King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,042
- 1,349
Kufuatia ripoti za kanisa lililojengwa katikati ya barabara na kupiga muziki mkubwa sana masaa 24 huko kata ya Kitete , mtaa wa Kariakoo Tabora imebainika kuwa kinachoitwa kanisa ni genge la wahuni vijana watupu wasiozidi miaka ishirini na tano ndio wanaoendesha uhuni huo
1. Kinachodaia kanisa hawana usajili wa kanisa kama sheria zinavyotaka
2. Hawana kibali cha ujenzi
3. Hawana kibali kuendesha kanisa
4. Hawana kibali cha afisa utamaduni kuruhusu wanachokifanya
Kwa kuwa kinaichoitwa kanisa hakina vibali husika , na Kuna vitendo vya kihuni vinavyofanywa na genge hilo lialojiita kanisa , sisi wakazi wa mtaa wa Kariakoo tunawataka afisa mipango miji, afisa mtendaji kata, afisa mtendaji mtaa na mwenyekiti wa mtaa kusimamisha shughuli zozote za kinachoitwa kanisa hilo na sheria zifutwe Kama tulivyokaa kikao na nyinyi siku ya inumaa tarehe 5/3 2021, ambapo mliahidi kuchukua hatua iwapo genge hilo la wahuni litaendelea na vurugu ikiwa I pamoja na kupiga muziki mkubwa sana huku kukiwa na shule mbili eneo hili, huku kukiwa na wagonjwa, wazee, watoto.
Afisa mipango miji kinachokufanya ushindwe kuchukua hatua ni nini? Maana Hawa watu hawana usajili wa kanisa, hawana kibali cha ujenzi, hawana kibali cha kuendesha kanisa/ ibada , sasa hebu chukua hatua Kama ulivyoahidi
Afisa mipango miji wewe mwenyewe umethibitisha madai ya wakazi wa mtaa kuwa genge hilo halina uhalali wa shughuli linazofanya kinyume na utaratibu. Hebu haki itendeke sisi hatutaki kujichukulia sheria mkononi. Mchungaji kusema amewaweka mfukoni kunaleta picha mbaya be.
1. Kinachodaia kanisa hawana usajili wa kanisa kama sheria zinavyotaka
2. Hawana kibali cha ujenzi
3. Hawana kibali kuendesha kanisa
4. Hawana kibali cha afisa utamaduni kuruhusu wanachokifanya
Kwa kuwa kinaichoitwa kanisa hakina vibali husika , na Kuna vitendo vya kihuni vinavyofanywa na genge hilo lialojiita kanisa , sisi wakazi wa mtaa wa Kariakoo tunawataka afisa mipango miji, afisa mtendaji kata, afisa mtendaji mtaa na mwenyekiti wa mtaa kusimamisha shughuli zozote za kinachoitwa kanisa hilo na sheria zifutwe Kama tulivyokaa kikao na nyinyi siku ya inumaa tarehe 5/3 2021, ambapo mliahidi kuchukua hatua iwapo genge hilo la wahuni litaendelea na vurugu ikiwa I pamoja na kupiga muziki mkubwa sana huku kukiwa na shule mbili eneo hili, huku kukiwa na wagonjwa, wazee, watoto.
Afisa mipango miji kinachokufanya ushindwe kuchukua hatua ni nini? Maana Hawa watu hawana usajili wa kanisa, hawana kibali cha ujenzi, hawana kibali cha kuendesha kanisa/ ibada , sasa hebu chukua hatua Kama ulivyoahidi
Afisa mipango miji wewe mwenyewe umethibitisha madai ya wakazi wa mtaa kuwa genge hilo halina uhalali wa shughuli linazofanya kinyume na utaratibu. Hebu haki itendeke sisi hatutaki kujichukulia sheria mkononi. Mchungaji kusema amewaweka mfukoni kunaleta picha mbaya be.