Tabia za wanawake kuchukiana bila sababu.

Tabia za wanawake kuchukiana bila sababu.

Nimecheka hadi nimepaliwa
Hicho ndicho kilitokea jamaa alipompost yule dada mjamzito,yani miandiko ilikuwa inascream hate,mtu anaumia mwenzie kuwa mama kija,wakati hawashei mume wala hawana ushost wa karibu kihivooo.
Itakuwa wewe ndio mama Kija.
 
Niwe mkweli sina chuki na wanawake wenzangu hata kidogo

Ila naprefer kudeal na wanaume zaidi manake najua wanawake wengi wapo kama ulivyoelezea hapo juu (unafiki)

Heri kubishana na mwanaume kuliko na mwanamke
Hata wewe wanawake wenzio wanakuona hivyo hivyo wanajiweka mbali na wewe kwa ndipo haya mambo ya kutopendana yanapata nguvu
 
Wivu upo ila ukizidi ni hatari kwa afya ya wana jamii hasa wanawake!

Tunasema ndege wanaofanana huruka pamoja, rafiki yako wa kike lazima awe na tabia zinazoendana na wewe! Kama haziendani na zako basi kuna unafiki mahali!

Wanawake ndivyo tulivyo, wivu, wivu, wivu! Sijui tunakwama wapi ila ndo ishakuwa hivyo! Simama wewe kama wewe na Mungu wako, tuombee na usisahau kuomba Mungu akupe rafiki wa kweli!

Binafsi nina marafiki wengi saaana, ila sina shost anayejua chochote kabisaaa kuhusu mimi! Mambo ya kazini yanabaki kazini nikihama mkoa nitabaki mawasiliano nao inatosha!
 
Unajua dada!
Mfano nimezoea kukusalimia ila siku nakusalimia unajifanya hujaona! Mara ya kwanza, kweli naweza jua ni bahati mbaya, ya pili na ya tatu si najiongeza tuu dadake!
Aisee, basi mimi niko nyuma sana
 
mademu bana ....tuishi nao kwa akili...wanaume tunalijua hilo ndo maana comment zetu huwa fupi fupi na vipovu vya kimagumashi kwenda kwa wanawake..
.
 
Hata wewe wanawake wenzio wanakuona hivyo hivyo wanajiweka mbali na wewe kwa ndipo haya mambo ya kutopendana yanapata nguvu
Sasa mfano mtu anaprefer kudeal na men mostly,akikutana na wanawake wenzie anatoa salamu , story mbili za juu juu na kuwa busy na maisha yake,lakin unakuta wanawake wenzie wanamchukia,kumsema vibaya,kumjadil kwenye magroup nk,swali amekosea wapi huyu mtu?kwani ukaribu unalazimishwa? mostly inatokea ukiweka personal life yako private unageuka adui,why??kwann wanawake tunataka wajua wanawake wenzetu hadi maisha yao binafc na ya ndani?ni kosa mtu kuwa private person?
 
Sasa mfano mtu anaprefer kudeal na men mostly,akikutana na wanawake wenzie anatoa salamu , story mbili za juu juu na kuwa busy na maisha yake,lakin unakuta wanawake wenzie wanamchukia,kumsema vibaya,kumjadil kwenye magroup nk,swali amekosea wapi huyu mtu?kwani ukaribu unalazimishwa? mostly inatokea ukiweka personal life yako private unageuka adui,why??kwann wanawake tunataka wajua wanawake wenzetu hadi maisha yao binafc na ya ndani?ni kosa mtu kuwa private person?
Sio kosa lakini kitendo cha kusema hutaki ukaribu na wanawake kwa sababu ni wanafiki ndio unapozaliwa msemo wa kwamba wanawake hatupendani. Hivi ni kweli kila mwanamke ni mnafiki?
 
Back
Top Bottom