Wanawake wengi wanao weka bleach nywele zao wanakua na matatizo sana. Sio wote wengi wao msije nkabaka koo bureSura ya kaziView attachment 1522006
yaan hii comment nimecheka had mbavu zinauma uwiiiiiihMkuu hizo ndio sura za madem Tabora. Yani huyo hata u miss anagombea. Kwanza Ni mweupe kwa std za Tabora. Usiombe ukutane na jike dume la huko.
Polisi wakimpata mmoja yanakuwa mavuno.Hivi siku hizi wananchi wenye hasira wameokoka maana siku nyingi sana sijasikia makeke yao.
Sura Nzito sana.Sura ya kaziView attachment 1522006
Kuna watu wamevufugwa aisee....DaahDuniani Kuna mambo. Nilishaona mtu kwenye bar Kigoma anaingiza vidole sehemu za Siri za mwanamke Kisha ananusa vidole vyake na kutabasamu sana
Ndio mana mbunge wa kaliua kama DUME.Mkuu hizo ndio sura za madem Tabora. Yani huyo hata u miss anagombea. Kwanza Ni mweupe kwa std za Tabora. Usiombe ukutane na jike dume la huko.
Dah! Kwa sura hii huyu hajasingiziwa...........huyu hata kubaka mwanaume anawezaSura ya kaziView attachment 1522006
Yule mama ni mchaga, tumtumie kupima watoto wa huko kilimanjaro.Ndio mana mbunge wa kaliula kama DUME.
Yule mama ni mchaga, tumtumie kupima watoto wa huko kilimanjaro.
Ye anapata raha gani sasa hapo, lkn sura km ya kiume au homon zake za kiume.Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Irene James mwenye miaka 36 amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Tabora kwa tuhuma za kuwafanyia unyanyasaji wa kingono watoto saba (7) wa kike wenye umri kati ya miaka Minne (4) hadi Saba (7) ambao ni watoto wa majirani zake.
Akisoma maelezo ya awali ya makosa yanayomkabili mshtakiwa huyo, Wakili upande wa Jamhuri, Gladness Senya ameieleza mahakama kwamba mtuhumiwa anadaiwa kutenda makosa saba ya uzalilishaji wa kingono wa hali ya juu kwa kuwaingiza vidole watoto hao sehemu zao nyeti, kinyume cha Kifungu cha 138 C (1) (a) na Kifungu kidogo cha 2(b) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2019.
Majina ya watoto hao saba yamehifadhiwa.
Mbele ya Hakimu mkazi Mkoa wa Tabora, John Mdoe, Wakili huyo wa Jamhuri alidai kuwa mtuhumiwa aliwatendea makosa hayo watoto hao saba wa majirani zake kwa nyakati tofauti hususan nyakati za mchana tarehe zisizojulikana kati ya mwezi Januari hadi Julai mwaka huu huko katika Kata ya Kanyenye, Manispaa ya Tabora.
Mara baada ya kusikiliza maelezo hayo, Mahakama hiyo ya Hakimu mkazi Mkoa wa Tabora imemnyima dhamana mshtakiwa kwa madai ya usalama wake na kwamba amepelekwa mahabusu mpaka pale kesi hiyo itakapotajwa tena Agosti 13.
AZAM TV
Huyo mwanamke lazima ana matatizo ya kisaikolojia kutokana na kutendewa hivyo hivyo akiwa mdogo.
basi tu anawakomoa wanaume wanaofukuzia bikira.Ye anapata raha gani sasa hapo, lkn sura km ya kiume au homon zake za kiume.