Mbona unaongea ongea tu kama umejiunga kuongea mitandao yote?!!Kama wewe msafi na uwe wakwanza kupiga hao waliopo madarakani walioacha watoto lukuki dodoma hadi bungeni
Walaaniwe wazinifu wote
Walaaniwe wazinifu wote
Mkuu Naona umekamia huyo Gamba.
Tuacheni mbwebwe Tabora hakuna Chadema bana.
Unapokuwa unaandika kumbuka ulipo! Mimi nipo Tabora na kilichosemwa na mtoa mada ni 100%. Je wewe upo wapi? Pole wana Lumumba team.
Mkuu leo nakula nao sahani moja mpaka wakome kwani wamezoea kudanganya umma wa wanaJF.
acha kamba hakuna alie simama brbrn msafara ulikuwa na pkpk 9 tu kama ulikuwa haujavaa miwani
chanzo ni wewe mwenyewe sio makene bana, slaa mtampaisha ila hana singo mpya , mmeishaharibupigeni mahesabu ya majimbo matatu tu baada ya uchaguzi mkuumwangalieni kinana ana vyoua kimya kimya, wewe njoo na nginjera hizi ili upate mshahara wako.........
Tangia umeshutumiwa kuiba hela ya Rambirambi nimekupuuza sana!
Tabora hawana mda wa kukusanyika kwa ajili ya wazinifu
Tabora wanaikumbuka CDM kwa kumwagia watu tindikali.
Acha uongo! Pikipiki zilikuwa zaidi ya 70 na magari 30. Nitaweka picha nikitumia laptop. Kama unabisha anza kuweka picha.
Na hisi wanapenda ujinga wa Kinana na Kapuya ambao ni wana ccm mafuska wazoefu na tena ni wafanyabiashara wapembe zandovu wa siku nyingiUnavyopamba maneno utadhan ni kweli Tabora hawana muda mchafu wa kupoteza kufanya huo ujinga.