Tabibu Mwaka akaidi amri ya serikali

Tabibu Mwaka akaidi amri ya serikali

Mimi mwenyewe nimeiona jana nikiwa maeneo ya mabibo mwisho pale kuna lodge moja sitaki kuitaja jina nilikuwa nikimgegeda mtoto mmoja wa N.I.T nikaona dr mwaka akiwa anaelezea huduma zake nikajiuliza mbona kafungiwa? Why anajitangaza? Kumbe kabadili biashara aisee

Sema tu ni namnani
 
Haya ndiyo matokeo ya mamlaka zetu zinapokuwa hazifuati taratibu za kisheria. Baraza la tiba asilia lilipaswa kumfungia likiwa na askari polisi ambao wakati huo huo wanamu arrest, wanamweka lock up na kumfungulia mashitaka ya jinai ya kufanya utapeli na roho za watanzania. Kesho yake polisi wangemfikisha mahakamani, dhamana anapewa kama anastahili na kesi ingeendelea baada ya upelelezi kukamilika na DPP kuafiki. Baraza la tiba asili ni mmojawapo tu wa mashaidi kwa upande wa mashitaka. DPP kwa niaba ya serikali ndiye mshitaki. Mwamuzi ni mahakama ndiye anayeweza kumfungia huyo Dr Mwaka na kumpa adhabu nyingine yo yote kutegemea na makosa atakayopatikana nayo ikiwamo kunyongwa hadi kufa kama itathibitika alipoteza roho za watanzania.

Sasa baraza la tiba asili au waziri wake Mh. Kigwangala hawana madaraka haya ya kuamuru tu eti wamemfungia. Ndiyo maana ataendelea kuwachezea. Wanasita nini kumchukulia hatua za kisheria? Jamii itawaelewaje, wanavuta mkwanja? This man was supposed to be behind bars if they are serious with the allegations they have charged him.
 
vipi yule Buberwa mwenye dawa ya kuwezesha mwanamke kupata mapacha?
Tena nilimkuta saba saba maoenyesho yani anavopiga promo hizo Dawa daaah
214198a340031da16e27e73a390b4618.jpg
 
Kwanini mnamuandama sana huyo jamaa!? Au amewagegeda wake zenu?
 
Tena nilimkuta saba saba maoenyesho yani anavopiga promo hizo Dawa daaah
214198a340031da16e27e73a390b4618.jpg
Mkuu matatizo ya kinamama yamekuwa mitaji inayowaneemesha baadhi ya manabii, wachungaji na waganga na mwisho kuwa matajiri wa kutupwa..
 
Mimi ni muumini mzuri wa slogan ya HAPA KAZI TU.. But nashangazwa na ninasikitishwa na upuuzwaji wa matamko halali ya serikali hasa hili la kukifungia kituo cha FOREPLAN HERBAL CLINIC...

Kinachonisikitisha zaidi ni kuona matangazo ya huyu Tabibu yakiendelea huku akijinadi kwamba waliomfungia wanapotosha jamiii.. Kwa hali hiii wananchi na wagonjwa wanaendelea kuwekwa katika dilema..

Swali langu ni; Je, serikali hususan Wizara ya Afya imeshindwa kumdhibiti huyu jamaa au tuamini kwamba tamko la kukifungia hiki kituo lilikua la kisiasa?

Nawasilisha..
 
Alisha ijjua serikali yetu ikisha toa tamko inakurupukia jambo jingine. Wao waonee walimu tu kama Mimi ndio Hata SALUMU HAPPI anawapiga mkwara utadhani ana Hata UPPER SECOND DEGREE kumbe porojo tu
 
Tatizo la UZAZI limekua kilio cha watu wengi ila DOKTA MWAKA ni zaidi ya SULUHISHO fika sasa FORPLAN CLINIC ILALA BUNGONI MATOKEO UTAYAPATA naamini #UTANIPENDA.
-DIAMOND PLATNUMZ-
 
Nadhani la matangazo ya Channel 10 na StarTV walishalipwa chao hivyo wanatimiza wajibu wao.
Huenda TCRA iwape stop order.

Kuhusu matamko yake mwache ajidai huenda hamujui vze Uncle Magu ni nani? Wazee wa Unga wanadakwa? Kabwe wamjini ana tumbuliwa iwe huyu Mwaka? Athubutu aone atakavyo badilishwa sura kama Ulimboka?
 
Kazi yake ndo inampa kiburi,
Kauli za mwendo Kasi acha zivume maana tumeumbwa kudanganywa na matamko
 
Kwanini kwenye Heading umeandika DR Mwaka..

Huyo ni tabibu Mwaka...Hana hadhi ya kuitwa Dr...

Wewe endelea na ulimbukeni wako wa kuitwa Dr.wagojwa hawataki hayo Bali wanataka kupona. Pili uitwe Dr. Au Tabibu si lolote cha msingi nini undeliver kwenye jamii. Na ,Aisha yako umejipangaje,!!!
 
Fore plan clinic walifungiwa kutoa tiba asilia tokana na kukiuka taratibu katika utoaji wa tiba hizo,,,,,,

kwa wale watazamaji wa channel ten kwa zaidi ya week tatu sasa kumekuwa na tangazo la jj mwaka ambalo anatangaza fore plan clinic kama company na kutoa maelekezo kwa wale wale waliokuwa wakipata huduma kwake jinsi y kuonana nae na kuweza kufanyiwa consultation na maelekezo ya dawa zake,,binafsi hili sioni kama linatofauti na utoaji wa tiba hizo,,kwa wenye uelewa watakubaliana na mimi kuwa jj mwaka anaendelea kutoa huduma ilihali amefungiwa.

Wenye mamlaka walitazame hili,au kama wamefungulia jj mwaka kutoa huduma basi umma ujulishwe.

ni hayo tu.
 
Nashauri waziri wa habari apige marufuku matangazo yote yanayohusuhizi tiba za kimagumashi na vyombo vya habari vinavyokaidi vipigwe faini
 
Back
Top Bottom