Tafakuri ya FaizaFoxy 2: Korosho

UMEMTAJA BAKHRESSA INAMAANA KTK UKOO WENU HAKUNA HATA MMOJA WA KUMTOLEA MFANO, HII INAONYESHA KTK UKOO MZIMA HAKUNA ALETUSUA NA WEWE UKIWAMO, HII INANIKUMBUSHA SHULE FLANI AMBAPO WANAOFANYA MTIHANI NI 100 LAKINI WANAOFAULU VIZURI NI WANNE JE UTASEMA WALOBAKI NI WAZEMBE? MBONA ZIPO SHULE WANAOPIGA PEPA NI 100 NA WANAOFAULU NI 90 INAMAANA KUNA MAZINGIRA BORA YA KILA MTU KUFANYA VYEMA
 
Ukisoma post namba moja utaelewa kuwa Mimi ni mdau wa korosho. Ndiyo nimelipwa tena nashukuru, vizuri kuliko nilivyotarajia. Hakukuwa na makato Safari hii. Mungu atupe nini zaidi?

Anaekubali kudhulumiwa ni baradhuli.

Umewahi kuwa mdau wa korosho au upo hapa kupinga tu kijingajinga?
 
Ni ushauri mzuri hata hivyo korosho ya msimu ujao imeshapata mnunuzi na benki ya Mkombozi imeshatenga kiasi cha sh trilioni 1 kwa ajili ya zoezi hilo.

Ahsante kwa ushauri!
Hapana mkombozi nibenki ya wakristo na korosho inalimwa sana na waislam pengine benki ya waislam ingefaa zaidi (....bifaiza Hugo kimoyomoyo).
Soko la korosho limedorora kidunia maana uzalishaji umezidi kwa wenzetu wanaojua kulima kiuhakika, hata ivorycoast wanahangaika hawajui wafanyaje. Hakuna cha Bahresa wala Mo hapa wadau wote wa korosho waliokuwa wanaiuza wakalishwe chini waungane waone namna ya kuanzisha viwanda na serikali iwatizame kuhusu kodi,waitengenezea soko korosho wakianza na landani (korosho zakula moja kwa moja) na za nje kulingana na uhitaji. Lazima wabunge na mawaziri waungane na wataalamu waache siasa uchwara kwenye hili na mengine kama haya
 
I expected more
 
Tatizo lako kubwa ni muono duni na kukosa ubunifu. Utajiendeleza kwa kuendelea kuuza korosho ghafi?

Kujiendekeza ndiyo huko. Soma post namba moja ikuingie.
Ukishaiomba serikali ikopeshe bila riba ili kijengwe kiwanda ina maana tayari kuna chaos! Hilo umeliomba mwenyewe! Huoni tayari kuna shida mahali?
 
KUNA WATU WAPUUZI SANA YAANI UKIZUNGUMZIA WATU HAWAFANIKIWI HAPA TZ KUTOKANA NA MAZINGIRA MABOVU NA SERA ZA ZISIZORAFIKI WATU KUTUSUA UTASIKIA MTU ANAKUTAJIA MENGI, BAKHRESA, MO LAKINI HATAJI HATA MTU MMOJA WA UKOO WAKE AU KABILA LAKE AU JIRANI YAKE ALEFANIKIWA, SWALI JE INAMAANA UKOO MZIMA HAWAHANGAIKI KUTAFUTA MAPENE? JE UKOO MZIMA NI MBUMBUMBU WA MAISHA JIBU JEPESI NI KWAMBA WATU WANHANGAIKA KADRI WAWEZAVYO TATIZO HAKUNA MAZINGIRA RAFIKI YA WATU KUTUSUA UKIFIKIA LEVEL FLANI VIKWAZO LUKUKI
 
Wewe lazima ulipwe sababu ni kibaraka wao huko kusini......kumbe hadi wewe una unafiki wa kujikombakomba!! Duh
 
IFIKE HATUA KAMA KWELI WATU WANAONA TZ KUNA FURSA NZUURI YA KUTENGENEZA FEDHA BASI KILA MTU ATAJE MTU MMOJA KWENYE UKOO WAKE AU FAMILIA YAKE AU YEYE MWENYEWE ATUAMBIE AMEFANIKIWA KIASI GANI ILI NASI TUPATE MWANGA NA SIO KUTUTAJI AKINA MENGI, MO NA BAKHRESA
 
Jifikirie unaeshindwa kwa kura na CCM kila kukicha, lazima utakuwa ni mama la ujinga.
Mpo madarakani zaidi ya nusu karne... hamkuyajua? Hamkupata kuwa na viwanda? Kwanini mlifeli? Hamjiulizi mnakurupuka tena na viwanda!!!
Haviki kama uyoga... sera ziwe rafiki kwanza... kuanziaha ama kumiliki kiwanda si kama kumiliki mdomo ambap kila mtu anao NI MIPANGO MIKUBWA VIWANDA HAVIKURUPUKIWI
 
Ni ushauri mzuri hata hivyo korosho ya msimu ujao imeshapata mnunuzi na benki ya Mkombozi imeshatenga kiasi cha sh trilioni 1 kwa ajili ya zoezi hilo.

Ahsante kwa ushauri!
Eti mnunuzi wa korosho za msimu ujao ,
Kwanini sio hizi korosho zinazoozea ghalani???
 
Umesahau point moja muhimu, ya kuwaletea 'Wazungu wanaoongea lugha za Kusini mwa Afrika' kuja kuwateka na kuwadhalilisha na baadaye kumpeleka mahakamani teksi dreva 'Mtanzania' asiyezungumza lugha za Kusini mwa Afruka!
 
mzee Tz hakuna fursa yoyote chini ya ccm ni usenge mtupu ikiwa dangote kashindwa kwa kweli mafanikiyo ya baharesa ni miujiza tu kuweza kufanikiwa nchini ya CCM
 

Korosho zikishakuwa packed huwa naona zinauzwa kuanzia buku mpk 10,000 na zaidi ya hapo kwa idadi ya kilo utakazohitaji. kwa soko la ndani Raia wanaweza kununua.

Mi nadhani hoja ya bibi ni ya msingi sana kuhakikisha serikali kwa sasa inatenga au kuwezesha upatikanaji wa hata Trilion 2 (my estimate) kuhakikisha hawa wenye uzoefu na processing industries kama Bakhresa, MO na Kina ASAS wanapewa mikopo isiyokuwa na riba kama mitaji ya kufungua viwanda vitakavyokuwa na tija katika cashewnut products.

Lengo kuu kama anavyosema bibi ni ku add value;

Hii itawezesha mambo mengi sana ikiwamo ;

1. soko la ndani- kurahisisha uuzwaji wa korosho kutoka kwa wakulima kuja kwenye viwanda husika na processing direct au hata kwa vyama vilivyopo vya ushirika.

2. Wenye viwanda wana experience na soko la nje na mahitaji ya soko, kuanzia ktk quality ya processed cashews, packaging, na au hata wakiamua kuuza un processed based na mahitaji.

3. Processing hizo cashewnut hapa hapa na kuzi export ni faida kubwa kwa uchumi wetu. Ajira zitaongezeka

4. Importing processed cashewnut afterwards iwe discouraged kwa kutumia hizo fiscal measures
 



The country has been engaged in the production of the cash crop since before independence in the years 1960s,

however, poor regulation and lack of reliable payments to farmers have posed significant challenges to the Cashew Nut farming industry in Tanzania.

Guinea-Bissau, a country a tenth of the area of Tanzania's, has a significantly greater yield.

More than ninety percent of the exports are destined for India and almost entirely in raw form.

The lack of domestic processing firms costs the country vital foreign revenues and thousands of jobs.

The Tanzanian government has been facing challenges for finding potential investors in order to revive the cashew processing industry in Tanzania.

(Wikipedia)
 
Katiba ya Jamhuri ya Muungano inayoongozwa na chama cha Ccm inasema Rais halazimiki kufata ushauri wa mtu yeyote,hata FaizaFoxy
 
NDANI YA FISIEMU UBUNIFU WA FURSA ULISHAPOTEA WAMEBAKI KUKARIRI... NDANI YA FISIEMU UWEZESHAJI UMEBAKI KWENYE MATABAKA SI UWEZO.
MIJADALA MINGI KUHUSU UBORESHAJI MAZAO NA MALIGHAFI ILISHAFANYIKA HAKUNA KILICHOFUATA ZAIDI YA MAKARATASI KUTUNZWA...
 

We mama muogope Mungu
Sogea tu hapo Mkuranga,Kibiti,Ikwilili halafu uongee hizo kauli zako za dharau juu ya wasiolipwa pesa zao uone kama utabaki salama.
Watu hawajui hatima ya mashamba,sio palizi sio dawa vyote ni mtihani kwao na muda ndio huu umewadia.
Unapotetea jambo liweke katika muktadha wa dini na upime kama walichofanyiwa wakulima wa korosho ni haki au batili.
 
NDANI YA FISIEMU UBUNIFU WA FURSA ULISHAPOTEA WAMEBAKI KUKARIRI... NDANI YA FISIEMU UWEZESHAJI UMEBAKI KWENYE MATABAKA SI UWEZO.
MIJADALA MINGI KUHrUSU UBORESHAJI MAZAO NA MALIGHAFI ILISHAFANYIKA HAKUNA KILICHOFUATA ZAIDI YA MAKARATASI KUTUNZWA...
 
Ni mjinga huyu,anashabikia ccm kuliko maslahi ya taifa,don't waste your time kwa buku saba kama faiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…