AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
Hello wana jf! Katika hali isiyokuwa ya kawaida kwa ugumu wa maisha na upotevu wa rasilimali tunazozipoteza kizembe sisi kama taifa na kupelekea maisha magumu kwa kila mtanzania kutokana na utawala wa mgamba(ccm) usiokuwa hata na huruma kwa watu wake'
" Nachuakua fursa hii kulaumu kwa vikali mji wangu kipenzi Tabora kutokana na kuendelea kuwa mtaji wa CCM, jamani wanatabora wenzangu kwanini tuendelee kutumika na CCM na huku ndo tukiwa nyuma kimaendeleo hapa nchini?
Plz hebu tubadilike jamani kwani sisi sio wajing wakurubuniwa na mtu kama Rage msomari, tuige mfano kutoka Arusha, mbeya nk.
" Nachuakua fursa hii kulaumu kwa vikali mji wangu kipenzi Tabora kutokana na kuendelea kuwa mtaji wa CCM, jamani wanatabora wenzangu kwanini tuendelee kutumika na CCM na huku ndo tukiwa nyuma kimaendeleo hapa nchini?
Plz hebu tubadilike jamani kwani sisi sio wajing wakurubuniwa na mtu kama Rage msomari, tuige mfano kutoka Arusha, mbeya nk.