DOKEZO Kanisa la PAG-Bethel Nyasaka (Mwanza) na kero ya kelele kwa majirani

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kanisa la kilokole la Bethel linalopatikana katika eneo la Nyasaka-Msumbiji, kata ya Kawekamo,wilaya ya Ilemela,mkoa wa Mwanza limekithiri kwa kupiga kelele kuzidi viwango vibakubalika kisheria.

Imekua ni kawaida sasa kufungulia mziki kwa sauti kubwa tangu saa mbili asubui mpk saa nne kasorobi usiku.siku zote za wiki na hasa kipindi hiki cha desemba hali imekua tete zaidi.Cha ajabu sasa muda mwingi wanaofungulia mziki kwa sauti kubwa ni muda ambao hawafanyi ibadi bali vijana wanadai wanafanya mazoezi.

Hali hii imekua kero kubwa kwetu wakazi wa eneo ili ukichukulia kanisa limejengwa katikati ya eneo la makazi. Eneo ili lina makanisa zaidi ya manne ila ili kanisa la Bethel ndio limekithiri kwa kelele bila kujali afya za majirani.
Sheria ya mazingira sura ya 191 kifungu cha 106 (5 na 6) kinakataza kupiga kelele kuzidi viwango vinavyoruhusiwa na ni kosa kupiga kelele kinyume na viwango vilivyoruhusiwa.Kanuni ya udhibiti wa kelele na miteremo ya mwaka 2015 zimeainisha viwango vya sauti vinavyoruhusiwa kwenye makazi ili kulinda afya ya jamii.

Pia sheria ya afya ya jamii ya mwaka 2009 na sheria ya mipango miji ya mwaka 2007 sote kwa pamoja zinatoa muongozo wa kiasi cha kelele na viwango vilivyoruhusiwa.

Kelele hizi (Nuisance)imekua kero kwa wakazi wengi wa eneo ili kitu ambacho kimeathiri mahusiano kwenye jamii,ukosefu wa utulivu,usumbufu kwa wazee na wagonjwa na hata inakua ngumu kwa watoto kujisomea kuanzia saa 2 mpk saa 3 usiku.

Wito wetu sie majirani wa kanisa la Bethel ni kuomba Baba mchungaji na viongozi wengine wa kanisa,moja ni kuendesha shughuli za ibada kwa kuzingatia matumizi ya ardhi yaliopangwa katika eneo husika,pili kudhibiti kupiga kelele kinyume na kiwango kinachokubalika kisheria ambacho ni 50dBA mchana na 35dBA usiku, tatu muda wa mazoez basi wajitahidi kupunguza sauti ya spika ili sauti iwafaa walio ndani ya kanisa,maana kuna muda unaweza kukuta kanisalina watu chini ya 15 ila sauti ni kubwa mpk mtaa wa tatu.

Pia tunaviomba vyombo vinavyohusika na usimamizi wa mazingira ikiwemo TAMISEMI (kuanzia mwenyekiti wa mtaa mpk mkurugenzi),NEMC,wizara ya afya na polisi kusimamia sheria na kufanya patrol za mara kwa mara katika maeneo haya na kuchukua hatua kama inavoainishwa katila sheria za kudhitibiti kelele na mitetemo

Licha ya Ratiba zao kuonesha ibada zinaanza jioni siku za kazi, ila kuna vijana uwa wanakuja kuwasha muziki muda wowote ule hata iwe asubuhi au mchana wa siku za kazi.

Nimeambatanisha na ratiba zao za ibada hapo chini, maana muda ambao sio wa ibada kama inavoonekana kwemye bango lao ndio muda wa kelele nyingi.

39AA9C73-EF68-411A-B20E-8421AEC58A51.jpeg
 
Licha ya Ratiba zao kuonesha ibada zinaanza jioni siku za kazi, ila kuna vijana uwa wanakuja kuwasha muziki muda wowote ule hata iwe asubuhi au mchana wa siku za kazi.

Nimeambatanisha na ratiba zao za ibada hapo chini, maana muda ambao sio wa ibada kama inavoonekana kwemye bango lao ndio muda wa kelele nyingi.

View attachment 2853602
Hao vijana ndio wanajifunza kupiga gitaa na keyboard ,drums .Asilimia 90 ya musician wote duniani walijifunza kupiga vyombo kanisani na hauwezi kujifunza muda wa ibada au mazoezi ya choir .Unatafuta muda ambao hakuna activity kanisani unajifunza,wavumilie wanajitafuta.
 
Ni kero sana.
Unakuta kanisa lina watu 10 lakini volume ya spika iko mwisho. Na wana maspika makubwa kweli kweli. Sauti inafika mita 500 kutoka kanisani.
Sauti iwe kwa ajili ya walio ndani ili kuondoa kero hizo.
 
Kanisa la kilokole la Bethel linalopatikana katika eneo la Nyasaka-Msumbiji, kata ya Kawekamo,wilaya ya Ilemela,mkoa wa Mwanza limekithiri kwa kupiga kelele kuzidi viwango vibakubalika kisheria.

Imekua ni kawaida sasa kufungulia mziki kwa sauti kubwa tangu saa mbili asubui mpk saa nne kasorobi usiku.siku zote za wiki na hasa kipindi hiki cha desemba hali imekua tete zaidi.Cha ajabu sasa muda mwingi wanaofungulia mziki kwa sauti kubwa ni muda ambao hawafanyi ibadi bali vijana wanadai wanafanya mazoezi.

Hali hii imekua kero kubwa kwetu wakazi wa eneo ili ukichukulia kanisa limejengwa katikati ya eneo la makazi. Eneo ili lina makanisa zaidi ya manne ila ili kanisa la Bethel ndio limekithiri kwa kelele bila kujali afya za majirani.
Sheria ya mazingira sura ya 191 kifungu cha 106 (5 na 6) kinakataza kupiga kelele kuzidi viwango vinavyoruhusiwa na ni kosa kupiga kelele kinyume na viwango vilivyoruhusiwa.Kanuni ya udhibiti wa kelele na miteremo ya mwaka 2015 zimeainisha viwango vya sauti vinavyoruhusiwa kwenye makazi ili kulinda afya ya jamii.

Pia sheria ya afya ya jamii ya mwaka 2009 na sheria ya mipango miji ya mwaka 2007 sote kwa pamoja zinatoa muongozo wa kiasi cha kelele na viwango vilivyoruhusiwa.

Kelele hizi (Nuisance)imekua kero kwa wakazi wengi wa eneo ili kitu ambacho kimeathiri mahusiano kwenye jamii,ukosefu wa utulivu,usumbufu kwa wazee na wagonjwa na hata inakua ngumu kwa watoto kujisomea kuanzia saa 2 mpk saa 3 usiku.

Wito wetu sie majirani wa kanisa la Bethel ni kuomba Baba mchungaji na viongozi wengine wa kanisa,moja ni kuendesha shughuli za ibada kwa kuzingatia matumizi ya ardhi yaliopangwa katika eneo husika,pili kudhibiti kupiga kelele kinyume na kiwango kinachokubalika kisheria ambacho ni 50dBA mchana na 35dBA usiku, tatu muda wa mazoez basi wajitahidi kupunguza sauti ya spika ili sauti iwafaa walio ndani ya kanisa,maana kuna muda unaweza kukuta kanisalina watu chini ya 15 ila sauti ni kubwa mpk mtaa wa tatu.

Pia tunaviomba vyombo vinavyohusika na usimamizi wa mazingira ikiwemo TAMISEMI (kuanzia mwenyekiti wa mtaa mpk mkurugenzi),NEMC,wizara ya afya na polisi kusimamia sheria na kufanya patrol za mara kwa mara katika maeneo haya na kuchukua hatua kama inavoainishwa katila sheria za kudhitibiti kelele na mitetemo

Licha ya Ratiba zao kuonesha ibada zinaanza jioni siku za kazi, ila kuna vijana uwa wanakuja kuwasha muziki muda wowote ule hata iwe asubuhi au mchana wa siku za kazi.

Nimeambatanisha na ratiba zao za ibada hapo chini, maana muda ambao sio wa ibada kama inavoonekana kwemye bango lao ndio muda wa kelele nyingi.

View attachment 2853602

ukisema kelele nao watakuja na zile azana za kila siku asubuhi umedhani wanafurahia??
so ni kuvumiliana
 
Mungu ni wa utaratibu hapendi kelele Wala vurugu hao watu wafanye ibaada inayompendeza mungu sio kelele na kero kwa majirani.
Amri kuu ya mungu ni kumpenda mungu na jirani kumkera na kumkwaza jirani ni kosa Kwa mungu.
Walokole punguzeni kelele na kero kwa majirani Ili ibaada zenu zifae mbele za mungu
 
Poleni sana, wananchi muungane na uongozi wa serikali za mitaa mkae chini na uongozi wa kanisa mpate muafaka, suluhu itapatikana tu.
Hii hali ni ngumu sana hasa ukiwa na watoto wanaosoma, kila akitaka utulivu hapati. Hata sisi huku Ilemela hawa jamaa wa Tunza beach wanatupa taabu sana, usiku hakuna kulala hasa weekend. ila wananzengo tuna jambo letu liko jikoni, tutaelewana tu.
 
Lazima una mapepo tu. Maombi kamwe hayaezi kuwa kelele.

Uwepo wa Kanisa karibu Yako, Kuna namna unapata ulinzi wa kiroho. Ukiona hupati USINGIZI join them, wakimaliza Rudi ulale.
 
Hao vijana ndio wanajifunza kupiga gitaa na keyboard ,drums .Asilimia 90 ya musician wote duniani walijifunza kupiga vyombo kanisani na hauwezi kujifunza muda wa ibada au mazoezi ya choir .Unatafuta muda ambao hakuna activity kanisani unajifunza,wavumilie wanajitafuta.
Kinachasitikisha ni kuwa watanzania tumeshazoea shida na ukiukwaji wa sheria na haki kiasi ambacho tumefika hatua ya kuhalalisha kila kitu na bila kujali chochote. Makanisa na nyumba za ibada kwa ujumla havipaswi kuwa chanzo cha kero na sauti kubwa muda wote. Nchi inaendeshwa na kanuni, sheria na katiba na zimewekwa kwa makusudi maalum. Unajua madhara ya kelele?
 
Kanisa la kilokole la Bethel linalopatikana katika eneo la Nyasaka-Msumbiji, kata ya Kawekamo,wilaya ya Ilemela,mkoa wa Mwanza limekithiri kwa kupiga kelele kuzidi viwango vibakubalika kisheria.

Imekua ni kawaida sasa kufungulia mziki kwa sauti kubwa tangu saa mbili asubui mpk saa nne kasorobi usiku.siku zote za wiki na hasa kipindi hiki cha desemba hali imekua tete zaidi.Cha ajabu sasa muda mwingi wanaofungulia mziki kwa sauti kubwa ni muda ambao hawafanyi ibadi bali vijana wanadai wanafanya mazoezi.

Hali hii imekua kero kubwa kwetu wakazi wa eneo ili ukichukulia kanisa limejengwa katikati ya eneo la makazi. Eneo ili lina makanisa zaidi ya manne ila ili kanisa la Bethel ndio limekithiri kwa kelele bila kujali afya za majirani.
Sheria ya mazingira sura ya 191 kifungu cha 106 (5 na 6) kinakataza kupiga kelele kuzidi viwango vinavyoruhusiwa na ni kosa kupiga kelele kinyume na viwango vilivyoruhusiwa.Kanuni ya udhibiti wa kelele na miteremo ya mwaka 2015 zimeainisha viwango vya sauti vinavyoruhusiwa kwenye makazi ili kulinda afya ya jamii.

Pia sheria ya afya ya jamii ya mwaka 2009 na sheria ya mipango miji ya mwaka 2007 sote kwa pamoja zinatoa muongozo wa kiasi cha kelele na viwango vilivyoruhusiwa.

Kelele hizi (Nuisance)imekua kero kwa wakazi wengi wa eneo ili kitu ambacho kimeathiri mahusiano kwenye jamii,ukosefu wa utulivu,usumbufu kwa wazee na wagonjwa na hata inakua ngumu kwa watoto kujisomea kuanzia saa 2 mpk saa 3 usiku.

Wito wetu sie majirani wa kanisa la Bethel ni kuomba Baba mchungaji na viongozi wengine wa kanisa,moja ni kuendesha shughuli za ibada kwa kuzingatia matumizi ya ardhi yaliopangwa katika eneo husika,pili kudhibiti kupiga kelele kinyume na kiwango kinachokubalika kisheria ambacho ni 50dBA mchana na 35dBA usiku, tatu muda wa mazoez basi wajitahidi kupunguza sauti ya spika ili sauti iwafaa walio ndani ya kanisa,maana kuna muda unaweza kukuta kanisalina watu chini ya 15 ila sauti ni kubwa mpk mtaa wa tatu.

Pia tunaviomba vyombo vinavyohusika na usimamizi wa mazingira ikiwemo TAMISEMI (kuanzia mwenyekiti wa mtaa mpk mkurugenzi),NEMC,wizara ya afya na polisi kusimamia sheria na kufanya patrol za mara kwa mara katika maeneo haya na kuchukua hatua kama inavoainishwa katila sheria za kudhitibiti kelele na mitetemo

Licha ya Ratiba zao kuonesha ibada zinaanza jioni siku za kazi, ila kuna vijana uwa wanakuja kuwasha muziki muda wowote ule hata iwe asubuhi au mchana wa siku za kazi.

Nimeambatanisha na ratiba zao za ibada hapo chini, maana muda ambao sio wa ibada kama inavoonekana kwemye bango lao ndio muda wa kelele nyingi.

View attachment 2853602
hama wewe, hao wana kibali kuweka kanisa hapo. nashauri wapige kelele hadi kichwa chako kilichojaa madudu yakutoke.
 
Back
Top Bottom