Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Mkuu Malila,
Nilishapiga simu mara kibao na jibu huwa "ahhh mie sijui....." Mtu pekee ambaye alikuwa anijulishe ni binamu yangu ambaye ni ajabu kuwa ni kipindi sasa hapokei simu au huwa simpati. Si kuwa nimesahau hapana, nakumbuka sana. Vipi Dr. Yongolo ulifanikiwa kumuona? Vipi yule Mkuu mwingine nilikujulisha?
Hiyo misitu, mainly inaota miti ya Miyombo. Kuotesha miti Tabora ni rahisi sana ila inabidi kuwa na miti inayokuwa taratibu. Ukileta ya Ulaya au sehemu kavu, basi itakufa kwa mvua au kukua haraka sana ila quality ya mbao itakuwa mbaya kama miti ya Mikaratusi ya Tabora, myepesii...
KWA MITI: Jaribu kuwaona Chuo Cha Kilimo Tumbi wanaweza kukupa msaada mkubwa zaidi. Sijui kama kuna chuo cha misitu na ufugaji nyuki Tabora, hawa pia wanaweza kuwa msaada.
Nikifanukiwa tu basi ntakurushia ujumbe:
Nilishapiga simu mara kibao na jibu huwa "ahhh mie sijui....." Mtu pekee ambaye alikuwa anijulishe ni binamu yangu ambaye ni ajabu kuwa ni kipindi sasa hapokei simu au huwa simpati. Si kuwa nimesahau hapana, nakumbuka sana. Vipi Dr. Yongolo ulifanikiwa kumuona? Vipi yule Mkuu mwingine nilikujulisha?
Hiyo misitu, mainly inaota miti ya Miyombo. Kuotesha miti Tabora ni rahisi sana ila inabidi kuwa na miti inayokuwa taratibu. Ukileta ya Ulaya au sehemu kavu, basi itakufa kwa mvua au kukua haraka sana ila quality ya mbao itakuwa mbaya kama miti ya Mikaratusi ya Tabora, myepesii...
KWA MITI: Jaribu kuwaona Chuo Cha Kilimo Tumbi wanaweza kukupa msaada mkubwa zaidi. Sijui kama kuna chuo cha misitu na ufugaji nyuki Tabora, hawa pia wanaweza kuwa msaada.
Nikifanukiwa tu basi ntakurushia ujumbe:
Ktk ardhi hiyo ni miti aina gani inamea?,hasa ya kigeni (exortic trees), niliwahi kuomba msaada wa kujua kiwanda walau kidogo cha kusindika asali huko kwenu Tabora,mkaahidi kuni-PM mpaka leo kimyaaa.