Osaka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 1,762
- 555
Mkuu umenena vema. Vijana wa tbr tuamke tuukomboe mkoa wetu. Tabora ilikuwa city center ya kanda ya magharibu lakin sasa imekwisha KIGOMA na SHY zinazidi kung'ara dawa ni kuweka ccm kando kama kigoma basi. Sasa na mimi natangaza nia SIKONGE. Nkumba jiandae kuachia jimbo.It is time 4change 2tabora peoples.
Historia yaweza kujirudia; Ukiwa fit enough kushawishi watu wa Sikonge basi its possible ukavuta kama mill 100 toka kwa Said Nkumba kama akiona upepo umebadirika. Ikiwa utaamua vinginevyo, its well and good kutumikia wana Sikonge.