Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,416
- 4,873
Leo ngoja ni wachambulie tabia za siku hizi za jf members wa kiwa kila jukwaa!
MMU wanakuwa makini sana kuchangia
SIASA wanakuwa wanayaponda sana magamba
HABARI wanakuwa wachochezi wakubwa wa dini na kubishana nani tajiri tanzania?
ELIMU hapo utawakuta watoto wa chuo wanalalamika tu boom likikata
KAZI wanailalamikia secretariat ya ajira
SAYANSI hii hawapendi kabisa maana wengi humu ndani tumesoma political science &arts
INTELLIGENT kila member anajifanya usalama wa taifa
AFYA asilimia kubwa ya member wanalalamika hawana nguvu za kiume
CHIT CHAT Wamejaa much know tu alafu wanajuana
PHOTO Hapo ni jokes kwenda mbele
KENYA FORUM hapo hauwapati kabisa maana wanawaogopa wa sana kenya
Toa maoni yako na wewe
MMU wanakuwa makini sana kuchangia
SIASA wanakuwa wanayaponda sana magamba
HABARI wanakuwa wachochezi wakubwa wa dini na kubishana nani tajiri tanzania?
ELIMU hapo utawakuta watoto wa chuo wanalalamika tu boom likikata
KAZI wanailalamikia secretariat ya ajira
SAYANSI hii hawapendi kabisa maana wengi humu ndani tumesoma political science &arts
INTELLIGENT kila member anajifanya usalama wa taifa
AFYA asilimia kubwa ya member wanalalamika hawana nguvu za kiume
CHIT CHAT Wamejaa much know tu alafu wanajuana
PHOTO Hapo ni jokes kwenda mbele
KENYA FORUM hapo hauwapati kabisa maana wanawaogopa wa sana kenya
Toa maoni yako na wewe