Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Tabora: Dk Slaa ataja orodha mpya ya mafisadi!

Status
Not open for further replies.
Tuliondoka Dodoma majira ya saa kumi kwenda Tabora kushuhudia tulicho tarajia, kwa kweli ilikuwa kama tulivyotarajia, watu walikuwa wachache sana tofauti na mikutano ya sept/october mwaka jana, na baada ya dr kuanza kutaja list ya wahindi mafisadi umati wa watu walianza kuondoka mkutanoni na kuacha watu wachache sana,huku wakipiga kelele za "tunataka hoja za maendeleo na siyo hadithi za ufisadi unaofanywa na wahindi wachache" nimerudi Dodoma na sasa niko kwenye tafrija ya chama lakini nitawawekea picha kidogo muone kwa macho yenu kile kilichojiri.
 
We mwehu sana. BADO unatumiwa tu nawapenda maandamano? je unajua watanziania wanataka nini? Jibu rahisi sana. A M A N I na U T U L I V U.
Kwa maendeleo Yao.
 
Karata ndugu yangu.
JK anatakiwa akosee mahesabu amfikishe W.P. Slaa (PhD ya ukweli) mahakamani, huko ndo kitaanikwa.
Hebu tembelea jukwaa la sheria ukaelimishwe ABCs.

JK hawezi kumfikisha mahakamani kwa sababu Dr. Slaa hajaeleza chochote cha kumfanya JK alazimike kumfikisha mahakamani, Dr. Slaa ametoa loop hole ya JK kumpuuza na mwishowe kuonekana kama ni porojo tu kama zile za JK NDIYE MMILIKI WA DOWANS.
 
Nimesikitishwa na maneno ya Prof Safari huko Tabora leo,
Pomoja na kujaribu kueleza ukweli kuwa CDM hakuna udini, ukiangalia hoja zake (copy below) zimejaa mambo yale yaleee, eti waislamu wanaonewa, waingie CDM kudai haki zao! haya ni mawazo ya kidini yasiyo na tija kwa taifa, na ni uhongo ule ule kujaribu kuonyesha ni waislamu tu wanaonyimwa haki TZ. Mbona anashindwa kueleza ni vipi waislamu wa Zanzibar wako nyuma kielimu na mambo mengine mengi pamoja na kuwa walitawaliwa na waarabu na si Waingereza anaowasingizia!

Namshauri kama ajenda yake ni kutetea haki za waislamu asichanganye kwenye siasa. Udini ni sumu mbaya sana Prof. wewe ni msomi mkubwa, tunategemea ueleze mambo yanayojenga na si kuleta chuki za kidini. Watanzania wengi bila kuangalia dini wala kabila wana watatizo yanayofanana, hatuwezi kuyaondoa kwa kujenga hoja zenye mwelekeo wa kidini.


*****************************************
Udini.
Wakoloni waliwagawa watu kwa njia za makabila ili wawatawale ,wakagawa watu kwa njia za udini mf.waingereza waliingiza dini na kjuweka watu wao serikalini , na waislamu wengi walikosa nafasi ya kusoma ndio maana hawakuingia serikalini mapema .
Waislamu walipigania uhuru ila , kutokana na waingereza kuwabagua , ndio maana waliamua kupinga ukoloni ili waweza kuweka serikali ambayo haiwabagui, anasema ugomvi wa Nyerere na shehe takadir kuhusu waislamu kubaguliwa , na anasema kuwa ndani ya CDM hakuna udini ila ndani ya nchi kuna tatizo la kihistoria la kidini.
Anasema kuwa ni mbinu ya serikali kuwagawa watanzania ili waweze kuwatawala .
Alipojitoa CUF na kujiunga na CDM alifuatwa na mashehe wakimwambia kuwa yeye ameamua kujiunga na wakristo , yeye akajibu kuwa walitaka yeye aende kwenye chama gani? Mbona CCM sio ya waislamu kwani ukiondoka JK wengi waliopo serikalini ni
Anasema yeye hajabatizwa na pia Slaa sio yohana mbatizaji na amewataka waislamu kuungana pamoja ili kupigania haki za waislamu kwani CCM ndio ambao wanawakandamiza waislamu hivyo ni bora wakajiunga na CDM kwa wingi ili waweze kudai haki zao tangu awali na wasisubiri , waingie cdm tangu mwanzo ili wawe sehemu ya kupigania haki zao na njia nzuri ni kuhakikisha nkuwa wanajiunga ili kuingiza hoja zao kabla ya cdm kuingia serikalini na ni lazima waislamu wakitaka madai yao yasikilizwe wanapaswa kuingia sasa na sio wawasusie cdm kwa hoja za udini halafu baadae waje walalamike .
Kuna haja ya kujiunga na cdm sasa.
 
Jamani me nnaona Kama bado wapo waliosimamia misimamo ya ccm!!!,ktk mada zao ni bora tuwatukane na wakikerwa na hilo na sisi wana Chadema tuwaambie na wao wanavyokera kwa kuleta utumbo ktk jamvi la wajanja JF,
 
Tuliondoka Dodoma majira ya saa kumi kwenda Tabora kushuhudia tulicho tarajia, kwa kweli ilikuwa kama tulivyotarajia, watu walikuwa wachache sana tofauti na mikutano ya sept/october mwaka jana, na baada ya dr kuanza kutaja list ya wahindi mafisadi umati wa watu walianza kuondoka mkutanoni na kuacha watu wachache sana,huku wakipiga kelele za "tunataka hoja za maendeleo na siyo hadithi za ufisadi unaofanywa na wahindi wachache" nimerudi Dodoma na sasa niko kwenye tafrija ya chama lakini nitawawekea picha kidogo muone kwa macho yenu kile kilichojiri.

Ungekuwa na akili timamu,ungepiga picha ya umati huo mdogo na kuibandika hapa pamoja na utumbo wako wa hapo juu.Huu unaitwa ukahaba wa mawazo.Kwanini ukimbilie kuweka matapishi yako hapa lakini udai kuwa picha utaweka baadaye?Haihitaji hata akili ya mtoto aliyezaliwa dakika 2 zilizopita kubaini kuwa sio tu huna picha bali inawezekana kabisa kuwa huna ubongo.

Jitu zima na akili zake timamu,halina kitu,lina maisha magumu,lakini linashinda hapa kutwa nzima kujikomba kwa mafisadi.Hizo sio tabia za kiume na mwisho wake sio mzuri.

Get a life!
 
Bora mjinga kuliko hayawani asiyeelewa kuwa nchi yake inafisadiwa huku lenyewe linakenua tu mijimeno.Haya ndio matatizo ya vichwa vya short course kujiingiza kwenye mijadala ya wanazuoni.Kwa WELEDI wa kwenye vijiwe vya kahawa-kama sio vya wala unga-huwezi kuelewa hata chembe anachoongea Dkt Slaa!Anyway,sio kosa lako bali la uzembe wako

Duh..kumbe na wewe ni mwanazuoni? kweli elimu yetu imeshuka!!
 
Tuliondoka Dodoma majira ya saa kumi kwenda Tabora kushuhudia tulicho tarajia, kwa kweli ilikuwa kama tulivyotarajia, watu walikuwa wachache sana tofauti na mikutano ya sept/october mwaka jana, na baada ya dr kuanza kutaja list ya wahindi mafisadi umati wa watu walianza kuondoka mkutanoni na kuacha watu wachache sana,huku wakipiga kelele za "tunataka hoja za maendeleo na siyo hadithi za ufisadi unaofanywa na wahindi wachache" nimerudi Dodoma na sasa niko kwenye tafrija ya chama lakini nitawawekea picha kidogo muone kwa macho yenu kile kilichojiri.

Mpuuzi na muongo huwezi kudanganya ki hivi hivi wakati yaliyojiri yanajulikana. Halafu umejiunga leo hapa uongo mwiko hapa na ukome.
 
Tuliondoka Dodoma majira ya saa kumi kwenda Tabora kushuhudia tulicho tarajia, kwa kweli ilikuwa kama tulivyotarajia, watu walikuwa wachache sana tofauti na mikutano ya sept/october mwaka jana, na baada ya dr kuanza kutaja list ya wahindi mafisadi umati wa watu walianza kuondoka mkutanoni na kuacha watu wachache sana,huku wakipiga kelele za "tunataka hoja za maendeleo na siyo hadithi za ufisadi unaofanywa na wahindi wachache" nimerudi Dodoma na sasa niko kwenye tafrija ya chama lakini nitawawekea picha kidogo muone kwa macho yenu kile kilichojiri.
effect of
images
 
TBC watarusha live? Si Wanajiendesha kwa kodi zetu bana. La sivyo nao wajumuishwe kwenye orodha ya mafisadi, wanatuibia kodi zetu

Imeipata wapi?jibu ni humo humo ccm!sasa ni staili ya mwaga mboga nitupe ugali.
Kazi ipo tusubiri majina.

Saturday, 16 April 2011
Fidelis Butahe

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikijivua gamba kwa kuwataka wanaotuhumiwa kwa ufisadi wajiondoe wenyewe kwenye uongozi wa chama hicho, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbroad Slaa leo anataja orodha mpya ya mafisadi ndani ya chama hicho tawala ili nao waunganishwe katika orodha hiyo.

Mkurugenzi wa Organaizesheni na Mafunzo wa Chadema, Singo Bensoni aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa Dk Slaa atataja majina hayo leo mkoani Tabora katika mkutano wa hadhara kama alivyofanya mwaka 2007, katika Viwanja vya Mwembeyanga, Dar es Salaam.

Alisema katika mkutano huo, Dk Slaa akiwa na viongozi wengine wa Chadema, atataja majina hayo ya mafisadi ili kuipa CCM wakati mzuri wa kuwatambua na kuwachukulia hatua kama kweli ina nia njema ya kujivua gamba.

Hii ni changamoto mpya kwa CCM ambayo tayari imenyooshea kidole genge la mafisadi lililoko ndani ya chama hicho na kuwapa siku 90 watuhumiwa hao kujiuzulu ili kukinusuru.

Bensoni aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa orodha hiyo mpya ya mafisadi inayotarajiwa kutajwa leo, ni kubwa kuliko ile ya mwaka 2007.

“Ushahidi tunao ndiyo maana hata tuliowataja mwaka 2007 hadi leo hawajafungua kesi yoyote mahakamani. Wanasema kuwa wamejivua gamba. Gamba la CCM siyo uzee ni ufisadi,” alisema Bensoni na kuongeza: “Tutawakumbusha gamba wanalotakiwa kujivua ni lipi ili Watanzania watambue. Dk Slaa ataweka mambo hadharani katika mkutano huo akiwa pamoja Profesa Abdalah Safari na Mabere Malando.”

Alisema licha ya CCM kutoa siku 90 kwa watuhumiwa wa ufisadi wanaotajwatajwa, wapo ambao hawajatajwa kati ya waliotakiwa kujiuzulu kwa tuhuma za hizo. “Hapa sasa ndiyo watajua mafisadi ni kina nani. Tunataka kuwakumbusha gamba ni lipi.”

Alisema kuwa orodha hiyo ni mpya na ina tofauti na ile ya Mwembeyanga kwa kuwa tangu kipindi hicho mpaka leo kuna matukio mengi ya ufisadi yaliyoendelea nchini. “Ufisadi wa sasa ni mkubwa sana hivyo orodha itakuwa kubwa, ‘Ni ngoma nzito’ na tukimaliza kutaja orodha hiyo tutaendelea na mikutano yetu nchi nzima,” alisema Bensoni.

Akizungumzia hatua hiyo ya Chadema, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alisema: "Chadema wamefilisika kisiasa, walidhani wataitisha CCM kwa hoja ya ufisadi lakini sasa CCM ni chama safi. Kwa mabadiliko tuliyoyafanya, Chadema inatakiwa kucheza ngoma yetu (CCM) na siyo sisi (CCM) kucheza ngoma yao."

Nape alitumia fursa hiyo kuipongeza Serikali kwa uamuzi wake wa kukubali kurudisha muswada wa Katiba kwa wananchi na kuwapa fursa zaidi kujadili suala hilo.





MAFISADI WAPYA HADI SASA NI ;
  1. John Kato mwajiriwa Caspian (KAGODA).
  2. Bharati Goda ni mwajiriwa caspian (KAGODA).
  3. John Samweli Malecela –EPA
  4. Philip Mangula – EPA
  5. John Magufuli – nyumba za Serikali.
SAMAHANI SIJAWEZA KUIHARIRI ILA HAYO NDIO YANAENDELEA .NTAWAJUZA ZAIDI.
PROF.SAFARI.
Anasema kuwa ni wakati wa kudai nyumba za serikali kwa nguvu ya umma , kwani kwenda mahakamani sio muafaka kwani hata majaji wenyewe walijiuzia hivyo hawawezi kutoa haki.
Zidaiwe kwa nguvu ya umma ndio njia pekee ya kupata nyumba hizo kwani viongozi wengi wanakaa hotelini.

Udini.
Wakoloni waliwagawa watu kwa njia za makabila ili wawatawale ,wakagawa watu kwa njia za udini mf.waingereza waliingiza dini na kjuweka watu wao serikalini , na waislamu wengi walikosa nafasi ya kusoma ndio maana hawakuingia serikalini mapema .
Waislamu walipigania uhuru ila , kutokana na waingereza kuwabagua , ndio maana waliamua kupinga ukoloni ili waweza kuweka serikali ambayo haiwabagui, anasema ugomvi wa Nyerere na shehe takadir kuhusu waislamu kubaguliwa , na anasema kuwa ndani ya CDM hakuna udini ila ndani ya nchi kuna tatizo la kihistoria la kidini.
Anasema kuwa ni mbinu ya serikali kuwagawa watanzania ili waweze kuwatawala .
Alipojitoa CUF na kujiunga na CDM alifuatwa na mashehe wakimwambia kuwa yeye ameamua kujiunga na wakristo , yeye akajibu kuwa walitaka yeye aende kwenye chama gani? Mbona CCM sio ya waislamu kwani ukiondoka JK wengi waliopo serikalini ni
Anasema yeye hajabatizwa na pia Slaa sio yohana mbatizaji na amewataka waislamu kuungana pamoja ili kupigania haki za waislamu kwani CCM ndio ambao wanawakandamiza waislamu hivyo ni bora wakajiunga na CDM kwa wingi ili waweze kudai haki zao tangu awali na wasisubiri , waingie cdm tangu mwanzo ili wawe sehemu ya kupigania haki zao na njia nzuri ni kuhakikisha nkuwa wanajiunga ili kuingiza hoja zao kabla ya cdm kuingia serikalini na ni lazima waislamu wakitaka madai yao yasikilizwe wanapaswa kuingia sasa na sio wawasusie cdm kwa hoja za udini halafu baadae waje walalamike .
Kuna haja ya kujiunga na cdm sasa.

MARANDO.
Ameanza kwa kusema Slaa alishinda ila kura zilichakachuliwa na hivyo ndio maana Slaa ameamua kuingia kazini rasmi kujenga chama ili kiwe imara na kuweza kujiandaa na uchaguzi ujao .
Anasedma yeye ataongelea mambo matatu.(KATIBA , EPA , NA MAGAMBA YA CCM).
KATIBA .
Hii ilikuwa hoja ya CDM kwani iliyopo inawafanya mafisadi watamalaki, katiba ni maji, ni unga ni kila kitu ambacho kipo , ukishaweka katiba mengine yote yanawezekana .
Anasema JK alishauriwa na watu kuhusu katiba , ila aliweza kjuipata muswada wa sheria kutokana na taaluma yake ya kishushu aliupata mapema na kuisambaza a kwani jk hakuwa tayari kupata katiba .
Amewataka watanzania kuwa macho kwani nia ya ccm ni kuendelea na katiba iliyopo na sio kweli kjuwa wanataka katiba mpya.
Tofauti ya CCM na CDM kwenye katiba ni kuwa CCM wanataka iliyopo iwekwe viraka , na CDM wanataka mpya .
Cdm wanataka mambo yafuatayo kwenhye katiba mpya.
1. Kupunguza madaraka ya rais haswa ktk kuteua watu mbalimbali.
2. Viongozi wa wilaya wapigiwe kura na sio kuteuliwa na rais…..
3. Madini yalindwe na katiba
4. Power of recall kwa wabunge na madiwani
Kuhusu EPA na magamba ya CCM.
Ccm ndio gamba la watanzania na tunapaswa kuliondoa hilo gamba ccm na sio wao waondoane wenyewe
Ccm ndio gamba lenyewe na linapaswa kuondolewa moja kwa moja
Lissu amewafundishwa wabunge sheria .
Epa ni ya jk kwani ndio ilimuingiza madarakani.
Kikwete amesamehe wezi wa EPA wakati wezi wanapaswa kupelekwa jela .
Slaa alipotaja mafisadi ccm walisema ni uongo kuwa hakuna mafisadi , jk juzi kakiri kuwa kuna mafisadi wengi ndani ya chama na walitaja listi yao ya mafisadi , lowass,change na rostam.

Kama jk anataka atume watu ofisini kwake ili waende kuchukua picha .
Anasema yuko tayari kama jk akimtaka kujitolea apewe jalada la kagoda na atawafikisha mahakamani na wataishia keko.
Wengine kagoda ni malecela na Mangula .
.

- Well, I totally disagree na Dr. Slaa na infact hii inaweza kumshushia hadhi yake na chama chake pia, kwanza slaa ni lazima awe mkweli kwamba EPA ni idea ambayo imekuwepo toka hata yeye akiwa CCM, tatizo halikuwa kuchukua hela za EPA kwa sababu katika kuzichukua zimekua zikichukuliwa kama mkopo na baadaye kurudishwa na wahusika, yaani toka enzi za TANU na baadaye CCM.

- Katika uchaguzi wa Rais 2005, kama kawaida CCM alikopa hela hizo, lakini tatizo ni kwamba kuna wasiohusika walioshirki katika zoezi hilo la kukopa hizo hela na hela hizo zilitumiwa na kundi la Mtandao kwa ruhusa ya Rais wa wakati huo, badala ya CCM kama chama, sasa DPP ana haki kikatiba yetu kuamua the final decision kesi gani iende kwenye sheria na ipi isiende in EPA's case, aliamua waliokopa wote wazilipe zile hela back walipozikopa, now it is debatable legally na politically I mean the integrity ya uamuzi.

- Now nimeshitushwa na Dr. Slaa kumuhusisha Dr. Malecela na EPA, huku inafahamika na kila mwananchi taifa hili kwamba hela za EPA zilitumika kwenye kampeni za Urais, against the very Malecela sasa alihusikaje na hizo hela hapo ninaomba msaada wa yoyote anayelewa FACTS kuliko ninazijua on this ishu!


William @ NYC, USA.
 
Nimepata habari za Tabora nasikia CCM wamehujumu sana Mkutano wa DR Slaa,kama kuna mdau alikua hapo atupe maelezo zaidi
 
Tuliondoka Dodoma majira ya saa kumi kwenda Tabora kushuhudia tulicho tarajia, kwa kweli ilikuwa kama tulivyotarajia, watu walikuwa wachache sana tofauti na mikutano ya sept/october mwaka jana, na baada ya dr kuanza kutaja list ya wahindi mafisadi umati wa watu walianza kuondoka mkutanoni na kuacha watu wachache sana,huku wakipiga kelele za "tunataka hoja za maendeleo na siyo hadithi za ufisadi unaofanywa na wahindi wachache" nimerudi Dodoma na sasa niko kwenye tafrija ya chama lakini nitawawekea picha kidogo muone kwa macho yenu kile kilichojiri.

Hili ni gamba jipya la zamani likoje,kweli Ccm,Chama Cha Misukule,
 
Hahaha,...
Kama JK ana reporters kama wewe basi nchi hii hata mtoto anaweza ongoza
 
Majimshindo kwa I'd nyingine tulisema, ukiwa hapa JF usiage ondoka kimya kimya siku nyinginer machungu yakiisha rudi.
 
Tuliondoka Dodoma majira ya saa kumi kwenda Tabora kushuhudia tulicho tarajia, kwa kweli ilikuwa kama tulivyotarajia, watu walikuwa wachache sana tofauti na mikutano ya sept/october mwaka jana, na baada ya dr kuanza kutaja list ya wahindi mafisadi umati wa watu walianza kuondoka mkutanoni na kuacha watu wachache sana,huku wakipiga kelele za "tunataka hoja za maendeleo na siyo hadithi za ufisadi unaofanywa na wahindi wachache" nimerudi Dodoma na sasa niko kwenye tafrija ya chama lakini nitawawekea picha kidogo muone kwa macho yenu kile kilichojiri.
Ndugu yetu Gamba Jipya, najua mmetumwa kuja kulitetea gamba jipya humu jf, au baada ya M/M/kiti wenu Msekwa kuisema jf tishio, basi sasa mnashindana kujipendekeza kuitetea CCM kwa mlango wa nyuma!. Hii haitasaidia, dawa pekee ni kuingia kwa majina yenu, na kupangua hoja moja baada ya nyingine kwa utaratibu wa hoja kujibiwa kwa hoja na sio viroja.
Karibu jf, msaidieni MS.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom