Dr. Slaa nakukubali siku zote lakini kwenye hili umefanya makosa makubwa.
Sasa hivi mipango ya EL & Rostam ni kuwahusisha watu wengi kuwa ni mafisadi ili iwe vigumu wao kutoswa rasmi. Ingekuwa vizuri Chadema wasubiri kwanza vita kubwa inayokuja kati ya EL, RA & Chenge against CCM. Hapo Chadema wanachotakiwa kufanya ni kusubiri, ili NEC ikiwatosa hao watu rasmi, ndio sasa Chadema waseme wapelekwe mahakamani, wafukuzwe ubunge nk kama hoja ya msingi.
Unapoanza kugroup watu kama kina Magufuli, Malecela, JK na hawa Mafisadi papa, unacheza mchezo unaowafaidisha kina EL. Hata kama kina Mangula, Malecela wanamakosa madogo, lakini sio Mafisadi POINT BLANK.
This is a War, lazima kuwe na mipango inayoona mbali.
Sasa hivi ni kuwaisolate kwanza EL, RA, Chenge ili wao watumie pesa zao kuvunja CCM, na chadema wao itakuwa rahisi kuingia uko mbele na ndio uanze kuleta vioja [/]
UShauri wako ungekuwa mtamu kama Chadema ingekuwa CCM-B maana ingekuwa inafanya for good of CCM -A; now this is different Chadema inafanya for good of nation, awe makamba mangula lowasa wote kama ni wezi ni wezi na hakuna wizi mdogo; to hell; sasa mpango sijui tumsuirie lowasa aanze aaaa na RA aanze bbbb this is sickness and bullshit. watakaangana kwa sababu chadema imewapa mahala pa kuanzia tofauti na hapo haisaidii yaani ushauri wako kama kazi angekuwa anaifanya Prof Lipumba ingekuwa njema maana lengo lake ni kuwasaiidia macomrade wake. anyway you dared to talk openly