Tafakuri ya FaizaFoxy: CCM imetegwa ikategeka?

Tafakuri ya FaizaFoxy: CCM imetegwa ikategeka?

Hakuna hujuma yoyote. Ukisoma ilani ya uchaguzi ya CCM utagundua kuwa awamu hii imefikia katika kupambana na ufisadi na hata kwenye ilani kuna mpaka kufunguliwa mahakama ya ufisadi. Na ndicho serikali inachokifanya.

Serikali inajitahidi kupambana na kuzini mia nay ya ufisadi (corruption). Unataka kunambia hakuna wana CCM walioshikwa kwa ufisadi?

Bado hujanijibu, bandarini ukienda kuitoa mizigo yako unaulizwa kadi ya CCM?
Kunambia × = kuniambia. Hivi shule mlisomea wapi?
Nidhahiri vita dhidi ya wafanyabiashara ambao hawakumuunga mkono mukulu in kubwa na hii ni kwa waliopo ndani ya chama chake na walio nje. Kuna vinyongo na kukomoana flani.
 
Ooh sana tu, ulikuwa huelewi?
Duuuuuh, Ndo kusema hata CDM mlikuwa mnaiogopa sana ikiwa na LWASSA kuliko sasa?,
Mbona Karudi kwenu na Bado mnaogopa kiwango kilekile?. Hamtaki watu waongee eti kama US ...uchaguzi ukiisha ni kazi tu, Utadhani U.S nao Politicians huwa wananyamazishwa kwa Amri za Mkulu zisizofuata Katiba na haki.
Nyinyi hata mumchukue nani mtaebdelea kuogopa upinzani mpaka mwisho wa Dahari.
 
Duuuuuh, Ndo kusema hata CDM mlikuwa mnaiogopa sana ikiwa na LWASSA kuliko sasa?,
Mbona Karudi kwenu na Bado mnaogopa kiwango kilekile?. Hamtaki watu waongee eti kama US ...uchaguzi ukiisha ni kazi tu, Utadhani U.S nao Politicians huwa wananyamazishwa kwa Amri za Mkulu zisizofuata Katiba na haki.
Nyinyi hata mumchukue nani mtaebdelea kuogopa upinzani mpaka mwisho wa Dahari.
Uoga utokee wapi na CCM ndiyo ilimtema?
 
Hujaeleza kitu nikakielewe. "Matukio" kama hilo la kuzuia mikutano, huku waliozuia wakifanya 'matukio' yanayoonekana kuwa mikutano ya kisiasa..., wewe unataka kuiita nini kama sio siasa?
Za kwako, changanya na za mwenzako! Huwa siongei bila kuwa na details za uhakika!
 
Inapoibuka mijadala kama hii, huwa nakumbuka sana kauli ya Mh. Rais, kuwa huwa taratibu za kuwapokea zinafanyika.

Na pia huwa nakumbuka maneno ya katibu mkuu, kuwa sio kila anayeomba kurudi anapokelewa.

Historia ni mwalimu mzuri na mifano tumeiona kuwa unapokuwa nje ya CCM madhara huwa ni madogo sana. Ni jambo gumu sana kwa namna Chama kinavyojiendesha kukipasua.
 
Back
Top Bottom