Tabora wampokea kwa shangwe Dr. Slaa

Tabora wampokea kwa shangwe Dr. Slaa

Mulipo kosa 2010 basi,ktk viti zaidi 200 mulipata viti 23,sasa udhaifu wenu watu wamewastukia,yan hamna wenye akili zaidi ya watu wa KILIMANJARO,ARUSHA na MANYARA,na kwa akili za ki chademachadema yan muchukuwe DOLA kwa kutegemea kanda yenu tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! akili mali,na kusoma kunaweza kukawa sio kuelimika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Endeleeni kuedit picha na baada ya zoezi kukamilika tupie jamvini, Babu Slaa ameshapitwa na wakati kwa sasa; Vp kwa wana Tabora watarajie ruksa ya Kilimo cha Bangi ili Tumbaku ikose soko kabisa kama bia zitakavyo kosa soko baada ya Gongo ruksa!!!!!!!!

Hujui ulitendalo,kwani konyagi,value na viroba unavyokunywa vina tofauti gani na gongo? utahangaika sana na dr slaa ambaye tu kiukweli si size yako! Dr.Slaa ni chaguo la watz makini na wazalendo kwa nchi yao.Endelea kuwalamba miguu wauza unga na wabakaji ili angalau uende choo,njaa mbaya sana!
 
Mulipo kosa 2010 basi,ktk viti zaidi 200 mulipata viti 23,sasa udhaifu wenu watu wamewastukia,yan hamna wenye akili zaidi ya watu wa KILIMANJARO,ARUSHA na MANYARA,na kwa akili za ki chademachadema yan muchukuwe DOLA kwa kutegemea kanda yenu tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! akili mali,na kusoma kunaweza kukawa sio kuelimika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mwanza tupo na kamanda MBOWE tunazidi kuyaunguza magamba! CHEZEA CDM WEYE!!!
 
Acha Magumashi! Hata mimi naweza kukutajia maeneo na hotel za Kampala-Uganda, Nairobi-Kenya na kwingineko lakini ukweli unabaki kuwa je nipo huko kwa wakati huu?
Mboka manyema ni kwangu kuna jamaa zangu wengi tu.
 
Nipo Tabora mjini namsubiri kwa hamu,Uyui c mbali na hapa mjini.Atakapofika hapa mjini updates za kutosha nitawapatia.

Tunashukuru Kamanda wetu wa Uyui.Pamoja sana.
 
mnaongea hamna hata uhakika nipo tabora pia na nipo kwenye mapokezi
 
Tuacheni mbwebwe Tabora hakuna Chadema bana.

Tabora ya sasa unaifahamu vizuri? hivi igunga ipo mkoa gani vile? unakumbuka kafumu alishinda kwa tofauti ya kura npapi pamoja na ahadi za mawaziri magamba za kujenga daraja na kugawa mahindi ya msaada kipindi cha kampeni? endeleeni kufarijiana huku CDM ikichapa mwendo!
 
Unavyopamba maneno utadhan ni kweli Tabora hawana muda mchafu wa kupoteza kufanya huo ujinga.

Tabora si ndio wanasema inaongoza kwa vichaa Tanzania.... if that the case, ni ngumu kwa vichaa kujipanga barabarani.. verse versa is true..!
 
Tunakutakia ziara njema na yenye mafanikio ktk chama cha wanyonge tanzania viva! viva! chadema vivaaaa....
 
TUNAKUSHUKURU SANA KAMANDA , UTAFITI UNAONYESHA kwamba kwa sasa DR SLAA NDIYE MTU MAARUFU KUPITA WOTE TANZANIA .
 
Back
Top Bottom