Tabora wampokea kwa shangwe Dr. Slaa

Tabora wampokea kwa shangwe Dr. Slaa

Wakati Mwanza wakijiandaa na mkutano mkubwa wa hadhara wa Mkiti wa Taifa, Freeman Mbowe leo, hapa Tabora kuna mapokezi makubwa sana msafara wa Gwiji wa Siasa Tanzania na Katibu Mkuu CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa unapita Tabora mjini kwenda Jimbo la Tabora Kaskazini.

Wananchi wa Tabora mjini wamejitokeza kwa wingi sana kumpokea Katibu Mkuu wa CHADEMA. Ni msururu wa Pikipiki na Magari ambayo idadi yake kwa harakaharaka ni vigumu kutoa hesabu yake.

Watu wamejipanga barabara zote huku wakimshangilia Dr Slaa kwa mfano ambao ni historia.

Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Tunashukuru Tumaini tusaidie picha kidogo
 
Akina Msalani nadhani wanahalimbaya sana kwa hali ilivyo .deal la Zito limeshindikana
 
Wakati Mwanza wakijiandaa na mkutano mkubwa wa hadhara wa Mkiti wa Taifa, Freeman Mbowe leo, hapa Tabora kuna mapokezi makubwa sana msafara wa Gwiji wa Siasa Tanzania na Katibu Mkuu CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa unapita Tabora mjini kwenda Jimbo la Tabora Kaskazini. Wananchi wa Tabora mjini wamejitokeza kwa wingi sana kumpokea Katibu Mkuu wa CHADEMA. Ni msururu wa Pikipiki na Magari ambayo idadi yake kwa harakaharaka ni vigumu kutoa hesabu yake. Watu wamejipanga barabara zote huku wakimshangilia Dr Slaa kwa mfano ambao ni historia. Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Tunashukuru Tumaini tusaidie picha kidogo
 
Rais mtarajiwa wa Taifa hili.
Daima mbele kurudi nyuma mwiko.
VIVA CHADEMA,UKOMBOZI UMEKARIBUA.
 
Mtu wa watu Dr. Slaa

Dr Slaa ni kama Mandela, anaujasiri wa ajabu. In fact anatakiwa atunukiwe nishani ya heshima au Noble prize ya kupambana na Ufisadi hapa Tanzania.
Dr Slaa watu wa kawaida wanamuelewa anafanya nini. Ni vigumu sana kwa mafisadi na watoto wao kumkubali Dr Slaa kwani ana madhara sana kwake.
CCM na kizazi ya mafisadi wanahaha sana kuoa Dr Slaa kipenzi cha watanzania azunguka tena 2015 kuomba ridhaa ya watanzania kuwaongoza katika harakati ya kuisafisha hii nchi.
Heshima kubwa sana kwa kamanda mbowe kwa kukubali kumpa hiyo nafasi huyi Dr Slaa kwani anahistoria kubwa na ni jasiri sana.

2015 lazima kieleweke iwe usiku au mchana
 
Hatari kwa maccm cjui yatakuja na mbinu gan? Kamanda mbowe tunae saut anafagia njia ya kwenda ikulu 2015 BG up cdm
 
we acha ubwege Tabora is my home town naijua zaid unavyoijua wewe kwanza Tabora hakuna chadema hata chembe sasa we unaongea nini acha ushamba bwana mtu mzima unatia aibu.

Kama kweli CDM hakuna Tabora, basi kuna tatizo. Harakati za kumwondoa mkoloni zilianzia Tabora. leo hii Tz inahitaji ukombozi wa kiuchumi na kisiasa halafu mmelala na wewe unafurahi. Fikiri sana kuhusu hali hiyo
 
Mimi Tabora naijua yote pale mjini, Kanyenye. Bachu, Ngambo, Uwaziri, pale sokoni Meya Hotel nikifika Tabora huwa nakula hapo.

Bado Sikonge, Ulambo, Nzega,
Igunga, kote huko nimefika.

"Ulambo" nipo Tabora ila sijasikia kama kuna sehemu inaitwa hivyo labda kama ni mkoa mpya
 
Kwa bahati mbaya sana msafara wa dr,picha ni gharama sana ,asanteni mlioko mwanza n a KUB picha si gharama
 
Vipi hakuna maandamano ya kupinga ujio wa Dr.Slaa. Mbona hao masalia wanachoka mapema hivyo? Tatizo nini au fedha hazitoshi? au nguvu zote wamemalizia Kigoma Mjini?. au wameelekea Mwanza katika msiba?
 
ritz, umla na wengne wenye akil kama zenu ubongo ulicheza baada ya kuanguka na kichwa kugonga ardhi mkiwa na cku. Dr. Slaa ni rais 2015.
 
Upo tabora ipi. Tabora hii vijana wa cdm wamevunja vijiwe vya M4C na kuchoma kadi za cdm! Unadanganya watu. Nenda sehemu zote alipopita Zitto Kabwe juzi juzi hapa Tabora na uone kilichotokea.
 
Back
Top Bottom