Punjab Singh
JF-Expert Member
- Jan 14, 2014
- 955
- 650
siyo kweli wewe muongonipo tabora kikazi lakini toka nifike hapa pananishangaza. tofauti na miji mingine sababu ya kwanza idadi kubwa ya nyumba za mjini ni mbavu za mbwa.yaani zimejengwa kwa miti na tope. hivi ni kwanini?wanajanvi nisaidieni.