Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,256
- 13,518
Tatizo la CDM wanatia huruma... Wanafikiri ipo siku shetani atakuwa mwema kwao kwa kusemwa semwa!Mkuu Mfiki, Mfikirishi, asante, kwa hoja yako ya maandishi yangu kuwaamsha waliolala, naomba tuu kuwa mkweli, maandishi yangu mengi sio ya amsha amsha kuwaamsha waliolala, kwasababu wengi wa wa hao waliolala ni wa
P
Conflict of interests... Huku ndani yumo katikati ya MIGOGORO... Ndani na nje ya ccm.JK is a narcissistic leader we have ever had. Yeye ndio alikuwa msuluhishi wa migogoro na matatizo kadhaa kwenye nchi zingine, nchi yake imekumbwa na tragedy kama hii amekaa kimya anacheka cheka hovyo.
Kawaida ya narcissists ni kuonesha kupenda wa nje kuliko wa ndani kwake (performative kindness)
Shame on you Rais mstaafu pekee uliyebaki.
Kama huongozwi wala kuamrishwa na Trump, mwambie mama yako akome kupokea misaada kutoka kwa Trump tuone kama hujafa njaa huko Lumumba. Hujui sehemu kubwa ya posho unayolipwa huko Lumumba inatoka kwa wafadhili (akina Trump, et al)? Acha kujitoa ufahamu mkuu.Nani kakuambia tunaongozwa ama kuamrishwa na Trump? Who Is Trump in Our County?
CCM ndiyo wa kulaumiwa, walikubali kuburuzwa na Kikwete na kumptisha huyu dhalimu as if hakuna Mtanganyika mwanaume mwenye uwezo wa kuiongoza Tanganyika.Huyu maza yupo ikulu kwa bahati mbaya!
Duu... kweli Mwanakijiji karudi toka likizo...!!!!Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...
- hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua Ni kina nani wanadai au kitafuta miili ya ndugu zao
- hujajaribu kujua au kukutana waliopoteza ndugu zao. Yaani, wale watoto/vijana waliouwa pale Mwanza hutaki kujua wazazi wao? Na yule mama na mwanae waliouawa mbele ya kamera hutaki kabisa kujua?
- umeendelea kukingia kifua vyombo vya dola na kuvipongeza jwa mauaji yale kwa kisingizio cha kutuliza "amani". Inamaanisha vyombo hivyo vilipata Baraka na vinaendelea kupata Baraka kutoka kwako. Miezi sita baadaye hujamwajibisha hata kuruta mmoja. Unataka watu waamini kilichotokea ni bahati mbaya.
- Utawala wako umeendelea kufumbia macho matukio ya utekaji na kupoteza wananchi kiasi kwamba haijulikani yapi ni uhalifu na yapi yanafanywa na vyombo vya dola. Kitendo cha Mafwele kutajwa kingekushtua...haujashtuka..IGP hajashtuka na wale wavuta bangi za madaraka bungeni hawajashtuka...
Unataka watu wengine wa nje wawajibishe nyinyi? Yaani Wamarekani, EU, SADC na wengine waumizwe na matukio kuliko mnaojiita viongozi wetu...
Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...
ZA MWIZI.....
Yule shehe wa Kenya alitabiri kama ya Uchaguzi Mkuu kuwa Samia ataua tena kwa maelfu, halaf kutatokea tetemeko na mvua kubwa kunyesha na hapo ndiyo utakuwa mwisho wake; na ukiangalia ni sahihi, yupo kwenye posture ya kuua zaidi shenzy zake shetani huyuNi vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...
- hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua Ni kina nani wanadai au kitafuta miili ya ndugu zao
- hujajaribu kujua au kukutana waliopoteza ndugu zao. Yaani, wale watoto/vijana waliouwa pale Mwanza hutaki kujua wazazi wao? Na yule mama na mwanae waliouawa mbele ya kamera hutaki kabisa kujua?
- umeendelea kukingia kifua vyombo vya dola na kuvipongeza jwa mauaji yale kwa kisingizio cha kutuliza "amani". Inamaanisha vyombo hivyo vilipata Baraka na vinaendelea kupata Baraka kutoka kwako. Miezi sita baadaye hujamwajibisha hata kuruta mmoja. Unataka watu waamini kilichotokea ni bahati mbaya.
- Utawala wako umeendelea kufumbia macho matukio ya utekaji na kupoteza wananchi kiasi kwamba haijulikani yapi ni uhalifu na yapi yanafanywa na vyombo vya dola. Kitendo cha Mafwele kutajwa kingekushtua...haujashtuka..IGP hajashtuka na wale wavuta bangi za madaraka bungeni hawajashtuka...
Unataka watu wengine wa nje wawajibishe nyinyi? Yaani Wamarekani, EU, SADC na wengine waumizwe na matukio kuliko mnaojiita viongozi wetu...
Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...
ZA MWIZI.....
Hiyo tume ya jinai aliounda inaenda kumchunguza nani ikiwa Mama mwenyewe anaipongeza jeshi la polisi kwa kazi waliofanya ya kuua raiaNaona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu.
Unafikiri kwanini Rais wetu ameunda tume?
Unafikiri lengo la kuunda tume ni nini?
Unataka afanye maamuzi ya kukurupuka ili baadaye mje msema alikurupuka?
Rais wetu ni Makini na anataka ukweli wote ufahamike pasipo mtu yeyote yule kuonewa. Ndio Maana ameunda tume ili ije na majibu na majawabu yasiyo acha shaka.
Ndio maana watanzania wameendelea kuwa watulivu wenye subira na imani kubwa sana kwa Rais wetu Mpendwa
Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...
-
Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...
ZA MWIZI.....
Ukweli upi wa kuunda tume wakati majibu yote alishayatoa hadharani? Umakini gani unaozungumzia wakati malalamiko na vilio vya watanzania viko mitaani juu ya utekaji? Ukweli gani unautaka wakati vyombo vya usalama viliua watu hadharani kweupe? Kuna mambo hayahitaji kuwa mjinga wakati ukweli u peupe kabisa.Naona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu.
Unafikiri kwanini Rais wetu ameunda tume?
Unafikiri lengo la kuunda tume ni nini?
Unataka afanye maamuzi ya kukurupuka ili baadaye mje msema alikurupuka?
Rais wetu ni Makini na anataka ukweli wote ufahamike pasipo mtu yeyote yule kuonewa. Ndio Maana ameunda tume ili ije na majibu na majawabu yasiyo acha shaka.
Ndio maana watanzania wameendelea kuwa watulivu wenye subira na imani kubwa sana kwa Rais wetu Mpendwa