ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Huko nako ametangaza sera yake mpya ya kuboresha biashara ya gongo nchini?
Wananchi wa Tabora wameiokeaje sera yake hiyo?
Wananchi wa Tabora wameiokeaje sera yake hiyo?
Magamba matumbo yameanza kuwauma ghafla!Mtaharisha sana na bado sana!
Majimbo yote ambayo chadema iliazimwa na ccm 2010 yatarudi 2015 kwa kishindo. Wauwaji hawatakiwi tena tz
Slaa amempora mke wa mahimbo hataki kumuachia arudi kwa mume wakeCCM leaders included
Huko nako ametangaza sera yake mpya ya kuboresha biashara ya gongo nchini?
Wananchi wa Tabora wameiokeaje sera yake hiyo?
Slaa amempora mke wa mahimbo hataki kumuachia arudi kwa mume wake
Mimi Tabora naijua yote pale mjini, Kanyenye. Bachu, Ngambo, Uwaziri, pale sokoni Meya Hotel nikifika Tabora huwa nakula hapo.
Bado Sikonge, Ulambo, Nzega,
Igunga, kote huko nimefika.
Majimbo yote ambayo chadema iliazimwa na ccm 2010 yatarudi 2015 kwa kishindo. Wauwaji hawatakiwi tena tz
mmeshasahau matokeo ya Igunga,isikuwa kuchakachua mambo yangekuwa mengine.we acha ubwege Tabora is my home town naijua zaid unavyoijua wewe kwanza Tabora hakuna chadema hata chembe sasa we unaongea nini acha ushamba bwana mtu mzima unatia aibu.
Ndio Ritza, hii ni breaknews kwetu sisi wananchi wa kawaida, wenye kuipenda nchi hii na kujitoa kwa hali na mali ili sote tufaidike na kula matunda ya mama Tanganyika.Hii kweli nayo ni breaking news!
Hii kweli nayo ni breaking news!
we kaa kwenye keyboard na hizo b7 zinakudanganya sisi tunafanya mambo
nina kadi ya kupigia kura toka tarehe 31/01/2005 haijawahi kupigia kura ccm na nimeitunza kwa ajili ya 2015 hata msipoboresha daftari lazima mgoke!!
Poa kamanda mi ndo nasogea Malimbe SAUT kuwaletea updates.
Mimi Tabora naijua yote pale mjini, Kanyenye. Bachu, Ngambo, Uwaziri, pale sokoni Meya Hotel nikifika Tabora huwa nakula hapo.
Bado Sikonge, Ulambo, Nzega,
Igunga, kote huko nimefika.
Tayari tumekwisha mpokea na sasa ni mapumziko ya muda kabla ya kuanza safari ya kwenda kwenye eneo la mkutano wa kwanza katika kata ya Ishimulwa wilaya ya Uyui.