Tuacheni mbwebwe Tabora hakuna Chadema bana.
Tabora hamna chadema ndo maana maendeleo duni, Tabora ya sasa ni tofauti mkuu kuna chuo kikuu hapa na sehemu yeyote ambayo kuna chuo kikuu kunakuwepo na elimu ya uraia inayowafanya watu kujitambua kupitia wasomi hao, Tabor unayoijua sio ile ya mwaka 2005 watu wameamka wamepuuza propaganda zenu za udini.