela ya kupandikiza watu nawala hawahitaji kufanya hivyo kwani kuidondosha ccm tatizo linatafutwa serikalini sio chamani.Maana jinsi Magufuli na Bashiri walivyousambaratisha upinzani na tunavyoona jinsi wimbi la upinzani lililorudi CCM, inatisha, inabidi mtu ujiulize na kufikiri nje ya boksi.
Mimi sidhani kama ni kweli kwamba Magufuli na Bashiru wameusambaratisha upinzani. Ingekuwa ni kweli basi kusingekuwa na hizi taarifa kila siku fulani kakamatwa eti anafanya mkutano wa ndani wa chama katika nyumba ambayo siyo ya chama, mara oohh, polisi wamezuia chama fulani wasikutane...kama umemshinda mpinzani wako, inakuwaje umealika jeshi la wengine wakusaidie kumshika mikono yake na wengine wamfunge kitambaa machoni ili wewe peke yako ndio urushe ngumi? kama ungekuwa kweli umemsambaratisha, si ungekuwa umekanyaga mguu kifuani pake huku umenyanyua mikono kwa ushindi? lakini wapi, unahema na povu linakutoka na umeleta wengine wamshikilie, wewe peke yako humuwezi.Maana jinsi Magufuli na Bashiri walivyousambaratisha upinzani na tunavyoona jinsi wimbi la upinzani lililorudi CCM, inatisha, inabidi mtu ujiulize na kufikiri nje ya boksi.
Wala mimi simlaumu sana Magufuli, maana ana tatizo la muono mfinyu. lakini hawa wengine wanaoshabikia halafu wanajiita wanatafakuri, hao ndio siwaelewi kabisaMagu ni failure sio katika uchumi tu na mambo mengine kama diplomasia,bali ni failure hata katika swala zima la kufanya siasa.
Uwezo wa huyu mtu uko katika kutumia mabavu zaidi kuliko akili, hivyo atawagharimu sana nyie masisiem na chama chenu.
Kwa sababu CCM wanategemea Sana Bao la Mkono kushinda uchaguziUmefikiria nini mpaka kuja kulinganisha bao na CCM?
Hao walikuja Kama bidhaa na ile pesa ilishakwisha na usisahau waliahidiwa vyeo hewa! Umeshtuka vyema ila umechelewa kwani wengi wao wana hasira Sana na watafanya maajbu kuiadabisha ccm matapeli!Si kweli. Ingekuwa hivyo tusingeona wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji, madiwani na wabunge wa upinzani.
CCM ni chama cha kupigiwa mfano duniani.
Mimi nahisi 2020 mgombea wa CCM atavunja rekodi zote za wingi wa kura.Hao walikuja Kama bidhaa na ile pesa ilishakwisha na usisahau waliahidiwa vyeo hewa! Umeshtuka vyema ila umechelewa kwani wengi wao wana hasira Sana na watafanya maajbu kuiadabisha ccm matapeli!
Kuna rufaa inaendelea.Kama wanasambaratisha upinzani woga wao wa nini hadi kutumia vitisho, ubabe na hata uhalifu wa kuteka na kujeruhi?
Nguvu ya chama cha siasa ni ushawishi wa hoja na sio mabavu, imekuwaje ccm ya sasa imeishiwa hoja imebaki na hayo mengine?
Na sasa hivi wakurugenzi wameondolewa kusimamia uchaguzi na mahakama, iweje bado serikali ya ccm inataka kuleta hila ili makada wake hao wasimamie?
Tuwe wakweli, CCM ya Jk ilikuwa Chama cha siasa lakini hii ya JPM sio chama cha siasa bali kitu kingine kabisa.
Ooh, kwa hiyo madiwani na wabunge wa upinzani wapo kama bidhaa tu?Hao walikuja Kama bidhaa na ile pesa ilishakwisha na usisahau waliahidiwa vyeo hewa! Umeshtuka vyema ila umechelewa kwani wengi wao wana hasira Sana na watafanya maajbu kuiadabisha ccm matapeli!
Kwa fikra kama zako Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.Kwa ufupi siwezi ongea hapa yote, Mimi ufisadi na rushwa sijui maana yake Katika maisha yangu
Kama kutoa pesa ili mtoto wangu afanikiwe au biashara zangu ziwe vizuri ni rushwa au ufisadi, Nitaendelea kutoa rushwa
Na kama mzazi wangu kanisomesha kupitia pesa za uwizi toka ccm na kanipa mtaji wa uwizi toka ccm, Bora awe fisadi ili maisha yetu yasiyumbe
Kama kuna tafsiri tofauti na hapo basi nitarudi tena Udsm niwe kama profesa Lipumba au kabudi
Inawezekana ukawa kada wa CCM ila hujui mambo ya CCM kiundani zaidi najua figisu zote na kwa bahati mbaya niko kwenye mainstream Kudadadeki.Si kweli. Ingekuwa hivyo tusingeona wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji, madiwani na wabunge wa upinzani.
CCM ni chama cha kupigiwa mfano duniani.
Hivi ipo au kuna kusudio la rufaa tuu?Kuna rufaa inaendelea.
Kweli we ajuzaSi kweli. Ingekuwa hivyo tusingeona wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji, madiwani na wabunge wa upinzani.
CCM ni chama cha kupigiwa mfano duniani.
Madhara ya kuzaliwa na Mama mlevi na mpumbavu ndio huzaa mtoto mpumbavu kama YeyeChai