Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Status
Not open for further replies.
Ahsante sana kwa kutaja mafisadi.

Tatizo letu kubwa ni kuishi kwenye lindi la umaskini, maradhi na idadi ya wajinga kuongezeka. Je huku kutaja mafisadi kutaboreshaje maisha ya Mtanzania?

du umeshindwa kushirikisha ubongo na mikono yako wakati unatype nini?
 
mimi hata sijui kwa nini maghufuli anashabikiwa hapa JF, hayo anayotafanya ni maigizo tu, naye naamini ni moja ya magamba huko kwao ccm
Kauli ya msemaji mmoja niliyemsikia kwenye sherehe ya kuwakaribisha viongozi wapya pale lumumba kuwa kuna watu wametimuliwa dodoma wameamua kushirikiana na baadhi ya vyama kumchafua mwenyekiti wao na familia yake kwa kuanzia kumtaja kwenye list ya mafisadi tabora! Wakuu hii kauli inawapa picha gani? Huyo msemaji ilikuwa sauti kama ya nape bahati mbaya nilikuwa napita tu.
 
kuna ndugu yangu yuko NEW YORK CITY leo ataua watu humu ndani


imebidi nicheke...........najua atashambulia mpaka basi........lakini kama baba yake fissadi hakuna jinsi ni fisadi tu........

 
Hoja zote za ufisadi anasema zitaludi uwanja umewaka moto,huwez amini ka uliza waliochoka kuibiwa na ufisadi wanyoshe mikono hadi polic kanyosha mkono,nimechoka


Mkuu ningeshangaa sana kama asinge nyoosha mkono maana makazi yao yenyewe hadi yanapoteza tumaini la kuishi.
 
Ujinga mtupu,huyo padri hiki ndicho kilichompeleka Tabora?.Hana jipya aendelee kupuliza uchochezi usio na tija.Yeye mwenyewe Mwizi na fisadi mkubwa wa wake za watu.
 
Nyumba za Serikali ilikua maamuzi mabaya lakini sio ufisadi per se. It was a cabinet position done by BWM and the Magufuli was obliged to carry it out or resign (aresign wanae wale wapi?) Minadhani hii ni pre-emptive attack on Magufuli just incase he tries to do something 2015. He appears (key word appears) to be clean.. Lakini Katika hili ni siasa tuu.. Ukisema hela alizopokea kutoka kwa yule muhindi wa Apartment za Masaki alieshinda kesi juzi kati hapa (ili amtetee cabinet ya Mkapa..then huo ndio ufisadi wake) lakini sio hili. It was a LEGAL decision done by the Legal Government of the day. It is impossible to undue. Kuhusu hao Kagoda, ni sawa kabisa.... Caspian (Rostam) aliiba for his benefit and that of CCM and its cronies... for the election kidogo and kuweka maisha yao sawa kidogo.. Huo ulikua ufisadi mkubwa tuu. It is a serious criminal offence.
 
CDM tujipange zaidi ni vipi tutaimarisha chama chetu, hii ya mafisadi sasa imeanza kuchuja. tuangalie ni point gani nyingine ili tuingie nayo kuibomoa CCM.
 
dada yangu, hivi kweli umeshindwa kuona uhusiano uliopo kati ya mafisadi na hhili lindi la umasikini, maradhi na ongezeko la ujinga?

nafikiri kutaja ni mwanzo na lazima watajwe na wafanyiwe uchunguzi wa namna walivyopenya hazina ya nchi na kudivert resources kuelekea mifukoni mwao na mifukoni mwa mabosi wao, kisha haki itendeke ili kuweka ustaarabu wa kuheshimu sheria na utawala bora miongoni mwao waliokabidhiwa damana za uongozi


Nashindwa kuelewa kama vyama vya siasa vinaelewa jukumu lao au wanafanya maigizo.

Tunataka matibabu bora, elimu bora, maji safi na salama, mazingira safi etc.

Kama umeishi miongo minne kama mimi una hakika kabisa hii taja taja ya mafisadi haijaanza leo, wengine na mahakamani wamefikishwa. Je imeleta impact gani kwenye maisha ya Mtanzania zaidi ya kuongeza kura za mgombea Urais wa CHADEMA?

Hebu wananchi tufungue macho, tujiulize maswali magumu, tufanye tathmini ya viongozi wetu na wale tuliowapa dhamana ya kutuwalisha, tupeane feedback kama malengo yametimizwa, kama hayajatimizwa wapi tumekwera mrama, tufanye nini ili tusiende mrama etc...

du umeshindwa kushirikisha ubongo na mikono yako wakati unatype nini?


I see ulivyoshirikisha ubongo na mikono yako kuandika haya.
 
Safi sana! Hata yule mama aliyetumia Ndege ya serikali halafu Kinana akatetea kwa risiti za kuchakachua nao wanapaswa kuwepo kwenye list.
 
naam. wakati hayo yakakiendelea. ccm wanacheza lisebeneke makao makuu.

kawaida tu mbona,

wakati sadam husein ananyolewa ndevu kuwekwa tayari kwa kitanzi, mkapa na maghufuli walikuwa wakihesabu mauzo ya nyumba za serikali, tukawaimbia nyimbo za kuwa ni wachapakazi, ukafuatia ushindi wa kishindo baada ya ccm kucheza vizuri dili la EPA!

leo maghufuli wamemtoa live tabora bila hata chenga, kesho naye ananyolewa ndevu kuandaliwa kukabiliana na mkono wa sheria. ni suala la muda tu wapendwa, kuna majira na nyakati mahususi kwa kila jambo!
 
Mkutano umeisha kamuongeza malechela kuna mda alipoteza mil 200 na mke wake,Mangula Na kuna majina ya wahindi,mkutano ndo umeisha kama tbc watalusha mtaona wa2 kibao,list of shame haijaongezeka sana,wa2 wamesukuma gari umbali wa mita 300 DK kishaondoka mi naludi home kwa hayo machache naomba kuwaclisha
 
Hivi Yona na Pesambili iliishia wapi? vita hivi ni vigumu jamani "Mbuzi hawezi kumfunga chui kengele"
 
Ikiwa tunangoja ccm watimize ahadi yao ili sisi wananchi tuone nani fisadi, wavukazane ndani ya chama tutoke kwenye kucha ya mafisadi. dk slaa huyo kutochanganya.
Hana uvumilivu, subira hili linatufanya tuanze kuamini uwezo wake wa kuongozataifa kubwa tz likawa salama. kauli ya Msajili wa vyama vya siasa kuhusu dk slaa inaanza kuonekana
hekima ni kitu muhimu, subira ni muhimu pia.
unamanisha mwizi mmoja akikamatwa tusikamate mwingine adi yule wa kwanza apewe
hukumu,mbona mnawaogopa mafisadi nakati wezi wa kuku na pochi mnawapiga hadi kufu, what kind of people are you???

kwahiyo wewe unaona mafisadi wakifukuzwa ccm inatosha??? ndo unatuambia na sisi tuwe na subira tusubiri wafukuzwe!! hivi unajua ni watanzania wangapi wanapoteza maisha hospitalini kwa kukosa matibabu uku kodi zao zikiwanufaisha hao mafisadi??? alafu nawe eti ni GREAT THINKER, how??

Hivi watanzania wezangu ata kama upo ccm inakuaje unatetea kila kitu??? ata kama
kinarudisha maendeleo ya taifa nyuma??? kweli Nyerere aliona kuwa ujinga nao unatuletea umaskini sababu kama tunaanza kutetea wizi kwa sababu aliyeiba ni wa chama chetu basi huu sio ujinga ni upumbavu.
 
Mpelekeni mahakamani mjue kwa nini kayataja! Yale mengine mbona hamjathubutu kwenda mahakamani mpaka sasa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom