Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Upo tabora ipi. Tabora hii vijana wa cdm wamevunja vijiwe vya M4C na kuchoma kadi za cdm! Unadanganya watu. Nenda sehemu zote alipopita Zitto Kabwe juzi juzi hapa Tabora na uone kilichotokea.
Kijiwe kipi kilichovunjwa acha umbea utavishwa Sha........nga kiunoni na kupakwa wanja!