Tabora iliyodidimia inahitaji kuinuliwa...

nipo tabora kikazi lakini toka nifike hapa pananishangaza. tofauti na miji mingine sababu ya kwanza idadi kubwa ya nyumba za mjini ni mbavu za mbwa.yaani zimejengwa kwa miti na tope. hivi ni kwanini?wanajanvi nisaidieni.
siyo kweli wewe muongo
 
tabora-town_aerial-view1.jpg
2c.JPG
24022010335.jpg
IMG_2161.JPG
20.jpg
25.jpg
31.jpg
40.jpg
35.jpg
30.jpg
hizo picha ni nyumba za NHC hakuna nyumba ya. mwananchi wakawaida. Kesho nitawaletea picha za mtanzania halisi wa tabora hadi kwao Rage
 
kama mbunge wao ni ADENI RAGE ( mfungwa aliyeachiwa kwa msamaha wa rais kwa sababu ya ugonjwa wa kisukari unaomuandama ) unategemea nini ?
 
Mamwinyi, wanapenda kunywa kahawa tu na kupiga stori waarabu walituharibia sana hizi njia walizopita waliwafanya wanaume wa maeneo hayo kutokuwa na majukumu ya kulea na kutunza familia kazi kubwa ni kutia mimba tu.
Kingine ushirikina umemea sana, nakumbuka miaka ya 80 na 90 mwanzoni kulikuwa na majini/mashetani hutembei usiku haswa mitaa ya kanyeye, ng'ambo, kitete.
Ujambazi nao ni tatizo sugu wakiona unavihela tu lazima waje wakuchane mapanga,


Jamani sijui wenzangu kama mmepata kung'amua kitu hiki mkoa wa Tabora ni kama vile umekufa.

Kwa jinsi nionavyo mimi licha ya wakazi wake kuwa na chakula pengine cha kutosha lakini miaka nenda rudi nikipita hapo sioni mabadiliko utafikiri vile hakuna wazawa waliokwenda shule mpaka leo mbavu za mbwa ziko katika mji tatizo liko wapi?

-kwa wazawa wenyewe?
-serikali?

Kwa kuwa kama ni viongozi waliosoma na kuwepo katika sytem hii ya serikali wapo tangu kitambo mbona kunadorola yaani huwa napata maswali mengi kichwani?

Hebu nisaidieni hasa ninyi wazawa wa Tabora na wenye kuufahamu vizuri unastahili kuwa kama ilivyo? [Ukizingatia kuwa ni mkoa wa kihistoria katika harakati za uhuru wa nchi hii]
 
Kweli jf ya zamani ilikuwa na great thinkers wazuri,nimesoma mawazo yao na naona ni sahihi kwamba tatizo la Tabora ni miundombinu,lakini wachangiaji wa kuanzia 2012wakaanza kuleta siasa eti tatizo ni Rage kwani Rage si ana miaka mitatu tu,wanasema mji uliokaliwa na waarabu hauendelei kwani huko Dar wanakokimbilia ulianzishwa na Wazungu?kukaririshwa kubaya.Kwani hiyo mikoa iliyoendelea haikupewa miundombinu kwanza?Tabora inapanuka pembeni kama Mwinyi,Kariakoo,Ipuli,Lwanzali mabadiliko ya katikati ni suala la muda tu.Siasa hazitufikishi popote.Mwabhezya sana.
 
LIcha ya historia safi katika mapambano na/au harakati mkoa wa tabora sasa umebaki nyuma sana katika siasa za mageuzi. Mkoa huu ni kati ya mikoa ambayo wabunge wake wote ni CCM na kweli licha ya hilo hakuna utofauti sana unaoonekana mpaka sasa miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu oktoba (nasikia unataka kupgwa until further notice) hakuna mwamko wowote kuwa mabadiliko sasa yanakarbia.
wanatabora tuamke TANU haipo tena, CCM safi ilizikwa na Mwalimu huko Butiama!!
 
Mkuu watu wa Tabora sijui wanapatwa na nini

Huwezi amini,huduma ya maji kwa sehemu kubwa,kubwa kabisa ya mji ule inapatikana kwa shida sana.Ukipita mitaani,Ng'ambo,Isevya,Kaloleni,Mwanza Road,Bachu,Mwinyi utasikitika sana watu wamepanga foleni kwenye kibomba kinachururiza maji

Na majanga zaidi ukisogea kilomita kadhaa kutoka manispaa kwenye vijiji kama Manoleo,maji hakuna completely watu wanategemea vijichemchem na maji yenyewe ni meupe kama maziwa

Ndugu zangu wa Tabora,mjini hususani,Rage kashashindwa kuwasaidia..hata kama mtawabakiza CCM,basi wekeni mtu mwingine aisee,ni majanga haya
 
Back
Top Bottom