- Thread starter
- #21
Tayari tumekwisha mpokea na sasa ni mapumziko ya muda kabla ya kuanza safari ya kwenda kwenye eneo la mkutano wa kwanza katika kata ya Ishimulwa wilaya ya Uyui.
Pamoja sana Kamanda.Magamba wameshikwa vibaya sana hapa Tabora!
Tayari tumekwisha mpokea na sasa ni mapumziko ya muda kabla ya kuanza safari ya kwenda kwenye eneo la mkutano wa kwanza katika kata ya Ishimulwa wilaya ya Uyui.
Unapokuwa unaandika kumbuka ulipo! Mimi nipo Tabora na kilichosemwa na mtoa mada ni 100%. Je wewe upo wapi? Pole wana Lumumba team.
Hii misukule ni janga la taifa
Wewe unaijua Tabora? Au umetoa macho kwenye mtandao?
Sitaki kelele kama kanga wa porini,WEKA PICHAAAAA
Hii misukule ni janga la taifa
Endeleeni kuedit picha na baada ya zoezi kukamilika tupie jamvini, Babu Slaa ameshapitwa na wakati kwa sasa; Vp kwa wana Tabora watarajie ruksa ya Kilimo cha Bangi ili Tumbaku ikose soko kabisa kama bia zitakavyo kosa soko baada ya Gongo ruksa!!!!!!!!
chanzo ni wewe mwenyewe sio makene bana, slaa mtampaisha ila hana singo mpya , mmeishaharibupigeni mahesabu ya majimbo matatu tu baada ya uchaguzi mkuumwangalieni kinana ana vyoua kimya kimya, wewe njoo na nginjera hizi ili upate mshahara wako.........
Tuacheni mbwebwe Tabora hakuna Chadema bana.
Unapokuwa unaandika kumbuka ulipo! Mimi nipo Tabora na kilichosemwa na mtoa mada ni 100%. Je wewe upo wapi? Pole wana Lumumba team.
Hii misukule ni janga la taifa
we acha ubwege Tabora is my home town naijua zaid unavyoijua wewe kwanza Tabora hakuna chadema hata chembe sasa we unaongea nini acha ushamba bwana mtu mzima unatia aibu.
Tuacheni mbwebwe Tabora hakuna Chadema bana.
Hii misukule ni janga la taifa
we acha ubwege Tabora is my home town naijua zaid unavyoijua wewe kwanza Tabora hakuna chadema hata chembe sasa we unaongea nini acha ushamba bwana mtu mzima unatia aibu.