KERO Kodi ya Mabango ni kero hapa Tabora

KERO Kodi ya Mabango ni kero hapa Tabora

  • Thread starter Thread starter Anonymous (da92)
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Manispaa ya Mkoa wa Tabora(sijui mikoa mingine), imeanzisha ushuru wa mabango ya biashara ambayo yapo kwenye fremu ya mfanya biashara. Yaani mmiliki wa duka la kuuza unafikia kubandika bango kwenye fremu yako kuelezea biashara unayouza, manispaa wanadai ushuru.

Hii ni tofauti na utaratibu uliokuwepo mwanzo ambao ulitoza ushuru kwa mabango, vibao vilivyopo kwenye eneo la Serikali kama vile reserve ya barabara.
 
Manispaa ya Mkoa wa Tabora(sijui mikoa mingine), imeanzisha ushuru wa mabango ya biashara ambayo yapo kwenye fremu ya mfanya biashara. Yaani mmiliki wa duka la kuuza unafikia kubandika bango kwenye fremu yako kuelezea biashara unayouza, manispaa wanadai ushuru.

Hii ni tofauti na utaratibu uliokuwepo mwanzo ambao ulitoza ushuru kwa mabango, vibao vilivyopo kwenye eneo la Serikali kama vile reserve ya barabara.
Mmechelewa kupewa elimu ya ulipaji(kuongeza mapato)tozo.Kwenye mikutano muwe mnawaita wataalamu wa biashara(mkurugenzi)mfafanuliwe.Wigwa Mwanamalundi?
 
Ni nchi nzima mkuu
Mimi mpaka Leo sina bango
Me niliwaaambia hata kama na hilo napaswa kulipa basi kausheni nalitoa wakuu 😀ili mradi tu watuibie.. vihela hela vingii

Hawajawahi kunirudia..
 
Manispaa ya Mkoa wa Tabora(sijui mikoa mingine), imeanzisha ushuru wa mabango ya biashara ambayo yapo kwenye fremu ya mfanya biashara. Yaani mmiliki wa duka la kuuza unafikia kubandika bango kwenye fremu yako kuelezea biashara unayouza, manispaa wanadai ushuru.

Hii ni tofauti na utaratibu uliokuwepo mwanzo ambao ulitoza ushuru kwa mabango, vibao vilivyopo kwenye eneo la Serikali kama vile reserve ya barabara.
Acheni mle Chuma mnachafua mazingira, mabango Kila kona utazani 7-7 day!.
 
Ndio na huu ndio ukweli wenyewe kabisa.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Hivi yule jamaa Boss wa Viwanja na mabango yake Dar yote si inawezekana kamisheni inaishia halmashauri.
 
Tengeneza 3D nahisi bango lake halina au lina kodi chini kidogo...
 
Back
Top Bottom