Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,309
- 54,824
Lakin pia vpn haitoshi, kuna layers na mbinu nyingine unaweza kufanya kwa siku kabla ya vpn, kuna steps ukifuata hata watoe hela wapi wataishia kuwa na multiplr tandom identities lakin sio wwNyuzi kama hizi ukipost unatikiwa uwe abroad kweli kweli sio kivpien
Ukikomaa na vipieni utawala huu hauna shida kuweka zigo kwa mmliki wa app na unauzika vizuri tu
Kitakuja kuisha nje ya madaraka ( if akifikia huko), atakuja kuwaandikia kitabuIpo siku kibri cha madaraka kitakuja kupungua na atakuja kujua ni kwa kiasi gani aliumiza watu!
Hakuna watu wabaya zaidi kama hao uliosema ni "wavuta bangi kule bungeni"Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...
-
ZA MWIZI.....
Sasa hayo mafekeche Wangapi wanayajua humuLakin pia vpn haitoshi, kuna layers na mbinu nyingine unaweza kufanya kwa siku kabla ya vpn, kuna steps ukifuata hata watoe hela wapi wataishia kuwa na multiplr tandom identities lakin sio ww
Anachofanya ni kuwachanganya maadui... Lakini deep down ujumbe wake unafika vizuri.Hawezi kuwaamsha Watanganyika.Uandishi wake mara zote umekaa kisanii na kujiegemeza sehemu "salama" kwake.
Hakika... Yaani bila WaTanganyika kuamka na kuidai Tanganyika yao ccm watamaliza kila kitu!Hakuna watu wabaya zaidi kama hao uliosema ni "wavuta bangi kule bungeni"
Huwa nasema nchi hii kurudi kwenye mstari itatuchukua muda mrefu sana
Viongozi wanawafundisha wananchi kuishi kinafiki na waliowengi wamekubali na kugeuza kuwa mtindo halali wa maisha
Kiongozi Mkuu kabisa mnafiki, wasaidizi wake wanafiki, machawa wake wanafiki, wafuasi wanafiki, bungeni wanafiki....wakututoa hapa ni nani?
Hatuwezi kumamini chura kiziwi hata siku moja!Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...
- hujajaribu kukutana na wahanga wa matukio yale...hujajaribu kujua Ni kina nani wanadai au kitafuta miili ya ndugu zao
- hujajaribu kujua au kukutana waliopoteza ndugu zao. Yaani, wale watoto/vijana waliouwa pale Mwanza hutaki kujua wazazi wao? Na yule mama na mwanae waliouawa mbele ya kamera hutaki kabisa kujua?
- umeendelea kukingia kifua vyombo vya dola na kuvipongeza jwa mauaji yale kwa kisingizio cha kutuliza "amani". Inamaanisha vyombo hivyo vilipata Baraka na vinaendelea kupata Baraka kutoka kwako. Miezi sita baadaye hujamwajibisha hata kuruta mmoja. Unataka watu waamini kilichotokea ni bahati mbaya.
- Utawala wako umeendelea kufumbia macho matukio ya utekaji na kupoteza wananchi kiasi kwamba haijulikani yapi ni uhalifu na yapi yanafanywa na vyombo vya dola. Kitendo cha Mafwele kutajwa kingekushtua...haujashtuka..IGP hajashtuka na wale wavuta bangi za madaraka bungeni hawajashtuka...
Unataka watu wengine wa nje wawajibishe nyinyi? Yaani Wamarekani, EU, SADC na wengine waumizwe na matukio kuliko mnaojiita viongozi wetu...
Bado hujafanya lolote la kutufanya tuamini kuwa umeguswa na unataka lisitokee tena...naogopa kuwa wa kwanza kusema...mtaua tena nyinyi...tena labda zaidi..harufu ya damu bado iko angani. Hamuogopi...hamna cha kuwatisha kama walivyosema wahenga...
ZA MWIZI.....
Jirani yangu alipigiwa sulaha akiwa dukani kwake salasalaNaona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu.
Unafikiri kwanini Rais wetu ameunda tume?
Unafikiri lengo la kuunda tume ni nini?
Unataka afanye maamuzi ya kukurupuka ili baadaye mje msema alikurupuka?
Rais wetu ni Makini na anataka ukweli wote ufahamike pasipo mtu yeyote yule kuonewa. Ndio Maana ameunda tume ili ije na majibu na majawabu yasiyo acha shaka.
Ndio maana watanzania wameendelea kuwa watulivu wenye subira na imani kubwa sana kwa Rais wetu Mpendwa
Rais wa Jk, period!Naona unajitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu.
Unafikiri kwanini Rais wetu ameunda tume?
Unafikiri lengo la kuunda tume ni nini?
Unataka afanye maamuzi ya kukurupuka ili baadaye mje msema alikurupuka?
Rais wetu ni Makini na anataka ukweli wote ufahamike pasipo mtu yeyote yule kuonewa. Ndio Maana ameunda tume ili ije na majibu na majawabu yasiyo acha shaka.
Ndio maana watanzania wameendelea kuwa watulivu wenye subira na imani kubwa sana kwa Rais wetu Mpendwa
Siku akilikamata hilo unalolilamba miguu na nyapu sijui siku hiyo utalamba wapi!Nani kakuambia tunaongozwa ama kuamrishwa na Trump? Who Is Trump in Our County?
Mkuu Mfiki, Mfikirishi, asante, kwa hoja yako ya maandishi yangu kuwaamsha waliolala, naomba tuu kuwa mkweli, maandishi yangu mengi sio ya amsha amsha kuwaamsha waliolala, kwasababu wengi wa wa hao waliolala ni wamelala fofofo, hawawezi kuamka, hivyo mimi nimejikita kwenye formula ya kumuua nyoka, gonga kwenye kichwa, hivyo target ya maadiko yangu ni kule juu.Paskali uandishi wako unapaswa kuwaamsha WaTanganyika wengi waliolala!
Anyways, tuendelee kukusanya ushahidi wa kimazingira!
Fani ya uandishi ina kardinal rules, seek the truth, tell nothing but the truth but safety kwanza, you have to be safe to be able to tell the story, usalama kwanza!, hivyo to be safe, you have to be smart!.Hawezi kuwaamsha Watanganyika.Uandishi wake mara zote umekaa kisanii na kujiegemeza sehemu "salama" kwake.
Unaogopa kuitwa sebuleni kwa Zungu waanze kukusimanga kama mvulana?Kuwa nao macho mkuu.Kunguru muoga...!Fani ya uandishi ina kardinal rules, seek the truth, tell nothing but the truth but safety kwanza, you have to be safe to be able to tell the story, usalama kwanza!, hivyo to be safe, you have to be smart!.
P
Wewe mwenyewe unajuwa vyema, hata hao unaowasema "wachache" wanaothamini hawapo.kukushauri, kukukebehi na wachache sana watakithamini kile unachokifanya.
“Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu.Ni vigumu kuaminika kuwa uliguswa, kuumizwa, kustushwa au kuchukizwa na matukio ya Oktoba 29, 2025. Ni vigumu kufanya watu wasadiki kuwa wewebkama Rais wa nchi yetu hujui kilichotokea au hata kufanya jitihada za kutaka kujua...
ZA MWIZI.....
Uovu unaouona kwa upande wa SSH unatokana na ukweli kwamba analinda nchi aliyoapa hadharani kuilinda.Wewe mwenyewe unajuwa vyema, hata hao unaowasema "wachache" wanaothamini hawapo.
Watu kama wewe na huyo mwenzako mnachothamini ni fursa tu zinazotokana na kumtumikia huyo mwovu. Wewe huna chochote kinachokuunganisha na Samia Suluhu Hassan, mtu mwovu kabisa, isipokuwa maslahi na pengine imani tu mnayochangia. Hakuna uthamini wowote zaidi ya hapo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Nimecheka Sana. Hata mimi hao binadamu nilishindwa kabisa kuwavumiliaHilo Mwashambwa na Tlaatlaah, mimi nilikwishayatupa jalalani muda mrefu, nikayapeleka huko kwenye Ignore list. Kujadiliana na watu wanaoshabilia mauaji, kimsingi majitu ambayo ni uzao wa shetani, ni kuyapatia heshima yasiyostahili:
Ignore Mwashambwa, Tlaatlaah, Dr wa Manesi.