- Majina ya watu wote waliohusika na EPa yalitajwa na kufikishwa mahakamani ni kwa sababu walisaini makaratasi, sijui unawezaje kumfunga mwananchi kwa sababu kundi moja la chama chake lilihusika na kuchukua pesa za EPA, I mean is this a great thinking?
William @ NYC, USA.
Mkuu W. J. Malecela, with due respect, ninazo facts 3 zifuatazo kuhusu EPA.
1. Sio kweli kuwa majina ya watu wote waliohusika na kashfa yalitajwa. Majina yote yaliyotajwa ni ya baadhi tuu, ndio maana mpaka leo, majina ya watu walio behindi baadhi ya makampuni yaliyochota EPA, hakutajwa na kamwe hayata tajwa!.
2. Pia sio kweli kuwa majina ya wale wote waliotajwa kuhusika na EPA, walifikishwa mahakamani. Kati ya waliotajwa, ni baadhi tuu ndio waliofikishwa mahakamani, kuna wengi miongoni mwa waliotajwa, hawatafikishwa mahakamani kamwe!.
3. Japo siungi mkono Mzee Malecela kuitwa fisadi, ila kama ni kweli, CCM ilitumia fedha za EPA kwenye kampeni yake, huu ni ufisadi tosha, sasa wether Makamo Mwenyekiti wa CCM, wakati wa ufisadi huo, alihusika, alishiriki, au hata aliujua tuu ufisadi huo, anaingia direct kwenye collective resiponsibility ya kilichotendwa na Chama chake.
4. Huu ni ushauri tuu, itetee CCM kama chama, that they did nothing wrong with EPA money, in so doing, utakuwa umekisafisha chama chako na viongozi wake including Mzee Malecela. Ukimsafisha Mzee peke yake, trying to single him out from the rest, utetezi wako utaishia kuonekana ni utetezi nasaba, wa damu nzito kuliko maji.
Pasco