ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,205
- 1,573
Teheteheteheteheteheteheteh, kwiswe kumanyile icho wamuwila!, duh!
Weee nahoo hulekaa agasokolole masula aga gakamanya icho kuyomba. kuguwela iswe kwe vapina mwee....!!
Teheteheteheteheteheteheteh, kwiswe kumanyile icho wamuwila!, duh!
Weee nahoo hulekaa agasokolole masula aga gakamanya icho kuyomba. kuguwela iswe kwe vapina mwee....!!
Junius mtani wangu (kama Mzenji nina imani hiyo) pamoja na wachangiaji wengine,
Nipeni muda kidogo na nitakuja na maoni yangu kwa ujumla juu ya Sikonge.
Malila, Wilaya ya Sikonge ina ardhi nyingi na kubwa saaana. Angalia kwenye Google Earth maeneo kama Pangale, Kasisi, Tutuo kwenda hadi Mole, vuka Sikonge na nenda chini kama waenda Mbeya na fika eneo jingine walilo-ZOOM yaani waweza kuona kwa karibu hadi nyumba na utaona vijiji kama vilivyo kama km.40 kutoka Sikonge. Huko utaona maeneo mengi na makubwa saaana. Yaani hata ukitaka km.10 kwa 10 bado utazipata bila wasiwasi na hakuna wa kukuuliza.
Tatizo la Sikonge na Tabora kwa ujumla ni USAFIRI na wakati wa Masika, maeneo hayo hadi kufika huko Itunda ambako Kikwete amekuwa Rais wa kwanza kufika, huwa hayafikiki. Hata Kikwete mwenyewe gari lilikwama na ikabidi watume Helcopiter imfikishe huko. Wakati wa Masika huwa ndiyo mabasi kama SHAKIRA linafika.
Wasomi kama Balozi Chokara, ndiyo wanatoka maeneo hayo. Pia jamaa wengine wengi tu humu wanatoka maeneo hayo kwani hivyo vijiji vilivyoanzishwa wakati huo miaka ya 70, kama Usunga nk chini ya Uhamishaji watu wa Mzee Luswetula (asante Keil kwa kunikumbusha huyu Mzee) ulifanya mkusanyiko mkubwa sana wa watu na ushindani shuleni ukawa mkubwa. Kijiji hiki kilikuwa na sifa ya kupasisha wanafunzi wengi karibu kila mwaka na mara nyingi wakiizidi hata Sikonge yenyewe pamoja na kuwa na shule mbili za Msingi.
Tatizo la Sikonge, ni tatizo common kwa Tabora nzima.
MALILA: Angalia pia sehemu inaitwa Tumbi, ni kama unaenda Urambo na karibu sana na Tabora Mjini, na baada ya hapo nenda Kaskazini hadi utaiona kambi ya JKT ya Msange. Hii kambi peke yake kuna misitu mikubwa sana ambayo zamani yalikuwa mashamba ya katani ya Msungu. Huyu Mzungu alishindwa kutamka Msange na akawa anasema Masange. Ndiyo maana zamani kambi pia ilikuwa ikiitwa Masange na baadaye ndiyo ikabadilishwa na kuitwa Msange (Mkute). Kutoka hapo unaenda hadi huko kijiji cha Mbola, ni msitu mkubwa sana. Hahaaaaa, kijiji cha Mbola kuna mama mmoja ambaye anaishi kwa kupewa Msaada na Mwanamziki Maarufu na Producer aitwaye John Legends. Ukiingia kwenye ukurasa wake, utaona picha zake akiwa Mbola na ukisikia katua Tz basi ujuwe kaenda kumtembelea mama yake wa Mbola. Vuka Msange nenda hadi maeneo lilipo bwawa la Igombe kama sikosei, na vuka Igombe, huko kote ni msitu mzito sana wa Miyombo na safi sana kwa kufuga asali..........
Ntaandika zaidi baadaye kama nilivyoahidi na nafikiri KEIL na Mkuu Kichuguu watasaidia na wao maoni yao. Nitajadili zaidi sababu ambazo naona zimesababisha hali iwe hivi na nini kinaweza kufanyika maana si kulaumu tu ila pia kujaribu kutoa maelezo nini kifanyike.
Samwel Sitta alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo Cha Uwekezaji (TIC) kwa muda mrefu. Aliufanyia nini mkoa wake kiuwekezaji? Au Ndizo speed na standards alizotamba nazo? Kuna msemo: Mzigo mzito mtwishe Mnyamwezi. Tangu enzi za kina Tip Tip kazi yao ni kubeba mizigo ya wengine si ya kwao wenyewe. Tangu 1940s kuna shule kama Tabora Boys, Mirambo, Tabora Girls, Kazima, nk. Hizo wamesoma watu wa kuja tu? Kama ni hivyo alaumiwe nani?doh,
naona tatizo ni viwanda vya uzalishaji hakuna,na vilivyokuwepo vimefungwa kama kiwanda cha nyuzi na hata kile cha tumbaku.
enzi hizo hivi vilisaidia kuinua uchumi wa tabora sio kama sasa.kwa sasa hivi wanategemea tu kilimo hicho cha tumbaku na inauzwa mikoa jirani wakati hapo kiwanda kilikuwepo,na zinanunuliwa kwa bei ya chini.
wengi wa wazawa wa tabora hawajapata elimu ya kutosha,japo mashule yapo mengi ya kutosha.wengi ni wageni wanasoma na kuondoka.anyway wafufue viwanda kwanza wataamka na kusimama taratibu.
kitu kingine,ushauri kwa wawekezaji,tabora ina eneo la ardhi kuubwa sana ambayo ipo tupu na inahitaji kuendelezwa.mfano kule wangepeleka viwanda kama vitatu tu vingetosha sana,kama kiwanda cha vinywaji kama juis na maji,pia viwanda vya vyakula as long mpunga na mahindi ni zao linalolimwa mkoani hapo.
si mbaya pia baadhi ya ofisi za serikali zikahamishia huko makao makuu.ni matumaini yangu wafanyakazi wake wengi watakaokua huko kufanya kazi watapaboresha zaidi.
jamani sijui wenzangu kama mmepata kung'amua kitu hiki mkoa wa Tabora ni kama vile umekufa kwa jinsi nionavyo mimi licha ya wakazi wake kuwa na chakula pengine cha kutosha lakini miaka nenda rudi nikipita hapo sioni mabadiliko utafikiri vile hakuna wazawa waliokwenda shule mpaka leo mbavu za mbwa ziko katika mji tatizo liko wapi?
-kwa wazawa wenyewe?
-serikali?
kwa kuwa kama ni viongozi waliosoma na kuwepo katika sytem hii ya serikali wapo tangu kitambo mbona kunadorola yaani huwa napata maswali mengi kichwani?
hebu nisaidiane hasa ninyi wazawa wa tabora na wenye kuufahamu vizuri unastahili kuwa kama ilivyo? ukizingatia kuwa ni mkoa wa kihistoria katika harakati za uhuru wa nchi hii.
Junius mtani wangu (kama Mzenji nina imani hiyo) pamoja na wachangiaji wengine,
Nipeni muda kidogo na nitakuja na maoni yangu kwa ujumla juu ya Sikonge.
Malila, Wilaya ya Sikonge ina ardhi nyingi na kubwa saaana. Angalia kwenye Google Earth maeneo kama Pangale, Kasisi, Tutuo kwenda hadi Mole, vuka Sikonge na nenda chini kama waenda Mbeya na fika eneo jingine walilo-ZOOM yaani waweza kuona kwa karibu hadi nyumba na utaona vijiji kama vilivyo kama km.40 kutoka Sikonge. Huko utaona maeneo mengi na makubwa saaana. Yaani hata ukitaka km.10 kwa 10 bado utazipata bila wasiwasi na hakuna wa kukuuliza.
Tatizo la Sikonge na Tabora kwa ujumla ni USAFIRI na wakati wa Masika, maeneo hayo hadi kufika huko Itunda ambako Kikwete amekuwa Rais wa kwanza kufika, huwa hayafikiki. Hata Kikwete mwenyewe gari lilikwama na ikabidi watume Helcopiter imfikishe huko. Wakati wa Masika huwa ndiyo mabasi kama SHAKIRA linafika.
Wasomi kama Balozi Chokara, ndiyo wanatoka maeneo hayo. Pia jamaa wengine wengi tu humu wanatoka maeneo hayo kwani hivyo vijiji vilivyoanzishwa wakati huo miaka ya 70, kama Usunga nk chini ya Uhamishaji watu wa Mzee Luswetula (asante Keil kwa kunikumbusha huyu Mzee) ulifanya mkusanyiko mkubwa sana wa watu na ushindani shuleni ukawa mkubwa. Kijiji hiki kilikuwa na sifa ya kupasisha wanafunzi wengi karibu kila mwaka na mara nyingi wakiizidi hata Sikonge yenyewe pamoja na kuwa na shule mbili za Msingi.
Tatizo la Sikonge, ni tatizo common kwa Tabora nzima.
MALILA: Angalia pia sehemu inaitwa Tumbi, ni kama unaenda Urambo na karibu sana na Tabora Mjini, na baada ya hapo nenda Kaskazini hadi utaiona kambi ya JKT ya Msange. Hii kambi peke yake kuna misitu mikubwa sana ambayo zamani yalikuwa mashamba ya katani ya Mzungu. Huyu Mzungu alishindwa kutamka Msange na akawa anasema Masange. Ndiyo maana zamani kambi pia ilikuwa ikiitwa Masange na baadaye ndiyo ikabadilishwa na kuitwa Msange (Mkute). Kutoka hapo unaenda hadi huko kijiji cha Mbola, ni msitu mkubwa sana. Hahaaaaa, kijiji cha Mbola kuna mama mmoja ambaye anaishi kwa kupewa Msaada na Mwanamziki Maarufu na Producer aitwaye John Legends. Ukiingia kwenye ukurasa wake, utaona picha zake akiwa Mbola na ukisikia katua Tz basi ujuwe kaenda kumtembelea mama yake wa Mbola. Vuka Msange nenda hadi maeneo lilipo bwawa la Igombe kama sikosei, na vuka Igombe, huko kote ni msitu mzito sana wa Miyombo na safi sana kwa kufuga asali..........
Ntaandika zaidi baadaye kama nilivyoahidi na nafikiri KEIL na Mkuu Kichuguu watasaidia na wao maoni yao. Nitajadili zaidi sababu ambazo naona zimesababisha hali iwe hivi na nini kinaweza kufanyika maana si kulaumu tu ila pia kujaribu kutoa maelezo nini kifanyike.
jamani sijui wenzangu kama mmepata kung'amua kitu hiki mkoa wa Tabora ni kama vile umekufa kwa jinsi nionavyo mimi licha ya wakazi wake kuwa na chakula pengine cha kutosha lakini miaka nenda rudi nikipita hapo sioni mabadiliko utafikiri vile hakuna wazawa waliokwenda shule mpaka leo mbavu za mbwa ziko katika mji tatizo liko wapi?
-kwa wazawa wenyewe?
-serikali?
kwa kuwa kama ni viongozi waliosoma na kuwepo katika sytem hii ya serikali wapo tangu kitambo mbona kunadorola yaani huwa napata maswali mengi kichwani?
hebu nisaidiane hasa ninyi wazawa wa tabora na wenye kuufahamu vizuri unastahili kuwa kama ilivyo? ukizingatia kuwa ni mkoa wa kihistoria katika harakati za uhuru wa nchi hii.
sijawahi kufika Tabora,ila vipi enzi zile za marehemu Lawrence Gama,je maendeleo ya kicuhumi yalkikuwaje na miundo mbinu?au yeye anasifika kuipandisha milambo toka mchangani daraja la 3 enzi hizo mpaka ligi daraja la kwanza(ligi kuu siku hizi)na ule uwanja wa ally hassan mwinyi,achilia mbali uwanjawa vita,na kuna timu mpaka leo sijui ipo inaitwa polisi hao hawajahi kucheza ligi kuu labda kama walibadilisha jina,samahanini lakini mimi naingia sana kwenye michezo,na ndio najua moja ya mafanikio ya marehemu Gama mikoa ya Ruvuma na Tabora yalikuwa ktk soka kazisaidia majiwater na milambo kuwa tishio ligi kuu vs simba na yanga,wapi mikidadi j4 bubu,jobe ayubu kwasakwasa,quresh ufunguo,dadi phares wanyanyembe!
Junius mtani wangu (kama Mzenji nina imani hiyo) pamoja na wachangiaji wengine,
Nipeni muda kidogo na nitakuja na maoni yangu kwa ujumla juu ya Sikonge.
Malila, Wilaya ya Sikonge ina ardhi nyingi na kubwa saaana. Angalia kwenye Google Earth maeneo kama Pangale, Kasisi, Tutuo kwenda hadi Mole, vuka Sikonge na nenda chini kama waenda Mbeya na fika eneo jingine walilo-ZOOM yaani waweza kuona kwa karibu hadi nyumba na utaona vijiji kama vilivyo kama km.40 kutoka Sikonge. Huko utaona maeneo mengi na makubwa saaana. Yaani hata ukitaka km.10 kwa 10 bado utazipata bila wasiwasi na hakuna wa kukuuliza.
Tatizo la Sikonge na Tabora kwa ujumla ni USAFIRI na wakati wa Masika, maeneo hayo hadi kufika huko Itunda ambako Kikwete amekuwa Rais wa kwanza kufika, huwa hayafikiki. Hata Kikwete mwenyewe gari lilikwama na ikabidi watume Helcopiter imfikishe huko. Wakati wa Masika huwa ndiyo mabasi kama SHAKIRA linafika.
Wasomi kama Balozi Chokara, ndiyo wanatoka maeneo hayo. Pia jamaa wengine wengi tu humu wanatoka maeneo hayo kwani hivyo vijiji vilivyoanzishwa wakati huo miaka ya 70, kama Usunga nk chini ya Uhamishaji watu wa Mzee Luswetula (asante Keil kwa kunikumbusha huyu Mzee) ulifanya mkusanyiko mkubwa sana wa watu na ushindani shuleni ukawa mkubwa. Kijiji hiki kilikuwa na sifa ya kupasisha wanafunzi wengi karibu kila mwaka na mara nyingi wakiizidi hata Sikonge yenyewe pamoja na kuwa na shule mbili za Msingi.
Tatizo la Sikonge, ni tatizo common kwa Tabora nzima.
MALILA: Angalia pia sehemu inaitwa Tumbi, ni kama unaenda Urambo na karibu sana na Tabora Mjini, na baada ya hapo nenda Kaskazini hadi utaiona kambi ya JKT ya Msange. Hii kambi peke yake kuna misitu mikubwa sana ambayo zamani yalikuwa mashamba ya katani ya Mzungu. Huyu Mzungu alishindwa kutamka Msange na akawa anasema Masange. Ndiyo maana zamani kambi pia ilikuwa ikiitwa Masange na baadaye ndiyo ikabadilishwa na kuitwa Msange (Mkute). Kutoka hapo unaenda hadi huko kijiji cha Mbola, ni msitu mkubwa sana. Hahaaaaa, kijiji cha Mbola kuna mama mmoja ambaye anaishi kwa kupewa Msaada na Mwanamziki Maarufu na Producer aitwaye John Legends. Ukiingia kwenye ukurasa wake, utaona picha zake akiwa Mbola na ukisikia katua Tz basi ujuwe kaenda kumtembelea mama yake wa Mbola. Vuka Msange nenda hadi maeneo lilipo bwawa la Igombe kama sikosei, na vuka Igombe, huko kote ni msitu mzito sana wa Miyombo na safi sana kwa kufuga asali..........
Ntaandika zaidi baadaye kama nilivyoahidi na nafikiri KEIL na Mkuu Kichuguu watasaidia na wao maoni yao. Nitajadili zaidi sababu ambazo naona zimesababisha hali iwe hivi na nini kinaweza kufanyika maana si kulaumu tu ila pia kujaribu kutoa maelezo nini kifanyike.
Mlila nifuate Dec twende wote nikakupe Eneo. panalimika inategemea unatumia nyezo gani na kilimo kipi.