Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Status
Not open for further replies.
Naona umeamka toka usingizini.

Huu ni msamiati ulioanzishwa na wabunge wapambanaji wa CCM waliokuwa wakiwapinga wale waliotajwa na kamati ya Bunge kushiriki ufisadi wa Richmond na Dowans.

usipotoshe ukweli, wabunge wa ccm walidandia hoja. Mwanzilishi ni Dr. slaa alipowataja mafisadi 10 kwenye "the firts list of the shamekwenye viwanja vya mwembe yanga 2007; na baadae kuibusha hoja za ufisadi bungeni wa kagoda, epa, meremeta, BoT. wabunge wa ccm walipinga uwepo wa ufisadi ho, mpaka walipozidiwa nguvu na wapambanaji ndo wakajigawa kukawa na wengine walioamua kuungana na wapambanaji. Hivyo, siyo kweli kuwa ccm ilikuwa na wapambanaji waanzilishi...no, period!
 
Nilikuwa nina hamu sana ya kuipata orodha mpya ya mafisadi aliyoahidi kuitoa Dr. Slaa, siamini kama hili ndio bomu alilolipanga kulilipua leo na kuitikisa nchi kwa mshindo mkuu, naona sasa Mzee wetu anaelekea kuishiwa hoja.

Kwa mwendo huu siku nyingine Dr. Slaa akitangaza kutaja orodha mpya ya mafisadi sidhani kama watu watapata mshawasha wa kuisubiria.

Wewe unaona wako clean? unaona kama nyumba za serikali kuuzwa ulikuwa utaratibu mzuri?
 
TUJIKUMBUSHE ORODHA YA 2007
1. Dr. Daudi T.S. Balali
2. Andrew J. Chenge
3. Basil Pesambili Mramba
4. Gray S. Mgonja
5. Patrick P.R Rutabanzibwa
6. Nazir Karamagi
7. Nimrod Mkono
8. Rostam Aziz
9. Edward Lowassa
10. Benjamin W. Mkapa
11. Jakaya Mrisho Kikwete


  1. John Kato mwajiriwa Caspian (KAGODA).
  2. Bharati Goda ni mwajiriwa caspian (KAGODA).
  3. John Samweli Malecela –EPA
  4. Philip Mangula – EPA
  5. John Magufuli – nyumba za Serikali.
 
Nina maoni yafuatayo kuhusu hii list mpya ya Mafisadi:

1. Uwezekano mkubwa ni kuwa CHADEMA wanataka sasa kuisambaratisha CCM baada ya kuona hoja yao ya UFISADI ya awali "imemtoa nyoka pangoni" kwa CCM "kujivua gamba" na "kuwa na nia ya kufukuza mafisadi katika chama".

2. Leo hii katika CCM: Mang'ula; Malecela na Magufuli ni members ambao kwa macho ya wana CCM na mashabiki wao walio wengi ni WASAFI na si MAFISADI. Kwa hiyo ina maana kwa kuwaweka katika kundi la mafisadi na kama kuna ushahidi mzito na unaokubalika kisheria na kisiasa ina maana CCM kwa asilimia kubwa itakuwa imejaa ufisadi.

3. Kama CCM au individuals waliotajwa hawatasimama na kutoa ushahidi wa kutosha na kuridhisha ku-prove their innocence na kuwa allegations za CHADEMA ni za uongo, basi mafisadi katika list ya awali hawatatoka katika chama. Wakilazimishwa kutoka, nao watadai walio katika list mpya watoke: this will mean mkorogano mkuu katika CCM na kama itakuwa handled vibaya ina maana CCM itaporomoka zaidi.

4. for sure kutakuwa na list mpya itakayohusisha mafisadi wa "Stimulus Package" lakini inawezekana unasubiriwa wakati mwafaka na ushahidi upatikane.

5. CCM wataendelea kucheza ngoma ya CHADEMA na wadau wengine mpaka hapo CCM itakapovaa nia ya dhati ya kukisafisha chama na kuwafukuza mafisadi wote CCM na Serikalini na kuwachukulia hatua za kisheria sambamba na kufanya mageuzi ya kweli katika matumizi ya pesa za walipa kodi.

Respect.

QED.
 
(1) wana JF naona kama kuna messages zinakuwa deleted na mtu anaitwa PAW...naomba tujuzwe kinachoendelea.
(2) Kwa sisi tulio mkunazini hatuna access na TV wala Radio, naomba aliyesikia hiyo listi aiweke humu, sio kuendelekza malumbano tu!

Akhsanteni.
 
(1) wana JF naona kama kuna messages zinakuwa deleted na mtu anaitwa PAW...naomba tujuzwe kinachoendelea.
(2) Kwa sisi tulio mkunazini hatuna access na TV wala Radio, naomba aliyesikia hiyo listi aiweke humu, sio kuendelekza malumbano tu!

Akhsanteni.

Paw ni Mod.
 
Mkuu huyu jamaa ajafanya kosa lolote lile tatizo hamjui kuwa hapa kuna mambo mawili uwizi kufanyika na wezi wakiwemo wakina malecela na la pili ni hawa wezi wakina malecela kuwalinda hawa wachora ramani za wizi. CCM inataka kuwahadaa wananchi kwa kuwatosa watu watatu au wanne tu na kurudi kwenye chat. anachosema dokta hapa ni kuwa CCM yote ni mafisadi na babu jinga hawezi tena kufurukuta. tatizo la nchi hii ni kwamba kuna wale wezi wanaotuibia kila mtu anawajua lakini wabaya sana ni hawa wakina malecela. Kumbuka ile issue ya Zitto aliyekuwa anaishabikia afukuzwe bungeni ni nani Rostam au Malecela. Walioiteka hoja ya mafisadi bunge lililopita ni nani RA? au mama kilango na mume wake na waliifikisha wapi? Kutuletea msanii tena kwa miaka mitano.


Subirini tu mtashangaa sana kwani hata wakina mwakyembe, sita , nape, na wengine ufisadi wao utatajwa tu muda sio mrefu. walikuwa na nafasi ya kuikomboa nchii hii wakagwaya kwa matendo yao maovu. Akilini mwangu najua kuwa hii dokta anabeep tu bado kubwa yake

Niliwaambia ushirika wa CCM umeangamia people dont seem to understand soon wata ungua na kubaki majivu hakuna atakaye baki. Wao walitaka kuwatenga wachache na kuwatoa kafara lakini ki ukweli ndani ya CCM almost none is clean kama wangekuwa clean wangesimama wakahesabiwa, lakini wamekuwa watetezi wame fellowship katika wizi kwa namna nyingi huku wananchi wakiangamia kwakukosa mlo wa siku moja. CCM ngoja uone anguko lako litakavyokuwa kubwa!
 
Huyu dkt Slaa hana lake jipya, na hatimaye baada ya kuisaidia CCM kutoka nje atarudi kulekule alikotoka kama wenzake wengi wanavyofanya.Tambwe Hiza,Akwilombwe......
Chama cha upinzani halisi ni CUF tu.
 
we kibunango wewe mwenyewe fisadi kiwembe mwizi mkubwa wewe kwisha habari yenu ngoja tukamate hii nchi mtaipata fresh
 
Huyu dkt Slaa hana lake jipya, na hatimaye baada ya kuisaidia CCM kutoka nje atarudi kulekule alikotoka kama wenzake wengi wanavyofanya.Tambwe Hiza,Akwilombwe......
Chama cha upinzani halisi ni CUF tu.

Asante kwa kutujulisha.......ingawa ni uwongo....CUF si mpinzani halisi....labda kwa kuipinga CHADEMA.....ina ndoa na CCM
 
Asante kwa kutujulisha.......ingawa ni uwongo....CUF si mpinzani halisi....labda kwa kuipinga CHADEMA.....ina ndoa na CCM

hivi kwenye CC na NEC mpya mbona sijaona uteuzi wa majina ya CUF
 
kuna mwingine alikuwa anaripoti kwenye thread nyingine.....nae kwa sasa yuko kimya.............huku nako kuko kimya.............huenda kuna vurugu huko maana haiwezekani...au moderm zimeisha mafuta!!

kuna vurugu sa ivi na kuna mtu kapigwa ngumi ya uso sa ivi na nnundu limeota apo apo
images
 
ufisadi ndani ya zzm ni network, kama nyavu, kila aliyemo anahusika kwa namna moja au nyingine,wote ni mafisadi wamejichotea pesa,wamezitumia kufanya kampeni wametoa rushwa na kila mbinu nyingine chafu wametumia jasho letu siku moja watajibu
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom