Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mobutu Seseko wa Zaire alikufa kifo chenye fedheha na kisichofaa hata kidogo maana pamoja na kushirikiana ma wezi wa rasilimali za Wazaire sasa Drc alifia ugenini na bila heshima yoyote. Hii ni kwa sababu alishindwa kuwa mzalendo kulinda rasilimali za taifa lake liwanufaishe raia wa taifa hilo.
Kwa nini hayati Julius Nyerere alikataa ubinafishaji ambao hauna tija kwa kila raia wa taifa letu? Alijua huu utakuwa ni upigaji na unyonyaji kwa raia wa kawaida ambao watakuwa wakiteseka huku ubinafishaji katika sekta kama madini na maeneo mengine ungenufaisisha wachache.
Dk Wilbroad anapambana kwa manufaa ya kila mtanzania. Hii ni sifa na tunu bora kuliko hata kuwa na hadhi ya ubalozi
Kwa nini hayati Julius Nyerere alikataa ubinafishaji ambao hauna tija kwa kila raia wa taifa letu? Alijua huu utakuwa ni upigaji na unyonyaji kwa raia wa kawaida ambao watakuwa wakiteseka huku ubinafishaji katika sekta kama madini na maeneo mengine ungenufaisisha wachache.
Dk Wilbroad anapambana kwa manufaa ya kila mtanzania. Hii ni sifa na tunu bora kuliko hata kuwa na hadhi ya ubalozi