Tabibu Mwaka akaidi amri ya serikali

Tabibu Mwaka akaidi amri ya serikali

kama anasaidia watu waache kumuingilia. Kwa jicho la kawaida tu, nadhani kuna kutunishiana misuli na Dr.Kigwangala....
Inaonekana Dr.Kigwangala ameamua kutumia madaraka alokua nayo
Kutibu binadamu sio sawa na kufungua genge la nyanya, hata kama anasaidia watu lazima afuate utaratibu na sheria za nchi.
 
vipi yule Buberwa mwenye dawa ya kuwezesha mwanamke kupata mapacha?
 
Baada yakufungiwa amekaidi agizo hilo na anaendelea na utabibu km kawaida,na hata leo alikuwa na kipindi kilichorushwa na channel 10..je mtu huyu yupo juu ya sheria? Yale maagizo hayamuhusu?mwenye ufahamu anifahamishe maana nimeshangazwa na hili tukio.

Huyo hata Kigwangala mwenye Serikali, alimshindwa. Sembuse baraza la tiba asilia!
 
Huyo Dr. tapeli alilipia matangazo mwezi mzima.. hivyo matangazo yake yakiisha mwezi huu ktk TV, Radio na news papers hayatatangazwa tena.. mwisho wa matangazo ni mwisho wa mwezi huu..!!

Tapeli mkubwa alicheza sana na afya za watu..!!
 
Hata migodi,anglo gord,kuwa Geita gord mine,Buzwagi kuwa Acacia,kilimanjaro na kuwa Hyjat kempisk,
 
Amebadiri gea angani kutoka kwenye Foreplan Clinic kwenda Foreplan Company Limited! Hii haihusiani kabisa na kuwachungulia mama na dada zetu nyeti zao(ila nyuma ya pazia atafanya tu maana mgonjwa achagui dawa. KAmpuni yake ina Matawi Marekani, South Africa na Namibia(naomba kusahihishwa)

Kwanini wamsumbue lakini wakati makampuni mengi yanabadiri majina, unaikumbuka Sheraton hotel, Major Drill wa hapa Mwanza mbona wanaitwa Capital drill siku hizi tena ndani ya ofisi zilezile...
Nilimsikia juzi na mimi kwa kiherehere changu nikakimbilia kuandika uzi ili niu-post! Baada ya kuwa nimeshamaliza kuandika tayari kwa kugonga kitufe cha SEND; nikajiuliza; hivi hii tabia ya ukiherehere nimeanza lini? Chambilecho nikagundua hakuna popote aliposema Dr. Mwaka, daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama bali kajisemea yeye anaitwa Juma Mwaka ila watu wengine "kutokana na viherehere vyao" hupendelea kumuita Dr. Mwaka!!! Isitoshe nikaona kumbe wala hatangazi Foreplan Clinic na shughuli zake za kitabibu ambazo ndizo zimefungiwa bali anaitangaza Foreplan Company ambayo inafanya shughuli nyingi ikiwamo usambazaji wa vifaa vya tiba!!!!

Nikapenda tu pale alipoutendea haki msemo wa "Aliyelala usimwamshe....!" Mwishowe nika-conclude kuacha tabia ya kuwa kiherehere na hivyo thread yenyewe nikaifutilia mbali!
 
Serikali ipige marufuku matangazo yote yanayohusu tiba mbadala hadi hapo itakapotangazwa baadae.
 
Amebadiri gea angani kutoka kwenye Foreplan Clinic kwenda Foreplan Company Limited! Hii haihusiani kabisa na kuwachungulia mama na dada zetu nyeti zao(ila nyuma ya pazia atafanya tu maana mgonjwa achagui dawa. KAmpuni yake ina Matawi Marekani, South Africa na Namibia(naomba kusahihishwa)

Kwanini wamsumbue lakini wakati makampuni mengi yanabadiri majina, unaikumbuka Sheraton hotel, Major Drill wa hapa Mwanza mbona wanaitwa Capital drill siku hizi tena ndani ya ofisi zilezile...

= amebadili
= yanabadili
 
Nilimsikia juzi na mimi kwa kiherehere changu nikakimbilia kuandika uzi ili niu-post! Baada ya kuwa nimeshamaliza kuandika tayari kwa kugonga kitufe cha SEND; nikajiuliza; hivi hii tabia ya ukiherehere nimeanza lini? Chambilecho nikagundua hakuna popote aliposema Dr. Mwaka, daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama bali kajisemea yeye anaitwa Juma Mwaka ila watu wengine "kutokana na viherehere vyao" hupendelea kumuita Dr. Mwaka!!! Isitoshe nikaona kumbe wala hatangazi Foreplan Clinic na shughuli zake za kitabibu ambazo ndizo zimefungiwa bali anaitangaza Foreplan Company ambayo inafanya shughuli nyingi ikiwamo usambazaji wa vifaa vya tiba!!!!

Nikapenda tu pale alipoutendea haki msemo wa "Aliyelala usimwamshe....!" Mwishowe nika-conclude kuacha tabia ya kuwa kiherehere na hivyo thread yenyewe nikaifutilia mbali!
ata mie nimeacha kieleele
 
Nimeona tangazo la Dk. Mwaka jioni hii Channel Ten, amebadili usajili wa huduma zake kutoka FOREPLAN HERBALIST CLINIC na sasa ni Kampuni inayoenda kwa jina la FOREPLAN TANZANIA LTD

Tofauti ni ndogo tu, kwamba sahizi atahudumia kama "muuzaji wa Dawa" zake badala ya kutoa huduma kama "Tabibu" wa herbalist Clinic

Sijui hii imekaaje, je watamfungia na kwa mbinu hii mpya aliyokuja nayo au?

Binafsi napenda kutulia na kusubiri matokeo
 
Mimi mwenyewe nimeiona jana nikiwa maeneo ya mabibo mwisho pale kuna lodge moja sitaki kuitaja jina nilikuwa nikimgegeda mtoto mmoja wa N.I.T nikaona dr mwaka akiwa anaelezea huduma zake nikajiuliza mbona kafungiwa? Why anajitangaza? Kumbe kabadili biashara aisee
 
Nimeona tangazo la Dk. Mwaka jioni hii Channel Ten, amebadili usajili wa huduma zake kutoka FOREPLAN HERBALIST CLINIC na sasa ni Kampuni inayoenda kwa jina la FOREPLAN TANZANIA LTD

Tofauti ni ndogo tu, kwamba sahizi atahudumia kama "muuzaji wa Dawa" zake badala ya kutoa huduma kama "Tabibu" wa herbalist Clinic

Sijui hii imekaaje, je watamfungia na kwa mbinu hii mpya aliyokuja nayo au?

Binafsi napenda kutulia na kusubiri matokeo
Si mpaka apate kibali, amefungiwa yeye hivyo Mwaka haruhusiwiw katika fani ??? hiyo!
 
Hivi watanzania kumbe wana roho mbaya sana,basi kama kujiita dr au kuitwa dr ndiyo nongwa,tumuite profesa Mwaka.
 
Serikali ipige marufuku matangazo yote yanayohusu tiba mbadala hadi hapo itakapotangazwa baadae.
Naomba nikiri kuwa tangu nimekufahamu jingalao kwa maandishi yako huku JF,leo ndio umeandika kitu cha maana.
Kongole jingalao. Ushauri wako ni mzuri sana ndugu.
 
27bcc6fcf3c2eba715b2b9c8a44a6a9c.jpg
kama kawaida
 
Amebadiri gea angani kutoka kwenye Foreplan Clinic kwenda Foreplan Company Limited! Hii haihusiani kabisa na kuwachungulia mama na dada zetu nyeti zao(ila nyuma ya pazia atafanya tu maana mgonjwa achagui dawa. KAmpuni yake ina Matawi Marekani, South Africa na Namibia(naomba kusahihishwa)

Kwanini wamsumbue lakini wakati makampuni mengi yanabadiri majina, unaikumbuka Sheraton hotel, Major Drill wa hapa Mwanza mbona wanaitwa Capital drill siku hizi tena ndani ya ofisi zilezile...

Uko sahihi kabisa alichokifanya tabibu mwaka ni kuwapiga chenga ya mwili wizara ya afya kwa kuwa sasa hivi anatumia jina la kampuni kwa hiyo sasa hivi anafanya biashara hivyo yuko chini ya Brela na wizara ya biashara na halmashauri husika,na kutakiwa kutokutumia jina la Dr. badala yake atumie tabibu na asitoe huduma za kisasa kama za kwenye hospitali
 
Back
Top Bottom